MA Tanesco yakipita hapa yanafurahi sana
Huu ni ule wa REA?
16 units ac mpk asbhi non stop12,000BTU ni roughly 3.5kW = 3500W, kwa power ya namna hiyo kama unatumia hiyo AC 10hrs mfulilizo maana yake ni kwamba 3500W X 10hrs = 35,000Whr sawa na 35kWh. Unit moja ni 1kWh hivyo kwa masaa kumi itatumia 35Units. Hapo sijaweka factor ya size ya room which is also very important.
Kama nimekosea nirekebishwe fastaaa!
Ndio mkuuHuu ni ule wa REA?
Kha Ufungue tu kiwanda16 units ac mpk asbhi non stop
Unalipau shilingi ngapi kwa mwezi. Km ni chini ya shs 172,000 ni mwongoKha Ufungue tu kiwanda
Yaani anatumia 16 Unt kwasikuUnalipau shilingi ngapi kwa mwezi. Km ni chini ya shs 172,000 ni mwongo
una vifaa gn via umemeYaani anatumia 16 Unt kwasiku
Sasa kwa Hesabu za 1000 = 2.8 Unt
yaani anatumia 5700+
sawa 171428 Kwamwezi
Aisee
Mm natumia 0.6 Unt kwa siku niwe mkweli
na Kunasiku Hata 0.5 Sifikishi
NI kama.unatumia umeme mwingi sana kwa mweziNalipa 200,000 umeme kwa mwezi sawa na units kama 550 hivi. Kwa siku average ni units kama 18 hivi.
-Nawasha AC full time chumbani
-Nina friji kubwa sebuleni na Dogo chumbani
-Nina washing mashines
-Nina Air matress
-Music systems
-Nina appliance nyinginezo
We mtu muongo mwenye kujikweza huwezi kumuelewa kweli?NI kama.unatumia umeme mwingi sana kwa mwezi
Check wattage ya hizo appiliances unazotumia
Ac full time chumban ?!! We hutoki humo chumbani?
Sijali sana "units" lakini najua nanunua umeme wa 60,000 unakaa kama wiki 3 hiviUnatumia unit ngapi za LUKU kwa siku?
Wajemeni, siku hizi naona kama mita ya umeme inakimbia. Hivi kwa wastani yuniti ngapi za LUKU hutumika kwa nyumba ya kawaida tu?
Acha maneno yako, nina vitu hivyo ulivyotaja lakini haifiki hiuo hela.Nalipa 200,000 umeme kwa mwezi sawa na units kama 550 hivi. Kwa siku average ni units kama 18 hivi.
-Nawasha AC full time chumbani
-Nina friji kubwa sebuleni na Dogo chumbani
-Nina washing mashines
-Nina Air matress
-Music systems
-Nina appliance nyinginezo