Unataka kuolewa mdada umejipanga?

Unataka kuolewa mdada umejipanga?

Kuna mda aymatu bahati pia ujue unaweza ukawa upo na mwanaume unavaa uhusika wa mke mpaka kwake kila kitu unafanya msikini unajitoa kwa njia zote cha kwake ni chako tena mmekaa mda mrefu mwisho wa siku unaachwa anakuja kuolewa mwingine hata mwaka hawajamaliza
Kwakweli ni bahati, kuna wanawake ni wife material hatari alafu walaaa ndoa wanazisikia tu, sasa kuna hao wengine alijsemea sijui nani yule humu eti "kuna 'makatapila' huwa yanaolewa hadi unawaza hivi huyu mwanaume anamfahamu vizuri huyo mwanamke".
 
Kwakweli ni bahati, kuna wanawake ni wife material hatari alafu walaaa ndoa wanazisikia tu, sasa kuna hao wengine alijsemea sijui nani yule humu eti "kuna 'makatapila' huwa yanaolewa hadi unawaza hivi huyu mwanaume anamfahamu vizuri huyo mwanamke".
Kweli auntie bahati inachangia sana ndio kama hivyo
 
Kwakweli ni bahati, kuna wanawake ni wife material hatari alafu walaaa ndoa wanazisikia tu, sasa kuna hao wengine alijsemea sijui nani yule humu eti "kuna 'makatapila' huwa yanaolewa hadi unawaza hivi huyu mwanaume anamfahamu vizuri huyo mwanamke".



hahahahahahhaa makatapila ;lol
 
Kuna mwanafunzi wa kike aliwahi kunipa jibu moja matataa hadi nilihisi kizungu zungu, siku ya siku nikamkuta akitukanana na mama yake, basi nikapumua tu. Kama mama anatukanwa vile basi mimi alinistahi sana.
😀 😀 😀 😀 😀 acha tuu umenikumbusha mbalii
 
Kuna mwanafunzi wa kike aliwahi kunipa jibu moja matataa hadi nilihisi kizungu zungu, siku ya siku nikamkuta akitukanana na mama yake, basi nikapumua tu. Kama mama anatukanwa vile basi mimi alinistahi sana.
Aisee halaf kingine malezi nahisi yanachangia umemleaje mtoto wako katika mazingira yapii
 
Mwanamke unajiweka tayari sawa!! Sasaaaaa hao the so called waume duuuh!! Bora waanze kujiandaa wao kwakweli.
Hivi mtu kujiweka vizuri ie kubehave vizuri and all that ni hadi ukihitaji kuolewa? Can't you just be a good person kwa sababu that's how it is supposed to be? Ndo kisa cha kupata watu fake, mtu akihitaji mume ndo anaanza kwenda kanisani, akimpata anaacha, she was just doing it for marriage, ashaipata ahangaikie nini sasa
 
Back
Top Bottom