Nalendwa
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 7,466
- 13,031
Nashukuru nimekaribia!Umeona eenh karibu sana mamy tulimiss tu uwepo wako
Nashukuru nimekaribia!Umeona eenh karibu sana mamy tulimiss tu uwepo wako
Mchanga Wa makinikiaAnatukana matusi mazito yani yanabebeka kwenye Lori la mchanga, haangalii mkubwa mdogo, ofisini wala wapi

Namuona muke ya ben in da hausi.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
ebitokeeeeee



hahahahahahahahah! walah ndoa hizi khaaa!nilifanya bwana ile ya kupokea had koti siju nkumvua viatu,i kufungua vishikizo aliniuliza oya UMETUMWA NA CHADEMA EH???yaan niliishia kucheka hatari kwakwel kila mtu na ndoa yake

Last time kapata mchumba, akamuektia mchumba kaingia line akamvalisha engagement, kuanza upelelezi jamaa akaambiwa huyo mwanamke hafai anatukana mno, jamaa kaenda kumuuliza baby nmesikia hivi na hivi, swali la kwanza mwanamke kauliza ni matak* gani huyo kasema, akashusha matusi mchumba akamwambia basi mama hiyo pete utatengeneza hereni, kala kona





Mfyuuu zenu na robo, kisa cha kunichekesha usiku wote huu ni nini? Eti umetumwa na Chadema hahahahahahahahahahah! walah ndoa hizi khaaa!nilifanya bwana ile ya kupokea had koti siju nkumvua viatu,i kufungua vishikizo aliniuliza oya UMETUMWA NA CHADEMA EH???yaan niliishia kucheka hatari kwakwel kila mtu na ndoa yake
![]()
![]()
![]()
![]()
Na moyo uliopondeka.
![]()
![]()
![]()
Haha me nishamgawa mrs air aic
![]()
![]()
![]()
![]()
Au unaanza kuunganishiwa date na watu fulani fulani khaaaah!!!
Si umeona nimequote quotes mbili, ile ya 7sijui nini na ya alwatan, umeona zinavyopingana? Sasa ule ndio mtazamo wa wabongo wengi. Yaani hata uwe na mafanikio bado watauliza "hivi kaolewa" maana mafanikio ya mwanamke ni pamoja na hilo.
Teh kuna siku namsikia mmama anamwambia mtoto wa ndugu yake "ukiwa unaenda kwa fulani (babes) uwe unaenda na B, anaweza akapata mchumba katika marafiki wa fulani".
Haha me nishamgawa mrs air aic
Umetumwa na chichiemu eeeh!!!Mfyuuu zenu na robo, kisa cha kunichekesha usiku wote huu ni nini? Eti umetumwa na Chadema haha
Yapi tena yalikukuta?