Aisee mzee unataka nikitupe cha ngapi sasa? 😂
Black cherry 🍒
Ndio ninaowatakaWazeee wana masharti magumu last born
Au vijana nao hawakutaki binti umeona fursa kwa vikongwe?Ndio ninaowataka
Sijapendaa🥲
Uko sahihi kabisaAu vijana nao hawakutaki binti umeona fursa kwa vikongwe?
Ni hivi anza na muamala then tuendelee😎Una kiswahili kigumu.
Sawa basi nikupe siri sasaUko sahihi kabisa
Hebu nipeSawa basi nikupe siri sasa
Huwezi ukawa unaninyima vitu kama hivyo!Sio kweliiiiii😀
Wewe kama binti jukumu lako haijalishi ni nyoka mdogo au mkubwa akiingia ndani ni lazima upige kelele na sio ombi ili kulinda heshima kwa wazee wetu katika jamiiHebu nipe