Unatumia unit ngapi za LUKU kwa siku?

Unatumia unit ngapi za LUKU kwa siku?

Mi nilinunua umeme wa buku 10 ukakaa miezi miwili.

Juzi ukaisha. Nikaweka wa buku 2 ile Alhamisi,nadhaniutakaa week 2.

Pasi, feni, chaja, PC, taa moja mbili.

Uwa sikai ghetto mchana.
 
ukisoma comment za wadau utaona kwa wastan ni unit 5 kwa siku
 
AC ipo mkuu?
Hamna AC hapo boss sema nyumba ni kubwa kiasi vyumba vya kulala vinne, mafeni yanazunguka usiku kucha vyimba vyote, taa za nje kama nane hivi kuzunguka nyumba zimawaka usiku kucha. Jifridge kubwa linaunguruma 24/7 na kupasi pasi nguo daily. Kupasha chakula kwenye microwave n sometimes kuchoma nyama kwemye electric oven.
 
Hamna AC hapo boss sema nyumba ni kubwa kiasi vyumba vya kulala vinne, mafeni yanazunguka usiku kucha vyimba vyote, taa za nje kama nane hivi kuzunguka nyumba zimawaka usiku kucha. Jifridge kubwa linaunguruma 24/7 na kupasi pasi nguo daily. Kupasha chakula kwenye microwave n sometimes kuchoma nyama kwemye electric oven.
Ah sema hapo sio mbaya mkuu kama madude yote unayo hayo. Mi nataka nijue AC inakula unit ngapi kwa siku!
 
Hisense yenye 2300 watts inakula average 9 units kwa masaa 24. Inaweza zidi au kupungua kidogop kulingana na joto la kipindi hiko
Mkuu kuna haja nianzishw uzi nijibiwe zaidi. Na vipi kuhusu zile inverter types! Naona kama ni Technology ambayo inapigiwa chapuo kuwa ni energy saver.
 
Back
Top Bottom