Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 29,666
- 86,207
Heeh! Mbona kasheshe sasa🙆🏽♀️Wewe kama binti jukumu lako haijalishi ni nyoka mdogo au mkubwa akiingia ndani ni lazima upige kelele na sio ombi ili kulinda heshima kwa wazee wetu katika jamii
Heeh! Mbona kasheshe sasa🙆🏽♀️Wewe kama binti jukumu lako haijalishi ni nyoka mdogo au mkubwa akiingia ndani ni lazima upige kelele na sio ombi ili kulinda heshima kwa wazee wetu katika jamii
Kuna mtu unamuogopa😃Sijui nijilipue.
Unanini hasa cha maajabu mpaka ugombaniwe,??!!😏😏🐒🐒
Huwezi?Heeh! Mbona kasheshe sasa🙆🏽♀️
Siogopi mtu.Kuna mtu unamuogopa😃
"Chawa" ni watu wenye story nyingi za town , unachuj na wewe, bila hawa watu huwezi jua Biafra imuwa kwa CCm.
Kukufumua na kukushona kwa pamoja...Nakuja unifumue Sitaki soga zenyu!
Hivi hizi picha unapata wapi na unazo ngapi brother 😁😁