Unataka kuijua CHADEMA? Angalia hapa

Unataka kuijua CHADEMA? Angalia hapa

rejea signature yako ina majibu ya post yako.

:biggrin1: ccm na cdm kipi kina ubepari zaidi? kwani ccm hawapewi hela na wahisani...kweli kama ulivyosema signature yake imemaliza kila kitu
 
chadema ni chama kilichoanzishwa kwa mfumo wa kibepari. Kwahiyo msingi mkuu wa chadema ni ubepari.
Mwanzilishi wa chadema ni mzee mtei ambaye alitofautiana na baba wa taifa mwalimu julius kambarage nyerere.
Tofauti yao ni kuhusu sera za imf mtei alikuwa anaunga mkono bali nyerere alikataa sera za kibepari.

Kwahiyo sera za kibepari msingi wake mkuu ni mtaji (pesa).
Kimekuwa kikipata misaada ya chini chini kutoka katika nchi za magharibi kama uholanzi na zingine, kitendo ambocho kinanipa mashaka kuwa vipi pesa hizo zitalipwa. Ninadhani kuna makubaliano ya chini kwa chini ambayo watu wengi hatuyajui.

Chadema kimejitahidi sana kuwafundisha wanachama wake kutohoji mapato na matumzi ya chama. Hii ni mbinu ambayo imetumiwa na chadema kuwaaminisha wanachama dhidi ya viongozi kuwa wao hawana doa.

Na hii ni hatari sana.

mtu mpumbavu hata ukimtwanga kwenye kinu pamoja na ngano upumbavu wake haumtoki
 
Chadema ni chama kilichoanzishwa kwa mfumo wa kibepari. Kwahiyo Msingi mkuu wa chadema ni ubepari.
Mwanzilishi wa Chadema ni Mzee Mtei ambaye alitofautiana na baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Tofauti yao ni kuhusu sera za IMF Mtei alikuwa anaunga mkono bali Nyerere alikataa sera za kibepari.

Kwahiyo Sera za kibepari msingi wake mkuu ni mtaji (Pesa).
Kimekuwa kikipata misaada ya chini chini kutoka katika nchi za magharibi kama Uholanzi na zingine, kitendo ambocho kinanipa mashaka kuwa vipi pesa hizo zitalipwa. Ninadhani kuna makubaliano ya chini kwa chini ambayo watu wengi hatuyajui.

CHADEMA kimejitahidi sana kuwafundisha wanachama wake kutohoji mapato na matumzi ya chama. Hii ni mbinu ambayo imetumiwa na CHADEMA kuwaaminisha wanachama dhidi ya viongozi kuwa wao hawana doa.

na hii ni hatari sana.

Tujitahidi sana na kuwaogopa watu walioishiwa/kufilisika sera kichwani mwao,wanaweza wakaleta ubaya wa aina yeyote ile tuwakatae na tuwapuuze kabisa Kama huyu mleta mada hapa.
 
Hicho hakipo Tanzania.
Unavijua kwa majina sisi tunavijua kwa VITENDO
Je hakuna chama chenye mafisadi?
Kama hujui jaribu kuwapitia viongozi wa vyama unavyovijua uwaulize kila chama kama wana mafisadi.
Tena wana makundi wengine wanaitwa MAPAPA.
 
Hayo sasa ni maswali ya kikubwa sio kutukana.
Nataka watu waijue CHADEMA ikoje ili wachague.
Kuhusu viongozi wa serikali kwa sasa hapa sio sehemu yake post thread yako ya kuhusu viongozi wa serikali.
Tunaanzia hapo CHADEMA na nitapita kwa kila chama ili vitoe vitu vyote hadhalani sio kuwapeleka peleka wanachi eti tu kwa sababu wanashida. No thank you.

Unataka watu wajadili nini?,unataka watu wenye akili uwashirikishe ktk kujadili ujinga uliouandika humu?
 
Tujitahidi sana na kuwaogopa watu walioishiwa/kufilisika sera kichwani mwao,wanaweza wakaleta ubaya wa aina yeyote ile tuwakatae na tuwapuuze kabisa Kama huyu mleta mada hapa.

Sasa wewe upuuze pasipo pointi. Toa pointi ya kujitetea na kuprove wrong.
 
Unavijua kwa majina sisi tunavijua kwa VITENDO
Je hakuna chama chenye mafisadi?
Kama hujui jaribu kuwapitia viongozi wa vyama unavyovijua uwaulize kila chama kama wana mafisadi.
Tena wana makundi wengine wanaitwa MAPAPA.

May be wewe sio mtanzania vyama vyote vimesajiliwa. Labda hicho cha kusadikika, kiko kwenye akili yako.
 
chadema ni chama kilichoanzishwa kwa mfumo wa kibepari. Kwahiyo msingi mkuu wa chadema ni ubepari.
Mwanzilishi wa chadema ni mzee mtei ambaye alitofautiana na baba wa taifa mwalimu julius kambarage nyerere.
Tofauti yao ni kuhusu sera za imf mtei alikuwa anaunga mkono bali nyerere alikataa sera za kibepari.

Kwahiyo sera za kibepari msingi wake mkuu ni mtaji (pesa).
Kimekuwa kikipata misaada ya chini chini kutoka katika nchi za magharibi kama uholanzi na zingine, kitendo ambocho kinanipa mashaka kuwa vipi pesa hizo zitalipwa. Ninadhani kuna makubaliano ya chini kwa chini ambayo watu wengi hatuyajui.

Chadema kimejitahidi sana kuwafundisha wanachama wake kutohoji mapato na matumzi ya chama. Hii ni mbinu ambayo imetumiwa na chadema kuwaaminisha wanachama dhidi ya viongozi kuwa wao hawana doa.

Na hii ni hatari sana.

mtu mpumbavu hata ukimtwanga kwenye kinu pamoja na ngano upumbavu wake haumtoki.
 
Unataka watu wajadili nini?,unataka watu wenye akili uwashirikishe ktk kujadili ujinga uliouandika humu?

Kama hutaki kujadili si ukae kimya tu si lazima
 
Chadema ni chama kilichoanzishwa kwa mfumo wa kibepari. Kwahiyo Msingi mkuu wa chadema ni ubepari.
Mwanzilishi wa Chadema ni Mzee Mtei ambaye alitofautiana na baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Tofauti yao ni kuhusu sera za IMF Mtei alikuwa anaunga mkono bali Nyerere alikataa sera za kibepari.

Kwahiyo Sera za kibepari msingi wake mkuu ni mtaji (Pesa).
Kimekuwa kikipata misaada ya chini chini kutoka katika nchi za magharibi kama Uholanzi na zingine, kitendo ambocho kinanipa mashaka kuwa vipi pesa hizo zitalipwa. Ninadhani kuna makubaliano ya chini kwa chini ambayo watu wengi hatuyajui.

CHADEMA kimejitahidi sana kuwafundisha wanachama wake kutohoji mapato na matumzi ya chama. Hii ni mbinu ambayo imetumiwa na CHADEMA kuwaaminisha wanachama dhidi ya viongozi kuwa wao hawana doa.

na hii ni hatari sana.

Hao wenye migodi ya dhahabu wanaochukua mpaka udongo bila nchi kunufaika na chochote ni malipo ya kitu gani ambacho CCM walichukua kwao!?
 
Hao wenye migodi ya dhahabu wanaochukua mpaka udongo bila nchi kunufaika na chochote ni malipo ya kitu gani ambacho CCM walichukua kwao!?

Hapa tunajadili CHADEMA hao unaowasema siwajui labda ungetoa ufafanuzi kama mimi nilivyo fafanua.
 
Ukweli unauma lazima unyooshe mikono juu mapema

Ukweli upi mimi ninaongelea CHADEMA jinsi ilivyo. hapa tunajadiliana kama unapointi ya msingi itoe kama huna kaa kimya au gonga like si vibaya.
 
Hiyo sera ya ujamaa iliyokumbatiwa na nyerere iko wapi sasa hivi duniani kote achilia mbali Tanzania? CCM ndio ya kulaaniwa kwa misaada wanayopokea kwa makaburu , marekani , japan uingereza na mataifa mengine na wanauza nchi kwa bei rahisi ona makaburu walivopewa viwanda bure! machimbo bure! wamarekani hao wanakuja kuchukua Uranium bure, wajapan wanasomba wanyama bure! shame!!
 
Back
Top Bottom