Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,377
Teh siku utashangaa tu "mwanangu kuna mtumishi yupo sehemu fulani, twende ukaombewe uolewe"![]()
![]()
![]()
![]()
Na umri fulani ukifika ndoa bado jamii inaanza kukuangalia kwa jicho tofauti.

Teh siku utashangaa tu "mwanangu kuna mtumishi yupo sehemu fulani, twende ukaombewe uolewe"![]()
![]()
![]()
![]()
Na umri fulani ukifika ndoa bado jamii inaanza kukuangalia kwa jicho tofauti.

Hivi kama mdada kaamuayeye hataolewa, maisha yake anatakakusoma agundue dawa ya kansaapate kusaidia mamilioni ya watu, na hilokwake ni muhimu kulikokuwa na mume na watotokamawatu wengine, hapokuna tatizo gani?Yes yatokee automatically basi, not necessarily kwa ajili ya ndoa, but kwa sababu kila siku tunajitahidi kuwa watu better zaidi ya tulivyokuwa jana. Ila jamii yetu ndo inatuharibu sometimes, no wonder tunajudge sana watu ambao wapo tofauti na sisi, kwa sababu tunahisi sisi tulivyoaminishwa ndo kutatufanya uolewe. What matters here ni mtu kuwa real, there is someone for everyone so far. Ndo maana kuna watu kwa macho yetu tuliona na kutabiri kuwa hawatoolewa Ila ndo they are living their happily ever after, watabiri tupogo tu. Kila mtu na abehave vyema kwa sababu kimaadili ndivyo inavyotakiwa, sio kwa sababu hujaolewa ndo ubehave vibaya.
Ni mifumo ya jamii zetu ndizo zinatufanya tufikiri hivyo.Yes yatokee automatically basi, not necessarily kwa ajili ya ndoa, but kwa sababu kila siku tunajitahidi kuwa watu better zaidi ya tulivyokuwa jana. Ila jamii yetu ndo inatuharibu sometimes, no wonder tunajudge sana watu ambao wapo tofauti na sisi, kwa sababu tunahisi sisi tulivyoaminishwa ndo kutatufanya uolewe. What matters here ni mtu kuwa real, there is someone for everyone so far. Ndo maana kuna watu kwa macho yetu tuliona na kutabiri kuwa hawatoolewa Ila ndo they are living their happily ever after, watabiri tupogo tu. Kila mtu na abehave vyema kwa sababu kimaadili ndivyo inavyotakiwa, sio kwa sababu hujaolewa ndo ubehave vibaya.
Mwanamke unajiweka tayari sawa!! Sasaaaaa hao the so called waume duuuh!! Bora waanze kujiandaa wao kwakweli.
Haha kwanza kibongo bongo wanaosemaga hawataki kuolewa tunawaonaga tu kama fungu la kikosi au sitaki nataka (Ingawa wapo pia). Hatuamini kuwa kuna watu ambao hawana wito wa ndoa kama sisi, ila ndo wapo na ndo maisha walochagua.Hivi kama mdada kaamuayeye hataolewa, maisha yake anatakakusoma agundue dawa ya kansaapate kusaidia mamilioni ya watu, na hilokwake ni muhimu kulikokuwa na mume na watotokamawatu wengine, hapokuna tatizo gani?
Mimi nitamuona huyo amefanya jambo la maana sana kuliko hawa wanandoa ambao hawaishi michepuko na ugomvi kila uchwao.
Teh siku utashangaa tu "mwanangu kuna mtumishi yupo sehemu fulani, twende ukaombewe uolewe"![]()
![]()
Shunie kama ulivyoeleza kwenye mada, huyo muolewa akiisha kuwa tayari kwa ndoa - kachanua, nyuki watakaofuata ni waoaji na sio wale wengine. Mdada anapaswa kuonyesha kuwa yuko tayari kwa ndoa sio tena mahusiano ya kipindi kirefu pasipo kuingia kwenye hatua zinazoelekea ndoa.Kuna mda aymatu bahati pia ujue unaweza ukawa upo na mwanaume unavaa uhusika wa mke mpaka kwake kila kitu unafanya msikini unajitoa kwa njia zote cha kwake ni chako tena mmekaa mda mrefu mwisho wa siku unaachwa anakuja kuolewa mwingine hata mwaka hawajamaliza
Kila mtu kivyake, anayetaka kuolewa aolewe, anayetaka kutoolewa asiolewe, hakuna kumlazimisha mtuwala kumnyanyapaa.Haha kwanza kibongo bongo wanaosemaga hawataki kuolewa tunawaonaga tu kama fungu la kikosi au sitaki nataka. Hatuamini kuwa kuna watu ambao hawana wito wa ndoa kama sisi, ila ndo wapo na ndo maisha walochagua.
Mie waniitage tu, ila kuishi kuiplease jamii nehi nehi. Ukifanya A, utaulizwa mbona hufanyi B, Ukifanya B Eeeh blah blah na bado ukifail ndo wa kwanza kukucheka. We should live and let liveNi mifumo ya jamii zetu ndizo zinatufanya tufikiri hivyo.
Na the pressure is too high, ukifikiria tofauti haueleweki. Utaitwa kila aina ya jina, umeshindikana, nungayembe,nk.
Bora uwe umeachive kitu fulani ktk jamii watu watakutumia kama mfano, utasikia "mbona Oprah hajaolewa", ila ukiwa kajamba nani weeeeh!!!!Hivi kama mdada kaamuayeye hataolewa, maisha yake anatakakusoma agundue dawa ya kansaapate kusaidia mamilioni ya watu, na hilokwake ni muhimu kulikokuwa na mume na watotokamawatu wengine, hapokuna tatizo gani?
Mimi nitamuona huyo amefanya jambo la maana sana kuliko hawa wanandoa ambao hawaishi michepuko na ugomvi kila uchwao.
Soma pia ushauli wa mtoa mada utakusaidia kukufungua macho. Mungu hukupa macho uone na maarifa ufanye. Iko hatari ya kuona watu kama miti.Mungu sitochoka kukuomba unipe yule wa ubavu wangu ,wakufanana na mim pale muda utakapofika naamin wa kwangu yupo mahal ,
Teh teh Ubavu wako? Kuna mtu katoka ubavun mwako?wewe n ubavu wa mtu,... wakufanana na wewe au wewe ufanane nae? umetoka ubavun kwake, utafanana nae sio yeye afanane na wewe, wewe n sehemu yakeMungu sitochoka kukuomba unipe yule wa ubavu wangu ,wakufanana na mim pale muda utakapofika naamin wa kwangu yupo mahal ,
Teh kuna siku namsikia mmama anamwambia mtoto wa ndugu yake "ukiwa unaenda kwa fulani (babes) uwe unaenda na B, anaweza akapata mchumba katika marafiki wa fulani".![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Au unaanza kuunganishiwa date na watu fulani fulani khaaaah!!!
Si umeona nimequote quotes mbili, ile ya 7sijui nini na ya alwatan, umeona zinavyopingana? Sasa ule ndio mtazamo wa wabongo wengi. Yaani hata uwe na mafanikio bado watauliza "hivi kaolewa" maana mafanikio ya mwanamke ni pamoja na hilo.Haha kwanza kibongo bongo wanaosemaga hawataki kuolewa tunawaonaga tu kama fungu la kikosi au sitaki nataka. Hatuamini kuwa kuna watu ambao hawana wito wa ndoa kama sisi, ila ndo wapo na ndo maisha walochagua.
Wacha we!!!Mwanamke Ndo Unatakiwa Umfanye Mwanaume Akuoe
Kila mtu na chaguo lakeKila mtu kivyake, anayetaka kuolewa aolewe, anayetaka kutoolewa asiolewe, hakuna kumlazimisha mtuwala kumnyanyapaa.
Tatizo liko wapi?
Mtu mzima watu wanataka kumpangia maisha kama mtoto?
Kuna wengine hawatakikuolewakwa sababu mfumo wao wa ndoa haujawasili rasmi kwetu bado.
Wanawapanga "waumewenza" na wanaume wanajijua hawafanyi kitu.
Kivyaovyao tu, kama hawajaingia kwenye reli zangu mimi kwanini niwamind?
Haswaa.Mimi sitaki kumpangia mtu mzima maisha kama nisivyotaka kupangiwa maisha mimi.Kila mtu na chaguo lake