Tatizo sio kidogo, ni mwanamke mzuri yani watangaza ndoa wapo ila kwa mdomo ule ataolewa akiwa na mkongojo, mwenyewe anavotamani ndoaMdomo nao ni tatizo jamaan
Angalia tips hizo hapo umepewa ewe mkuu nyuki hhahhahahaNatafuta mke jamani.
Kwa style hiyo ataishia tu kucheza kwaito za wenzie abadilike tu mdomo mdomo mdomo jamaan ni jangaTatizo sio kidogo, ni mwanamke mzuri yani watangaza ndoa wapo ila kwa mdomo ule ataolewa akiwa na mkongojo, mwenyewe anavotamani ndoa
Are youserious?Natafuta mke jamani.
Hapana kuchezea fursa tena kwa usawa huu wa JPM we.Hahahhh
Mazoea mabaya sn,ukimlamba mwanaume miguu sana na akajua unahitaji ndoa kuliko hata yeye anakimbia...mda mwingine wanawake tujitathmini tumeaminishwa kupenda status ya ndoa kuliko kuenjoy mapenzi na mwanaume husika,, hata akufanyie b.sh.it unavumilia tu ili uolewe jmn..not always akikosea na ye mchane live ama km vp walk away...atleast tishia japo...na mpende mwanaume jinsi alivyo ndoa ni matokeo ya mapenzi baina yenu..tupunguze kupenda harusi tupende ndoa na kuishi kwa amaniNajaribugi kufikiria tatizo hasa ni lipi hata sijalijua maana utakuta kuna wapo ktk huo mkao wa kuwa mama/mke lakin bado hawaolewi tena wakiwa na maadili mazuri.
Huku tukisema kuongeza mathna/wawili lakin kutwa kusema ohoo nani wa kuolewa upili sijui nani wa kushare mume,lakin huku mkiendelea kulilia ndoa.
Kuna maisha lazima yabadilike ukiwa kwenye ndoaU remind me before I got married... Would think sometimes kabla ya kuvaa nguo flani ama kuongea...hivi ningekua mke wa mtu ningevaa hivii, ningepost hii kitu kweli nk...ngekua Mrs flan ngeongea hv mhh hapana
It really helps you become a decent and better woman... Vtu mbofu mbofu unaacha kuongea..u serve people better etc...ts good kupiga picha utakuaje ktk ndoa kabla hujaingia
Duuh ni mbea, ana mdomo mchafu au anaongea kupitiliza?Kuna dada mmoja ye huwa anaisha kuvalishwa engagement tu, Watu wanakula kona sababu ni mdomo wake
Wanawake kwa midomo hatujambo...some wanahitaji msaada wa kiroho kbs... Sijuo km kuna mwanaume mpenda kelele nyumbaniTatizo sio kidogo, ni mwanamke mzuri yani watangaza ndoa wapo ila kwa mdomo ule ataolewa akiwa na mkongojo, mwenyewe anavotamani ndoa
YesAre youserious?
Hii najua inaumaa kwel kwel tena nakumbka mwanamke nilietarajia halafu kaolewa naona asee mpaka leo sitamanigi ndoa sema wakat wake ukifika mungu akajaalia anaefaa kuwa mke basi ntakuwa miongoni mwa wenye ndoa.Kuna mda aymatu bahati pia ujue unaweza ukawa upo na mwanaume unavaa uhusika wa mke mpaka kwake kila kitu unafanya msikini unajitoa kwa njia zote cha kwake ni chako tena mmekaa mda mrefu mwisho wa siku unaachwa anakuja kuolewa mwingine hata mwaka hawajamaliza
poa shunieHahahh
Sawa Jose