Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,961
- Thread starter
- #181
ubepari unasidia uchumi wa nchi kukua, hata ukuangali nchi zote zilizoendele zipo ktk mfumo wa kibepari, hata Tz sasa ipo ktk mfumo huu wa kibepari anaejituma sana ndio anafaidika, anae lala inakula kwake. Hebu fikiria tungekuwa ktk ujamaa(njia zote kuu za uchumi zimilikiwe na serikali) na ufisadi huu uliokuwepo tungeshindwa kupata mahitaji hata kama fedha zipo mifukoni. Viva ubepari.
Sio zote je CHINA ni ya kibepari?