Unataka kuijua CHADEMA? Angalia hapa

Unataka kuijua CHADEMA? Angalia hapa

Anayekataa upebari aende URUSI na CHINA ambako hakuna hata uhuru wa mawazo. Anayekataa upebari maana yake anakumbatia umaskini. Kama ubepari ni mbaya kiasi hicho ni kwanini raisi wenu anatembea na bakuli kwenye nchi za kibepari kuomba msaada? Ubepari ndiyo nguzo pekee na chimbuko muhimu la uchumi imara. Ubepari asili yake ni uhuru wa binadamu kujitafutia riziki yake kwa jasho lake na siyo kusubiri kugawiwa na serikali. Serikali zote za kicommunist zimeshindwa kuleta maisha bora kwa watu wao ndiyo maana huo mfumo umekufa. Hata Cuba ucomunisti umewashinda na sasa wamegeukia ubepari. Ucommunisti hauwezi hata kuweka bidhaa madukani. By the way, hata Tanzania ilishaachana na sera za kijamaa na kujikita kwenye upebari. Inashangaza sana kuona bado kuna watu wamelala na kukumbatia mfumo uliokufa!!
 
Wajamaa ni CCM maana jamaa zao wote wanaishi kijamaa kama wapo peponi kama RA, Vijise..,LA, Riz.., Idd Lion, bahi Mp etc

Out of point. Huelewi hata tunachoongelea ni kuhusu CHADEMA leo ni CHADEMA tu.
 
Hayo sasa ni maswali ya kikubwa sio kutukana.
Nataka watu waijue CHADEMA ikoje ili wachague.
Kuhusu viongozi wa serikali kwa sasa hapa sio sehemu yake post thread yako ya kuhusu viongozi wa serikali.
Tunaanzia hapo CHADEMA na nitapita kwa kila chama ili vitoe vitu vyote hadhalani sio kuwapeleka peleka wanachi eti tu kwa sababu wanashida. No thank you.
Annael, ninamashaka na uwezo wako wa kufikiri. Naona kama una mtindio wa ubongo! Ebu ona unavyo jichanganya mwenyewe!

Hatuwapi kura hawa maana hiki chama ni biashara ya watu furani wa nje. Ni For profit organization.
Sasa linganisha na kauli yako hapo kwenye nyekundu!
 
kekuwetu: Sikia mda wa kuperekeshana kama wakoloni umepitwa na wakati. So jaribu kufuatilia mtiririko wa viongozi wa cdm utaona ulivyo. Je unaijua back ground ya mbowe?

losers live in the past and winners learn from the past and enjoy working in the present towards the future. Kama hujui lugha ya kibepari wambie wajamaa wakusaidie.
 
wewe unaonekana punguani kabisa, sasa we unajifanya kujua sana maisha ya watu, ngoja nikujibu hapo badhi ya maswali yako
1. Historia ya Chadema iliwekwa hapa siku sio nyingi, ila wadhami wa kwanza wa chadema ni Mtei(Arusha), Wasira(Musoma),Hayati makani(Shinyanga),Mary Kabigi(Mbeya), na wengine wawili, moja toka Kigoma na Shinyanga. Sasa wewe uantaka historia ipi?
Nyerere hakukosoa na Mtei, walitofautiana katika mashauriano, ambaye hakuwa mtu wa kwanza kufanya hivyo. Nikukumbushe, Akina Marehemu Wedi Mwasakafyuka, na wenzake 1965 walitofautina na Nyerere pia, lakini haukuwa mwisho wa maisha yao kiasa, kwani 1980 mzee wedi ailipata president appointment na kwenda Italy

2. kaburu alinunuliwa, hata tofauti na mtumwa, ndio maana leo hii hapatikani kokote katika siasa, hawezi omba chechote kwa wananchi, wakamwelewa
3. Yaonekana utajili wa baadi ya waasisi wa Cdm unakukela, lakini ndani ya CCM kuna wezi wengi sana ambao wanatoe hela kwa CCM, nao ni mabepari zaidi ya hao wa CDM unaowafahamu wewe kwa akili yako fupi kama mkia wa mbuzi

Leta hoja za maana sio ujinga ujinga wako hapa

Mimi sija sema hakina uhalali kisheria hapa ni mfumo wake jinsi ulivyo.

1. Ninataka ulete historia ya chadema na utendaji wake wa kazi.
2. Ni kwanini Nyerere na Mtei walikorofishana na ikapelekea Mtei ahame na kuanzisha CHADEMA?
3. Nieleze kwanini Kaburu alihama CHADEMA na kurudi CCM?
4. Nchi kama ya china si ya kibepari lakini ndio sasa inayo tisha kiuchumi duniani. So sisi watanzania hatutaki Kuwa na UTAWALA BORA bali UONGOZI BORA, hii ndio MSINGI MKUU WA CCM.

CCM wamejikwaa sasa wanarejea mwanzo.


Nikuulize swali na unijibu usikwepe. Msingi mkuu wa CHADEMA ni nini?
 
yaelekea hujui kwanini Mtei aliamua kuanzisha CHADEMA nibaada ya kushidwana na nyerere halafu baadaye akatimukia IMF na huko wazungu wakamjaza Ukoloni mambo leo na kisha akaja bongo na kuanzisha CHADEMA na kwa sababu alijua matatizo ya nchi akatumia hayo hayo kwa kivuli cha chama kumbe ni kampuni na wafadhili wake ni waholanzi.
Ebu tuwekee "source" ya taarifa hii nyeti ama sivo omba radhi kwa taarifa za upotoshaji unazoziweka hapa.
 
if you are magamba at work for your daily bread nakupa pole...
Tanzania mpaka sasa si nchi ya kijamaa japo ccm inataka kutuaminisha hilo...na mfumo wa kibepari si mfumo mbaya kama unavyodhani vile vile ..sera za kijamaa zilisha prove failure kuiongoza nchi hii na ndio maana mwalimu aliamua kung'atuka
 
Ubepari tatizo lake ni kwamba mwenyenacho ndie anayepata na siye nacho ataendelea kuwa mnyonge.

Ni tofauti kabisa na mfumo wa kijamaa.
Jaribu kujikumbusha Uraia au siasa darasa la tatu shule ya msingi.
Kwa maana nyingine unataka kutuambia chini ya huu ufisadi na ubadhirifu wa CCM wote tunacho na kwamba hakuna tofauti ya walionacho na wasionacho? Heri ubepari unaoleta maendeleo na huduma bora za jamii kuliko Ujamaa feki unaokumbatia ufisadi na ubadhirifu wa mali ya umma, huku wawekezaji wakiingia mikataba ya kinyonyaji na serikali ya ujamaaa feki. Marekani ni nchi ya kibepari, je! unataka kuniambia kwamba masikini wa marekani na masikini wa Tanzania wako sawa?
 
Hivi wewe unaijua CHINA? je ni nchi ya Kibepari? kama hujui kaa kimya

Tanzania ni inchi ya kibepari au ya ujamaa????? Ujamaa wa mdomoni???? Ni nchi ngapi zilizofuata mfumo wa ujamaa zimefanikiwa kama china au ndiyo hiyo mmoja unayoifahamu....

Mwaka maneno yatawaishia maana NAPE kapunguza mishahara yenu..
 
Chadema ni chama kilichoanzishwa kwa mfumo wa kibepari. Kwahiyo Msingi mkuu wa chadema ni ubepari.
Mwanzilishi wa Chadema ni Mzee Mtei ambaye alitofautiana na baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Tofauti yao ni kuhusu sera za IMF Mtei alikuwa anaunga mkono bali Nyerere alikataa sera za kibepari.

Kwahiyo Sera za kibepari msingi wake mkuu ni mtaji (Pesa).
Kimekuwa kikipata misaada ya chini chini kutoka katika nchi za magharibi kama Uholanzi na zingine, kitendo ambocho kinanipa mashaka kuwa vipi pesa hizo zitalipwa. Ninadhani kuna makubaliano ya chini kwa chini ambayo watu wengi hatuyajui.

CHADEMA kimejitahidi sana kuwafundisha wanachama wake kutohoji mapato na matumzi ya chama. Hii ni mbinu ambayo imetumiwa na CHADEMA kuwaaminisha wanachama dhidi ya viongozi kuwa wao hawana doa.
Kaka/Dada, hapo kwenye Kijani, CCM kilianzishwa kama chama cha wakulima na wafanyakzi, leo waweza sema the same, kumbuka hotuba ya JK kwa wazee wa Dar, mwezi May, 2010, alisema kabisa, hazitaki kura za wafanyakazi.
Kwenye Red, hiv unakumbuka Nyerere kabla hajafa aliwahi kukifagilia CHADEMA kwamba ndio chama chenye sera zinazoeleweka, tena huyo Mtei unaye msema ndiye alikuwa ndiye mwenyekiti na Bob Makani katibu (RIP) kama walitofautiana kihivyo, basi asingefagilia chama cha adui yake.
Kwenye Blue, kama kumbukumbu zangu zitakuwa sahihi, CDM ndio chama pekee nchini kilicho toa mahesabu yake mapema kwa msajiri wa vyama mara baada ya uchaguzi mkuu wa 2010, sina hakika kama magamba na wakeze walifanya hivyo hadi leo, mwenye records tofauti naomba anisahihishe.

Kuhusu ubepari, hivi aliye uza nchi kwa wazungu waliokuwa maadui wa Nyerere, yaani makaburu ni nani? nadhani we ni mtoto, rejea historia ya miaka 70-80 Nyerere na uhusiano wake na SA (South Africa), nyinyiem ni wanafiki wakubwa, wanahubiri ujamaa while wanacheza Kibepari.
 
Humu ndani najua wapo wenye ile speech ya mwalimu alipowafangilia CDM 1995, wekeni tusikie

Chadema ni chama kilichoanzishwa kwa mfumo wa kibepari. Kwahiyo Msingi mkuu wa chadema ni ubepari.
Mwanzilishi wa Chadema ni Mzee Mtei ambaye alitofautiana na baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Tofauti yao ni kuhusu sera za IMF Mtei alikuwa anaunga mkono bali Nyerere alikataa sera za kibepari.

Kwahiyo Sera za kibepari msingi wake mkuu ni mtaji (Pesa).
Kimekuwa kikipata misaada ya chini chini kutoka katika nchi za magharibi kama Uholanzi na zingine, kitendo ambocho kinanipa mashaka kuwa vipi pesa hizo zitalipwa. Ninadhani kuna makubaliano ya chini kwa chini ambayo watu wengi hatuyajui.

CHADEMA kimejitahidi sana kuwafundisha wanachama wake kutohoji mapato na matumzi ya chama. Hii ni mbinu ambayo imetumiwa na CHADEMA kuwaaminisha wanachama dhidi ya viongozi kuwa wao hawana doa.
Kaka/Dada, hapo kwenye Kijani, CCM kilianzishwa kama chama cha wakulima na wafanyakzi, leo waweza sema the same, kumbuka hotuba ya JK kwa wazee wa Dar, mwezi May, 2010, alisema kabisa, hazitaki kura za wafanyakazi.
Kwenye Red, hiv unakumbuka Nyerere kabla hajafa aliwahi kukifagilia CHADEMA kwamba ndio chama chenye sera zinazoeleweka, tena huyo Mtei unaye msema ndiye alikuwa ndiye mwenyekiti na Bob Makani katibu (RIP) kama walitofautiana kihivyo, basi asingefagilia chama cha adui yake.
Kwenye Blue, kama kumbukumbu zangu zitakuwa sahihi, CDM ndio chama pekee nchini kilicho toa mahesabu yake mapema kwa msajiri wa vyama mara baada ya uchaguzi mkuu wa 2010, sina hakika kama magamba na wakeze walifanya hivyo hadi leo, mwenye records tofauti naomba anisahihishe.

Kuhusu ubepari, hivi aliye uza nchi kwa wazungu waliokuwa maadui wa Nyerere, yaani makaburu ni nani? nadhani we ni mtoto, rejea historia ya miaka 70-80 Nyerere na uhusiano wake na SA (South Africa), nyinyiem ni wanafiki wakubwa, wanahubiri ujamaa while wanacheza Kibepari.
 
Pumbalized! Idea...kajipange...povuu linavyokutoka lol! Shame upon you
 
Ubepari tatizo lake ni kwamba mwenyenacho ndie anayepata na siye nacho ataendelea kuwa mnyonge.

Ni tofauti kabisa na mfumo wa kijamaa.
Jaribu kujikumbusha Uraia au siasa darasa la tatu shule ya msingi.

Siasa za enzi ya mwalimu zilikuwa zinapinga ubepari. Unadhani katika hali kama ile kuna darasa ambalo lingekufundisha uzuri wa ubepari? Mbona tokea tupate uhuru tulikuwa na ujamaa ambao Mwalimu alikuwa anaupigia debe lakini bado asilimia kubwa ya watanzania wanaishi maisha ya kichovu?
 
Chadema ni chama kilichoanzishwa kwa mfumo wa kibepari. Kwahiyo Msingi mkuu wa chadema ni ubepari.
Mwanzilishi wa Chadema ni Mzee Mtei ambaye alitofautiana na baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Tofauti yao ni kuhusu sera za IMF Mtei alikuwa anaunga mkono bali Nyerere alikataa sera za kibepari.

Kwahiyo Sera za kibepari msingi wake mkuu ni mtaji (Pesa).
Kimekuwa kikipata misaada ya chini chini kutoka katika nchi za magharibi kama Uholanzi na zingine, kitendo ambocho kinanipa mashaka kuwa vipi pesa hizo zitalipwa. Ninadhani kuna makubaliano ya chini kwa chini ambayo watu wengi hatuyajui.

CHADEMA kimejitahidi sana kuwafundisha wanachama wake kutohoji mapato na matumzi ya chama. Hii ni mbinu ambayo imetumiwa na CHADEMA kuwaaminisha wanachama dhidi ya viongozi kuwa wao hawana doa.

na hii ni hatari sana.

Na nyie hiyo misaada iliyokuwa inatoka nchi za kikomunisti mtailipaje? NI afadhali cdm wameweka wazi kuwa sera zao ni za kibepari nyie chama chenu kinahubiri Ujamaa wakati matendo yake ni ya kibepari na viongozi wote ni MABEPARI Sisi CDM siyo wanafiki kama wewe na chama chako, naomba nikusaidie kwa faida yako na wengine wenye matatizo kama yako kuwa Kutofautiana na Mwalimu siyo dhambi kwa kuwa Nyerere siyo Mungu ungesema Mtei alitofautiana na Mungu ningemwona Mtei hafai lakini nyerere ni binadamu na inawezekana hata wewe mkatofautiana hata na baba yako Mzazi au Mama yako na bado siyo mwisho wa maisha. KIGEZO CHA KUTOFAUTIANA NA NYERERE KATU HAKITAHESABIKA KUWA NI DHAMBI ILA ITAKUWA DHAMBI KWA WAJINGA KAMA WEWE TU. NI LINI TAARIFA ZA FEDHA ZA CHAMA CHAKO ZIMEWEKWA GAZETINI KAMA ZINAVYOFANYA HALMASHAURI ZA WILAYA MANISPAA NA MAJIJI hilo haulioni kuwa ni tatizo kwenye chama chako ila kwa cdm umeona ni tatizo, USITULETEE UJINGA HAPA KAFANYE KAZI UPATE KUISHI BADALA YA KUPANDIKIZA CHUKI YA WAZI.
 
Msingi Mkuu wa CDM, ni Demokrasia na Maendeleo, na sio usanii wa magamba wa ujamaa kumbe ni wizi na ubadhirifu wa mali ya umma! Hata kwa punguani anajua kuwa sera ya ubinafsishaji, ubadhirifu wa mali ya umma, ufisadi ndio zimetamalaki chini ya hawa makuwadi wanaohubiri ujamaa wa kisanii!
 
Chadema ni chama kilichoanzishwa kwa mfumo wa kibepari. Kwahiyo Msingi mkuu wa chadema ni ubepari.
Mwanzilishi wa Chadema ni Mzee Mtei ambaye alitofautiana na baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Tofauti yao ni kuhusu sera za IMF Mtei alikuwa anaunga mkono bali Nyerere alikataa sera za kibepari.

Kwahiyo Sera za kibepari msingi wake mkuu ni mtaji (Pesa).
Kimekuwa kikipata misaada ya chini chini kutoka katika nchi za magharibi kama Uholanzi na zingine, kitendo ambocho kinanipa mashaka kuwa vipi pesa hizo zitalipwa. Ninadhani kuna makubaliano ya chini kwa chini ambayo watu wengi hatuyajui.

CHADEMA kimejitahidi sana kuwafundisha wanachama wake kutohoji mapato na matumzi ya chama. Hii ni mbinu ambayo imetumiwa na CHADEMA kuwaaminisha wanachama dhidi ya viongozi kuwa wao hawana doa.

na hii ni hatari sana.

hayo ndio mawazo ya watu waliozaliwa wametanguliza miguu. kama wewe. hovyooooooo! mtziiiiiiii!!
 
Back
Top Bottom