Unataka kuolewa mdada umejipanga?

Unataka kuolewa mdada umejipanga?

Yes yatokee automatically basi, not necessarily kwa ajili ya ndoa, but kwa sababu kila siku tunajitahidi kuwa watu better zaidi ya tulivyokuwa jana. Ila jamii yetu ndo inatuharibu sometimes, no wonder tunajudge sana watu ambao wapo tofauti na sisi, kwa sababu tunahisi sisi tulivyoaminishwa ndo kutatufanya uolewe. What matters here ni mtu kuwa real, there is someone for everyone so far. Ndo maana kuna watu kwa macho yetu tuliona na kutabiri kuwa hawatoolewa Ila ndo they are living their happily ever after, watabiri tupogo tu. Kila mtu na abehave vyema kwa sababu kimaadili ndivyo inavyotakiwa, sio kwa sababu hujaolewa ndo ubehave vibaya.
Hivi kama mdada kaamuayeye hataolewa, maisha yake anatakakusoma agundue dawa ya kansaapate kusaidia mamilioni ya watu, na hilokwake ni muhimu kulikokuwa na mume na watotokamawatu wengine, hapokuna tatizo gani?

Mimi nitamuona huyo amefanya jambo la maana sana kuliko hawa wanandoa ambao hawaishi michepuko na ugomvi kila uchwao.
 
Yes yatokee automatically basi, not necessarily kwa ajili ya ndoa, but kwa sababu kila siku tunajitahidi kuwa watu better zaidi ya tulivyokuwa jana. Ila jamii yetu ndo inatuharibu sometimes, no wonder tunajudge sana watu ambao wapo tofauti na sisi, kwa sababu tunahisi sisi tulivyoaminishwa ndo kutatufanya uolewe. What matters here ni mtu kuwa real, there is someone for everyone so far. Ndo maana kuna watu kwa macho yetu tuliona na kutabiri kuwa hawatoolewa Ila ndo they are living their happily ever after, watabiri tupogo tu. Kila mtu na abehave vyema kwa sababu kimaadili ndivyo inavyotakiwa, sio kwa sababu hujaolewa ndo ubehave vibaya.
Ni mifumo ya jamii zetu ndizo zinatufanya tufikiri hivyo.
Na the pressure is too high, ukifikiria tofauti haueleweki. Utaitwa kila aina ya jina, umeshindikana, nungayembe,nk.
 
Hivi kama mdada kaamuayeye hataolewa, maisha yake anatakakusoma agundue dawa ya kansaapate kusaidia mamilioni ya watu, na hilokwake ni muhimu kulikokuwa na mume na watotokamawatu wengine, hapokuna tatizo gani?

Mimi nitamuona huyo amefanya jambo la maana sana kuliko hawa wanandoa ambao hawaishi michepuko na ugomvi kila uchwao.
Haha kwanza kibongo bongo wanaosemaga hawataki kuolewa tunawaonaga tu kama fungu la kikosi au sitaki nataka (Ingawa wapo pia). Hatuamini kuwa kuna watu ambao hawana wito wa ndoa kama sisi, ila ndo wapo na ndo maisha walochagua.
 
Kuna mda aymatu bahati pia ujue unaweza ukawa upo na mwanaume unavaa uhusika wa mke mpaka kwake kila kitu unafanya msikini unajitoa kwa njia zote cha kwake ni chako tena mmekaa mda mrefu mwisho wa siku unaachwa anakuja kuolewa mwingine hata mwaka hawajamaliza
Shunie kama ulivyoeleza kwenye mada, huyo muolewa akiisha kuwa tayari kwa ndoa - kachanua, nyuki watakaofuata ni waoaji na sio wale wengine. Mdada anapaswa kuonyesha kuwa yuko tayari kwa ndoa sio tena mahusiano ya kipindi kirefu pasipo kuingia kwenye hatua zinazoelekea ndoa.
 
Haha kwanza kibongo bongo wanaosemaga hawataki kuolewa tunawaonaga tu kama fungu la kikosi au sitaki nataka. Hatuamini kuwa kuna watu ambao hawana wito wa ndoa kama sisi, ila ndo wapo na ndo maisha walochagua.
Kila mtu kivyake, anayetaka kuolewa aolewe, anayetaka kutoolewa asiolewe, hakuna kumlazimisha mtuwala kumnyanyapaa.

Tatizo liko wapi?

Mtu mzima watu wanataka kumpangia maisha kama mtoto?

Kuna wengine hawatakikuolewakwa sababu mfumo wao wa ndoa haujawasili rasmi kwetu bado.

Wanawapanga "waumewenza" na wanaume wanajijua hawafanyi kitu.

Kivyaovyao tu, kama hawajaingia kwenye reli zangu mimi kwanini niwamind?
 
Ni mifumo ya jamii zetu ndizo zinatufanya tufikiri hivyo.
Na the pressure is too high, ukifikiria tofauti haueleweki. Utaitwa kila aina ya jina, umeshindikana, nungayembe,nk.
Mie waniitage tu, ila kuishi kuiplease jamii nehi nehi. Ukifanya A, utaulizwa mbona hufanyi B, Ukifanya B Eeeh blah blah na bado ukifail ndo wa kwanza kukucheka. We should live and let live
 
Hivi kama mdada kaamuayeye hataolewa, maisha yake anatakakusoma agundue dawa ya kansaapate kusaidia mamilioni ya watu, na hilokwake ni muhimu kulikokuwa na mume na watotokamawatu wengine, hapokuna tatizo gani?

Mimi nitamuona huyo amefanya jambo la maana sana kuliko hawa wanandoa ambao hawaishi michepuko na ugomvi kila uchwao.
Bora uwe umeachive kitu fulani ktk jamii watu watakutumia kama mfano, utasikia "mbona Oprah hajaolewa", ila ukiwa kajamba nani weeeeh!!!!
 
Mungu sitochoka kukuomba unipe yule wa ubavu wangu ,wakufanana na mim pale muda utakapofika naamin wa kwangu yupo mahal ,
Soma pia ushauli wa mtoa mada utakusaidia kukufungua macho. Mungu hukupa macho uone na maarifa ufanye. Iko hatari ya kuona watu kama miti.
 
Mungu sitochoka kukuomba unipe yule wa ubavu wangu ,wakufanana na mim pale muda utakapofika naamin wa kwangu yupo mahal ,
Teh teh Ubavu wako? Kuna mtu katoka ubavun mwako?wewe n ubavu wa mtu,... wakufanana na wewe au wewe ufanane nae? umetoka ubavun kwake, utafanana nae sio yeye afanane na wewe, wewe n sehemu yake
 
Haha kwanza kibongo bongo wanaosemaga hawataki kuolewa tunawaonaga tu kama fungu la kikosi au sitaki nataka. Hatuamini kuwa kuna watu ambao hawana wito wa ndoa kama sisi, ila ndo wapo na ndo maisha walochagua.
Si umeona nimequote quotes mbili, ile ya 7sijui nini na ya alwatan, umeona zinavyopingana? Sasa ule ndio mtazamo wa wabongo wengi. Yaani hata uwe na mafanikio bado watauliza "hivi kaolewa" maana mafanikio ya mwanamke ni pamoja na hilo.
 
Kila mtu kivyake, anayetaka kuolewa aolewe, anayetaka kutoolewa asiolewe, hakuna kumlazimisha mtuwala kumnyanyapaa.

Tatizo liko wapi?

Mtu mzima watu wanataka kumpangia maisha kama mtoto?

Kuna wengine hawatakikuolewakwa sababu mfumo wao wa ndoa haujawasili rasmi kwetu bado.

Wanawapanga "waumewenza" na wanaume wanajijua hawafanyi kitu.

Kivyaovyao tu, kama hawajaingia kwenye reli zangu mimi kwanini niwamind?
Kila mtu na chaguo lake
 
Wakati mwingine huwa naona fikra na mitazamo yangu haiendani kabisa na mitazamo na tamaduni za Kitanzania.

Maana...kama watu ni mashoga huwa sijali kama hawaingii kwenye anga zangu....wasiotaka kuwepo kwenye ndoa huwa nawaelewa na wala huwa siwahukumu....na kwa ujumla huwa sijali sana namna ambavyo watu wengine huamua kuishi watakavyo.

Inaweza kusikika au kuonekana vibaya lakini huwa naona kama vile nilizaliwa kwenye hii jamii kimakosa!!!
 
Back
Top Bottom