Unataka kuijua CHADEMA? Angalia hapa

Unataka kuijua CHADEMA? Angalia hapa

ukiwasha moto uwe na faya aksitingwisha.

leo utakojowa dagaa.

muite nape akusaidie.

Huna pointi ya kujitete umewahi kuona mtu anakojoa dagaa au la sivyo hiyo ni dalili ya kuwa hunapointi. Toa pointi Ng'wanangwa Kinahe shi ngosha.
 
OOOH my God help this man here to know that we Tanzanian needs changes so that to move faster than ever towards the so called Development as we stacked on da way for almost 50 years now.Amen!.
 
tik
Chadema ni chama kilichoanzishwa kwa mfumo wa kibepari. Kwahiyo Msingi mkuu wa chadema ni ubepari.
Mwanzilishi wa Chadema ni Mzee Mtei ambaye alitofautiana na baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Tofauti yao ni kuhusu sera za IMF Mtei alikuwa anaunga mkono bali Nyerere alikataa sera za kibepari.

Kwahiyo Sera za kibepari msingi wake mkuu ni mtaji (Pesa).
Kimekuwa kikipata misaada ya chini chini kutoka katika nchi za magharibi kama Uholanzi na zingine, kitendo ambocho kinanipa mashaka kuwa vipi pesa hizo zitalipwa. Ninadhani kuna makubaliano ya chini kwa chini ambayo watu wengi hatuyajui.

CHADEMA kimejitahidi sana kuwafundisha wanachama wake kutohoji mapato na matumzi ya chama. Hii ni mbinu ambayo imetumiwa na CHADEMA kuwaaminisha wanachama dhidi ya viongozi kuwa wao hawana doa.

na hii ni hatari sana.
Semeni kweli daima na mwepuke msema uongo
CDM wanafuata ubepari sawa kabisa sio kificho.

CCM wanafuata ujam.....! Sawa kabisa sio kificho

 
Mimi sija sema hakina uhalali kisheria hapa ni mfumo wake jinsi ulivyo.

1. Ninataka ulete historia ya chadema na utendaji wake wa kazi.
2. Ni kwanini Nyerere na Mtei walikorofishana na ikapelekea Mtei ahame na kuanzisha CHADEMA?
3. Nieleze kwanini Kaburu alihama CHADEMA na kurudi CCM?
4. Nchi kama ya china si ya kibepari lakini ndio sasa inayo tisha kiuchumi duniani. So sisi watanzania hatutaki Kuwa na UTAWALA BORA bali UONGOZI BORA, hii ndio MSINGI MKUU WA CCM.

CCM wamejikwaa sasa wanarejea mwanzo.


Nikuulize swali na unijibu usikwepe. Msingi mkuu wa CHADEMA ni nini?

Yaelekea wewe hata hujui kwa ni i Nyerere aliachia ngazi, na kwa nini siasa za kibepari zilingia wakati yu hai na hakukemea hata kwa neno moja. Ni kwamba alijua amekose wapi hasa baada ya USSR kufa hivyo kukosa pa kuegemea ili kusukuma ujamaa. Nakushauri jipange kabla ya kuropoka usiyoyajua hata kwa picha japo hujui soma basi sikiliza wanaojua kwanza.

CHADEMA-Chama Cha Demokrasia na Maendeleo "Come one Come All"
 
Kwahiyo ndio kiwango chako hicho cha kuelewa. Hapa pointless ni ipi kusema CHADEMA inawafadhili kutoka nchi za magharibi?


hoja yako ni nyepesi, hapa ni mahala pa ma-great thinkers. peleka michuzi blog au wasomi forum ya kina kibonde.
 
Yaelekea wewe hata hujui kwa ni i Nyerere aliachia ngazi, na kwa nini siasa za kibepari zilingia wakati yu hai na hakukemea hata kwa neno moja. Ni kwamba alijua amekose wapi hasa baada ya USSR kufa hivyo kukosa pa kuegemea ili kusukuma ujamaa. Nakushauri jipange kabla ya kuropoka usiyoyajua hata kwa picha japo hujui soma basi sikiliza wanaojua kwanza.

CHADEMA-Chama Cha Demokrasia na Maendeleo "Come one Come All"

yaelekea hujui kwanini Mtei aliamua kuanzisha CHADEMA nibaada ya kushidwana na nyerere halafu baadaye akatimukia IMF na huko wazungu wakamjaza Ukoloni mambo leo na kisha akaja bongo na kuanzisha CHADEMA na kwa sababu alijua matatizo ya nchi akatumia hayo hayo kwa kivuli cha chama kumbe ni kampuni na wafadhili wake ni waholanzi.
 
Kwahiyo CCM ni mabepari pia au hukuangalia nyumbani kwako? Nyani haoni .........
 
Mtoa mada unawataka wenzako wajadili mada. Nikusihi na wewe weka hadharani hela walizopokea lini? Sh ngapi? Na kwa kazi gani? Lkn pia ujue mtaji wenu wa watu wajinga mlozoea kuwaghiribu umekwisha.
 
Ubepari tatizo lake ni kwamba mwenyenacho ndie anayepata na siye nacho ataendelea kuwa mnyonge.

Ni tofauti kabisa na mfumo wa kijamaa.
Jaribu kujikumbusha Uraia au siasa darasa la tatu shule ya msingi.

Kwani Tanzania ni nchi ya kijamaa?
 
Chadema ni chama kilichoanzishwa kwa mfumo wa kibepari. Kwahiyo Msingi mkuu wa chadema ni ubepari.
Mwanzilishi wa Chadema ni Mzee Mtei ambaye alitofautiana na baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Tofauti yao ni kuhusu sera za IMF Mtei alikuwa anaunga mkono bali Nyerere alikataa sera za kibepari.

Kwahiyo Sera za kibepari msingi wake mkuu ni mtaji (Pesa).
Kimekuwa kikipata misaada ya chini chini kutoka katika nchi za magharibi kama Uholanzi na zingine, kitendo ambocho kinanipa mashaka kuwa vipi pesa hizo zitalipwa. Ninadhani kuna makubaliano ya chini kwa chini ambayo watu wengi hatuyajui.

CHADEMA kimejitahidi sana kuwafundisha wanachama wake kutohoji mapato na matumzi ya chama. Hii ni mbinu ambayo imetumiwa na CHADEMA kuwaaminisha wanachama dhidi ya viongozi kuwa wao hawana doa.

na hii ni hatari sana.

Majibu sasahi ni signature yako it has said all hakuna zaidi .
 
Ubepari tatizo lake ni kwamba mwenyenacho ndie anayepata na siye nacho ataendelea kuwa mnyonge.

Ni tofauti kabisa na mfumo wa kijamaa.
Jaribu kujikumbusha Uraia au siasa darasa la tatu shule ya msingi.

ubepari unasidia uchumi wa nchi kukua, hata ukuangali nchi zote zilizoendele zipo ktk mfumo wa kibepari, hata Tz sasa ipo ktk mfumo huu wa kibepari anaejituma sana ndio anafaidika, anae lala inakula kwake. Hebu fikiria tungekuwa ktk ujamaa(njia zote kuu za uchumi zimilikiwe na serikali) na ufisadi huu uliokuwepo tungeshindwa kupata mahitaji hata kama fedha zipo mifukoni. Viva ubepari.
 
Ubepari tatizo lake ni kwamba mwenyenacho ndie anayepata na siye nacho ataendelea kuwa mnyonge.

Ni tofauti kabisa na mfumo wa kijamaa.
Jaribu kujikumbusha Uraia au siasa darasa la tatu shule ya msingi.

wewe kweli gamba kwani Tanzania kupitia uongozi wa Jk kuna UJAMAA?
 
Back
Top Bottom