Kwasababu kuna meter ya Tanesco ya Luku nyumbani kwaoUnajuaje kama unatumia nne?
Duuuh units 9 kwa 24 hours walala hoi AC tutabaki kuzifaidi tukienda bank tuHisense yenye 2300 watts inakula average 9 units kwa masaa 24. Inaweza zidi au kupungua kidogop kulingana na joto la kipindi hiko
Ac inategemeana na capacity yake pamoja a technology iliyotumika kutengenezea Kuna zinazotumia chini ya unit 3 kwa Siku hii nazungumzia kwa chumba kimoja .Ah sema hapo sio mbaya mkuu kama madude yote unayo hayo. Mi nataka nijue AC inakula unit ngapi kwa siku!
Kakague earthing system yako huenda kuna shida, kwa vifaa hivyo unatakiwa kutumia angalau 1 au 2Familia ya watu wa 4, tv on almost 24 hrs, fridge haizimwi, pasi mara kadhaa, kucharge simu all the time.
Tuna average units 3.5 kwa siku.
Unit 3 mmMm na familia yangu 4 tu kwa siku
, So uliisha baada ya siku tatu hesabu rahisi tu unachukua 14 /3=4.2Unajuaje kama unatumia nne?
Upo kama mimi, yaani mimi ni 7 au 8.Units 7.5 kwa siku
Mkuu mfano mi naplan kununua Hisense ya BTU 12000 nina chumba cha 15*15 inaweza kuwa inakula umeme kiasi gani?Ac inategemeana na capacity yake pamoja a technology iliyotumika kutengenezea Kuna zinazotumia chini ya unit 3 kwa Siku hii nazungumzia kwa chumba kimoja .
Samsung na Lg wana efficient ac system Ila huwa ni ghali .
Nilikuwa nikiweka umeme wa sh. 10,000 (unit 28.1) ulikuwa unakaa wiki moja hadi mbili. Na awali, ulikuwa unakaa mpaka tunasahau. Ghafla umeme huo unaweza usikatize wiki.unatumia ngapi
Kwa kweli itabidi kufanya hivyo. Tuliweka waya wa Earth mnene, na earth-rod ya ukweli, kwa maelezo kwamba inapunguza ulaji wa umeme. Mwanzoni mambo yalikuwa safi. Umeme unatumika mdogodinyo. Siku hizi sijui imekuwaje. Itabidi kutekeleza wazo lako la kumuita fundi kukagua mifumo.Kakague earthing system yako huenda kuna shida, kwa vifaa hivyo unatakiwa kutumia angalau 1 au 2
Unatumia yuniti ngapi za LUKU kwa siku?
Wajemeni, siku hizi naona kama mita ya umeme inakimbia. Hivi kwa wastani yuniti ngapi za LUKU hutumika kwa nyumba ya kawaida tu?
Anzisha mkuu, naamini utapata majibu mazuri. Japo sio fani yangu haswa ila naamini wapo wataalamu wa refrigaration na a/c watakujibu.Mkuu kuna haja nianzishw uzi nijibiwe zaidi. Na vipi kuhusu zile inverter types! Naona kama ni Technology ambayo inapigiwa chapuo kuwa ni energy saver.