Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,911
- 183,311
Bamdogo wako ana kifua cha mbu masikini. Nenda kambembeleze.Nilikuta ule uzi umefungwa jamaan hivi amejitoaje lakini bamdogo sababu ya maneno ya watu nimemmiss jaman
Bamdogo wako ana kifua cha mbu masikini. Nenda kambembeleze.Nilikuta ule uzi umefungwa jamaan hivi amejitoaje lakini bamdogo sababu ya maneno ya watu nimemmiss jaman
Ulikuwa wapi jamani, welikamu.Nawaza hapa kama mwanamke ni ua linalosubiri nyuki wa kutua juu yake sasa ukute hilo ua limeota karibu na mashine ya kusaga sipati picha hao nyuki wa mashineni! Muachage kufananisha wanawake na vitu vya ajabu ajabu vyepesi visivyo na utashi. Uliona wapi ua likichagua nyuki?
SawaNawaza hapa kama mwanamke ni ua linalosubiri nyuki wa kutua juu yake sasa ukute hilo ua limeota karibu na mashine ya kusaga sipati picha hao nyuki wa mashineni! Muachage kufananisha wanawake na vitu vya ajabu ajabu vyepesi visivyo na utashi. Uliona wapi ua likichagua nyuki?
Mi mwenyewe nilicheka ile siku!! Hata siamini kama ndio kweli kaisusia jf masikini!!![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] bamdogo kumbe muoga hiviii
Daah yaan niliingia jf sa 5 usiku nakuta uzi una kufuli jamaan bamdogo daby urudi jamaan watu hawakujui wanakukoseshaje amani au ndio unasoma kimya kimyaMi mwenyewe nilicheka ile siku!! Hata siamini kama ndio kweli kaisusia jf masikini!!!
Ngoja nikacheki last seen!!Daah yaan niliingia jf sa 5 usiku nakuta uzi una kufuli jamaan bamdogo daby urudi jamaan watu hawakujui wanakukoseshaje amani au ndio unasoma kimya kimya
Kwan Ney anataka tuwafunde nini jamaan anataka tutolewe povu
Akitokea nyoka ndio mwafwaaaaa!!!
Mie nawaangalia tu mnavojisahau!!! Mtachambwa mjute, maana kuna vivulana humu bi chau kasingiziwa.
Ngoja nikacheki last seen!!
Ebu mcheki jamaan umwite akuje
Wakichamba si tunachambana kwani tatizo li kwapi?!, tena itakuwa vizuri, tusafishane vizuri.Hapana jamaaan me sitaki wanaume wa humu wanachamba jamaan
Hao wavulana ndio ninao wataka mie wala hawatanishindaMie nawaangalia tu mnavojisahau!!! Mtachambwa mjute, maana kuna vivulana humu bi chau kasingiziwa.