7 ELEVEN
Member
- May 29, 2017
- 74
- 138
waliokata tamaa ndio hukimbilia kusema hivyo na hasa baada ya kuona hawafit kuwa katika ndoa. Mwanamke decent na anayejitambua anawish kuwa na familia bora atulie na mume wake walee watoto waenjoy life. sasa mtu akiwa gume gume nani atamuoa?alafu mkuu sio wanwake wote wanawish kuolewa yaan nahis unajidanganya sana aic kuna wengn wanataka kuzaa tu
o
na mtu akishajiona gume gume lazima aseme kuwa yeye hawish kuolewa. ataolewa na nani sasa? kuna mwanaume anataka mwanamke kimeo? acheni kudanganya wenzenu bana.
kuweni tu wakweli kwamba mahusiano yakiwashinda ndio mnakimbilia kusema sio kila mwanamke anataka kuolewa, ila ukweli ndani ya nafsi zenu mnatafuta sana wanaume wa kuwaoa lakini yakibuma lazima mjifariji na kauli zenu hizo tata