King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 60,374
- 88,588
Natumia unit 5-6 kwa siku.
12,000BTU ni roughly 3.5kW = 3500W, kwa power ya namna hiyo kama unatumia hiyo AC 10hrs mfulilizo maana yake ni kwamba 3500W X 10hrs = 35,000Whr sawa na 35kWh. Unit moja ni 1kWh hivyo kwa masaa kumi itatumia 35Units. Hapo sijaweka factor ya size ya room which is also very important.Mkuu mfano mi naplan kununua Hisense ya BTU 12000 nina chumba cha 15*15 inaweza kuwa inakula umeme kiasi gani?
Ongea na mwenye frame, siku hizi tanesco hawakusajili wewe kama ni mpangaji tu, lazima authorization itoke kwa mwenye nyumba na majina kwenye mita yatakuwa yake...Naomba kufahamu utaratibu wa kuwa na luku ya peke yangu katika fremu ya Biashara. Nina matumizi makubwa ya umeme ukilinganisha na fremu zingine. Natamani kufahamu hili ili kuondoa migogoro ya siku za mbeleni. Asante TANESCO
Dah kama ni hivyo watu wasingemiliki AC!12,000BTU ni roughly 3.5kW = 3500W, kwa power ya namna hiyo kama unatumia hiyo AC 10hrs mfulilizo maana yake ni kwamba 3500W X 10hrs = 35,000Whr sawa na 35kWh. Unit moja ni 1kWh hivyo kwa masaa kumi itatumia 35Units. Hapo sijaweka factor ya size ya room which is also very important.
Kama nimekosea nirekebishwe fastaaa!
Kakague earthing system yako huenda kuna shida, kwa vifaa hivyo unatakiwa kutumia angalau 1 au 2
Mimi natumia 1.5 per 24hours au mpaka unit 2 kwa sikuUnatumia yuniti ngapi za LUKU kwa siku?
Wajemeni, siku hizi naona kama mita ya umeme inakimbia. Hivi kwa wastani yuniti ngapi za LUKU hutumika kwa nyumba ya kawaida tu?
Kuna kitu kinaitwa Energy efficiency ratio umesahau. Ni kitu muhimu sana hapo. Mfano upate a/c yenye rating ya 8. Utachukua hiyo 35kWh gawanya kwa 8 ambayo ni average 4.4kwh.12,000BTU ni roughly 3.5kW = 3500W, kwa power ya namna hiyo kama unatumia hiyo AC 10hrs mfulilizo maana yake ni kwamba 3500W X 10hrs = 35,000Whr sawa na 35kWh. Unit moja ni 1kWh hivyo kwa masaa kumi itatumia 35Units. Hapo sijaweka factor ya size ya room which is also very important.
Kama nimekosea nirekebishwe fastaaa!
Dah kama ni hivyo watu wasingemiliki AC!
BTU zinaongeza tu cooling effect per room size. Ila sidhani kama zinakula umeme kiasi hiko!
Kuna kitu kinaitwa Energy efficiency ratio umesahau. Ni kitu muhimu sana hapo. Mfano upate a/c yenye rating ya 8. Utachukua hiyo 35kWh gawanya kwa 8 ambayo ni average 4.4kwh.
Hapo ndio zitakuja other factors kama ukubwa wa chumba na joto kiasi gani linazalishwa humo ndani
Mkuu sijawahi miliki AC ila kwa umeme huo ni kiboko, ina maana AC inakula umeme namna hio!Binafsi sina uwezo wa kutumia AC kwa sababu wengi niliongea nao wanaomiliki AC wanasema umeme wa 10,000 (28+units)kwa siku hautoshi, especially kama unatumia nonstop.
Umeshawahi kuishi nyumba yenye AC na kununua umeme wake? Labda unaweza kuwa na practical experience.
BTU 12000 ni 1.25hp sawa na 0.95kw,hiyo ni cooling capacity ya AC,Tukiweka factor za efficiency tuseme input power kwa AC mpya inaweza kuwa 1.2kw,equivalent to 1.2 unit per hour.factor za ukubwa wa chumba zita determine AC iwake continously kwa muda gani.so kwa wastani AC ya ukubwa huo kwa siku inaweza kula 15units sawa na sh 6000 za kitanzania=serengeti lite 3=liter 3 za petrol.so kupanga ni kuchagua,kakae bar unywe bia tatu,ukirudi ukalale kwenye joto,weka mafuta kwenye gari ukapige misele huku ukiliwazwa na AC ya gari ukirudi ulale kwenye kwenye joto au uweke umeme nyumbani wa kutosha ushinde umelala na kipupwe😂😂😂12,000BTU ni roughly 3.5kW = 3500W, kwa power ya namna hiyo kama unatumia hiyo AC 10hrs mfulilizo maana yake ni kwamba 3500W X 10hrs = 35,000Whr sawa na 35kWh. Unit moja ni 1kWh hivyo kwa masaa kumi itatumia 35Units. Hapo sijaweka factor ya size ya room which is also very important.
Kama nimekosea nirekebishwe fastaaa!
Unatumia yuniti ngapi za LUKU kwa siku?
Wajemeni, siku hizi naona kama mita ya umeme inakimbia. Hivi kwa wastani yuniti ngapi za LUKU hutumika kwa nyumba ya kawaida
Mita za umeme zipo constant, kadri matumizi yako ni makubwa hvyo cost zinakuwa nyingi, vtu vya umeme vinakuwa rated na kitu kina inaitwa "watt" hapo ndipo siri kubwa ilipofichwa ambayo watu wengi hawaijui, soma taa zako zina watt ngapi then zidisha mara masaa ya kuwaka kwake then gawanya kwa 1000 hapo ndipo utajua chombo chako kinatumia unit ngapi then baada yahapo unaweza kupunguza matumizi. " watt×hrs/ 1000 = total unit consumptionUnatumia yuniti ngapi za LUKU kwa siku?
Wajemeni, siku hizi naona kama mita ya umeme inakimbia. Hivi kwa wastani yuniti ngapi za LUKU hutumika kwa nyumba ya kawaida tu?
Tuendelee kupata experience za wengine! Ila AC kama AC nadhani ujiandae!Mkuu sijawahi miliki AC ila kwa umeme huo ni kiboko, ina maana AC inakula umeme namna hio!
Kuna haja ya kuagiza AC ya solar toka china.Tuendelee kupata experience za wengine! Ila AC kama AC nadhani ujiandae!