BTU 12000 ni 1.25hp sawa na 0.95kw,hiyo ni cooling capacity ya AC,Tukiweka factor za efficiency tuseme input power kwa AC mpya inaweza kuwa 1.2kw,equivalent to 1.2 unit per hour.factor za ukubwa wa chumba zita determine AC iwake continously kwa muda gani.so kwa wastani AC ya ukubwa huo kwa siku inaweza kula 15units sawa na sh 6000 za kitanzania=serengeti lite 3=liter 3 za petrol.so kupanga ni kuchagua,kakae bar unywe bia tatu,ukirudi ukalale kwenye joto,weka mafuta kwenye gari ukapige misele huku ukiliwazwa na AC ya gari ukirudi ulale kwenye kwenye joto au uweke umeme nyumbani wa kutosha ushinde umelala na kipupwe😂😂😂