Designer_3434
JF-Expert Member
- Dec 4, 2015
- 4,930
- 3,981
Huyu jamaa kiboko.hahahahahahahahah! walah ndoa hizi khaaa!nilifanya bwana ile ya kupokea had koti siju nkumvua viatu,i kufungua vishikizo aliniuliza oya UMETUMWA NA CHADEMA EH???yaan niliishia kucheka hatari kwakwel kila mtu na ndoa yake