Misaada tunayopewa na Marekani na Nchi za ulaya ni mapato kutoka kwenye mambo yanayokiuka dini / tamaduni zetu

Uncle bright

JF-Expert Member
Feb 9, 2023
1,040
4,080
Mods naombeni msiifute maana maana hizi biashara zote zipo kihalali hizo nchi na zinatozwa kodi ambayo ni sehemu ya mapato ya nchi hizo zinazotumia kiasi flani kuwa misaada

Misaada hii tunayoipata kwa kiasi kikuwa huwa ni kutoka kwenye kodi za biashara za nchi husika, katika biashara hizo kuna ambazo zinafanya vitendo ambavyo vinakiuka maadili yetu iwe kwa dini, tamaduni, n.k. mfano.

Madanguro - Majumba maalum yanayohusika kutoa huduma za kingono, serikali zinachota kodi

Makampuni yanayotengeneza video za watu wazima - Haya ni moja ya makampuni yanayoongoza kulipia kodi, Kwa Marekani pekee mwaka jana makampuni haya yametengeneza takribani Dola bilioni 15 sawa na shilomgi trilioni 38,

Waigizaji wa filamu za watu wazima - na ni mpaka wale wa jinsia moja, wapo mabilionea wanafanya hizi shughuli kodi zao ni takribani nusu ya mishahara.

Wanaojiuza miili - Kwa nchi kama Marekani watu hawa wamesajiliwa kabisa, mteja moja hulipia takribani laki 3 kupata huduma, Serikali huchota kodi

Hospitali zinazobadili jinsia - Sio bure kufanyiwa hio huduma hugharimu makumi ya mamilioni, kiasi flani kinachajiwa kama kodi
 
Mods naombeni msiifute maana maana hizi biashara zote zipo kihalali hizo nchi na zinatozwa kodi ambayo ni sehemu ya mapato ya nchi hizo zinazotumia kiasi flani kuwa misaada

Misaada hii tunayoipata kwa kiasi kikuwa huwa ni kutoka kwenye kodi za biashara za nchi husika, katika biashara hizo kuna ambazo zinafanya vitendo ambavyo vinakiuka maadili yetu iwe kwa dini, tamaduni, n.k. mfano.

Madanguro - Majumba maalum yanayohusika kutoa huduma za kingono, serikali zinachota kodi

Makampuni yanayotengeneza video za watu wazima - Haya ni moja ya makampuni yanayoongoza kulipia kodi, Kwa Marekani pekee mwaka jana makampuni haya yametengeneza takribani Dola bilioni 15 sawa na shilomgi trilioni 38,

Waigizaji wa filamu za watu wazima - na ni mpaka wale wa jinsia moja, wapo mabilionea wanafanya hizi shughuli kodi zao ni takribani nusu ya mishahara.

Wanaojiuza miili - Kwa nchi kama Marekani watu hawa wamesajiliwa kabisa, mteja moja hulipia takribani laki 3 kupata huduma, Serikali huchota kodi

Hospitali zinazobadili jinsia - Sio bure kufanyiwa hio huduma hugharimu makumi ya mamilioni, kiasi flani kinachajiwa kama kodi
Mkuu,

Hata huu mtandao wa internet umeanzishwa nao kama vipi hata mtandao huu ususie tu.
 
Back
Top Bottom