Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,503
- 176,618
We chukua ujumbe bwana.Hii umeandikiwa na mtu au umeandika mwenyewe?
We chukua ujumbe bwana.Hii umeandikiwa na mtu au umeandika mwenyewe?
weee..nilishika kichwa mm kuona aibu mmUwiiiii![]()
![]()
![]()
![]()
Mkwe kaingia anga sio!!!
SawaWe chukua ujumbe bwana.
Ohoooooo!!! Kuna watu wamepinda duuh!!!weee..nilishika kichwa mm kuona aibu mm
anamuambia mama unajua mm mwanao naongea nae vipi
ukitaka usikilizwe hebu mpe nnavyompaa
We ulivyosoma umeelewaje
Majibu yanaendana na maswali.hhahaha nimependa jibu lako hahaha ndo maana tunaambiwa tuna majibu lol! ndo haya sasa
Kwakweli aibu unaona wewe unayesikiliza!Aibu aliona geni naona
![]()
![]()
sasa auntie unajibu nini kwa mfano hapo
We kuna watu wanajua kutukana jamani, yaani hadi unaweza hisi unatoboka!!!Hahahha geni naona ilibidi akimbie