mwanyaluke
JF-Expert Member
- Jan 22, 2015
- 473
- 1,448
Tuwe wakweli hakuna kinachouma kama kulipa kodi na unalipa huku unajua kabisa pesa hizi haziendi kuleta maendeleo ya nchi, wanaenda kunufaika familia flani ukibisha hili soma ripoti ya CAG na angalia kinachoendelea TANESCO na sisi tunaofanya biashara za mazao huwa tunapita vijijini utakubali kuwa kodi hazifanyi kazi.
Pamoja na yote hayo kulipa kodi ni wajibu na wajibu huu upo kwa mujibu wa sheria za nchi, mimi binafsi ni mlipa kodi mzuri sana nalipa kodi kupitia ajira yangu ya uwalimu, nalipa kodi za magari yangu ya biashara, nalipa kodi za ardhi nalipa kodi za biashara za mazao nk nikipiga hesabu kiasi ambacho kinaenda serikalini na maendeleo ya nchi najikuta nipo bored sana, hivyo huwa nafikiria mbinu na marifa ya kukwepa kodi zaidi kwa sasa ili kukwepa kodi huwa nafanya haya.
1. Nasajili biashara kwa majina tofauti tofauti, mfano gari zipo tatu na nina mpango wa kuongeza nyingine , hizi nimesajili moja kwa jina la mjomba, nyingine mama na nyingine nimempa mfanyakazi wangu ukiniuliza kwa nini nafanya hivyo ni kwa sababu hawa jamaa wakiona jina lako huwa wananza kukufuata fuata kiboya na kuanza kuwekewa kodi za ajabu.
2. Nawekeza maeneo ambayo hayana kodi, nimeamua kuwekeza sana shambani, ukiwa na heka zaidi ya mia kwa nchi hii hulipi kodi, ila ukiwa na gunia hata 50 tu za mchele pale store pana kodi, so dawa nikuwekeza sana kwenye mashamba, kama una mbinu nyingine ya kukwepa kodi hapa share ili tuongeze marifa, tutakuwa huru kulipa kodi iwapo serikali itaonekana ipo serious kusimamia kodi zenyewe, share mbinu hata haramu ila tu isihushe kuwahonga wafanyakazi wa serikali hasa TRA, polisi na hawa watoza ushuru.
Pamoja na yote hayo kulipa kodi ni wajibu na wajibu huu upo kwa mujibu wa sheria za nchi, mimi binafsi ni mlipa kodi mzuri sana nalipa kodi kupitia ajira yangu ya uwalimu, nalipa kodi za magari yangu ya biashara, nalipa kodi za ardhi nalipa kodi za biashara za mazao nk nikipiga hesabu kiasi ambacho kinaenda serikalini na maendeleo ya nchi najikuta nipo bored sana, hivyo huwa nafikiria mbinu na marifa ya kukwepa kodi zaidi kwa sasa ili kukwepa kodi huwa nafanya haya.
1. Nasajili biashara kwa majina tofauti tofauti, mfano gari zipo tatu na nina mpango wa kuongeza nyingine , hizi nimesajili moja kwa jina la mjomba, nyingine mama na nyingine nimempa mfanyakazi wangu ukiniuliza kwa nini nafanya hivyo ni kwa sababu hawa jamaa wakiona jina lako huwa wananza kukufuata fuata kiboya na kuanza kuwekewa kodi za ajabu.
2. Nawekeza maeneo ambayo hayana kodi, nimeamua kuwekeza sana shambani, ukiwa na heka zaidi ya mia kwa nchi hii hulipi kodi, ila ukiwa na gunia hata 50 tu za mchele pale store pana kodi, so dawa nikuwekeza sana kwenye mashamba, kama una mbinu nyingine ya kukwepa kodi hapa share ili tuongeze marifa, tutakuwa huru kulipa kodi iwapo serikali itaonekana ipo serious kusimamia kodi zenyewe, share mbinu hata haramu ila tu isihushe kuwahonga wafanyakazi wa serikali hasa TRA, polisi na hawa watoza ushuru.