Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,503
- 176,619
Teh kuna siku namsikia mmama anamwambia mtoto wa ndugu yake "ukiwa unaenda kwa fulani (babes) uwe unaenda na B, anaweza akapata mchumba katika marafiki wa fulani".

Teh kuna siku namsikia mmama anamwambia mtoto wa ndugu yake "ukiwa unaenda kwa fulani (babes) uwe unaenda na B, anaweza akapata mchumba katika marafiki wa fulani".

Mmmh hata kama ameachieve kitu still tutaona mafanikio yake hayajakamilika bila NdoaBora uwe umeachive kitu fulani ktk jamii watu watakutumia kama mfano, utasikia "mbona Oprah hajaolewa", ila ukiwa kajamba nani weeeeh!!!!
Kwa kweli mtu maisha yake tu yanamshinda, ila kwa kupangia wenzake sasa teh. Hiyo mipango si atumie kwakeHaswaa.Mimi sitaki kumpangiamtu maisha kama nisivyotaka kupangiwa maisha mimi.
Do unto others as you would have them do unto you. That is a golden rule.
Nikajua umepigwa ban, maana sio kwa kuadimika huko.Shkamo antie..
Nakumiss
Uwe unanipitia basi twendage wote teh
Mkuu hiyo ni athari ya mazingira aliyekulia mtu yeyote. Sio chaguo lako kuwa kama ulivyo bali ni mazingira yako.Wakati mwingine huwa naona fikra na mitazamo yangu haiendani kabisa na mitazamo na tamaduni za Kitanzania.
Maana...kama watu ni mashoga huwa sijali kama hawaingii kwenye anga zangu....wasiotaka kuwepo kwenye ndoa huwa nawaelewa na wala huwa siwahukumu....na kwa ujumla huwa sijali sana namna ambavyo watu wengine huamua kuishi watakavyo.
Inaweza kusikika au kuonekana vibaya lakini huwa naona kama vile nilizaliwa kwenye hii jamii kimakosa!!!
![]()
![]()
![]()
![]()
Au unaanza kuunganishiwa date na watu fulani fulani khaaaah!!!
Wanaume nao wamegawanyika hivyohivyo, waoaji na wachezaji. Wachezaji huwa ni vigumu sana kutua kwenye viwanja vya waolewaji labda kama muolewaji yuko mguu pande kwenye suala la ndoa. Mada imefafanua vizuri upande wa wadada.Mwanamke unajiweka tayari sawa!! Sasaaaaa hao the so called waume duuuh!! Bora waanze kujiandaa wao kwakweli.
Utasikia "hivi una mchumba?" Ukijibu "sina" mswali yanaanza duuuh!! Haya mambo jamani!!!hhhahhahahah dah mby sana
Nipo antie, nakimbizana na maisha tuu...Nikajua umepigwa ban, maana sio kwa kuadimika huko.
Huko huko unapoendaga shoga angu![]()
![]()
Nimecheka kama mazuriUtasikia "hivi una mchumba?" Ukijibu "sina" mswali yanaanza duuuh!! Haya mambo jamani!!!
Utasikia "hivi una mchumba?" Ukijibu "sina" mswali yanaanza duuuh!! Haya mambo jamani!!!
Mkuu hiyo ni athari ya mazingira aliyekulia mtu yeyote. Sio chaguo lako kuwa kama ulivyo bali ni mazingira yako.
kila week wachungaji wanakuja kukuombea hahaha