MARKYAO
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 673
- 681
huyu mjinga mjinga anatahuwa kujua modes of production in the history oh Man,
1. primitive communalism - ujima
2. Slavery- utumwa
3. Feudalism-ukabaila
4. Capitalism-ubepari-primive capitalism/mercantalism
-Industrial/competitive capitalism
Imperialism- syndicate
-Cartel
- Trust
5. Socialism
6 Communism - ambao ni hatua ya mwisho kabisa ya ujamaa.
Hivyo kwa mfumo wa uzalishaji mali wa Tanzania ni totally capitalism na ndo maana tuna biashara huria, serikali haijishughulishi tena na biashara, soko huria kucontrol bay za bidhaa, uwekezaji binafsi kwa kia sekta, na ubinafsishaji wa njia kuu za uchumi.Nadhani huyu ndugu anaona jinsi JK anavyozurura nje akisaka wawekezaji huku wananchi wakilaamikia unyanyaswaji wanaofanyiwa na wawekezaji.
Ujamaa njia zote za uchumi zinamilikiwa na dola na bei za bidhaa zinapangwa na kusimamiwa na serikali.
huyu ndugu akasome vitabu ili apate kuelewa na aache mawazo yasiyo na tija.
Kuhusu CHADEMA, ni kwamba hata kana wanapata misaada ni kwa watu wanaoipenda Tanzania iliyoimarika kiuchumi na rasilimali zilizopo ziwe kwa ajili ya watanzania na sio kama ufadhili wanaoupata ccm kwa kuwazawadia wawekwzaji wa canada na marekani huku wakigadhiliwa kwenye kampeni za uchaguzi wakichapishiwa tshirts, kofia,fulana. vitambaa.mabango na bendera wakati wa uchaguzi. ujerumani pia wanafadhiliwa, sasa mwenzangu ee waijua Barrik Gold mine?Tulawaka? uliza ni kinanani wanaonufaika na uwekezaji huo???
kuhusu tofauti kati ya mtei na nyerere ni kwamba, nchi ilifika pabaya kiuchumi hata bidhaa zikawa hazinunuliki. mtei alimshauri nyerere afanye devaluation ya currency yetu (Shilingi) ili kunusuru uchumi ulokuwa ukiyumba kini nyerere alikataa na ndo tofauti zilipotokea na hata hiyo nyerere alijaziingatia ushauri aliopewa na mtei. soma kaka mambo haya yapo kwa vitabu na uache kulipuka.
1. primitive communalism - ujima
2. Slavery- utumwa
3. Feudalism-ukabaila
4. Capitalism-ubepari-primive capitalism/mercantalism
-Industrial/competitive capitalism
Imperialism- syndicate
-Cartel
- Trust
5. Socialism
6 Communism - ambao ni hatua ya mwisho kabisa ya ujamaa.
Hivyo kwa mfumo wa uzalishaji mali wa Tanzania ni totally capitalism na ndo maana tuna biashara huria, serikali haijishughulishi tena na biashara, soko huria kucontrol bay za bidhaa, uwekezaji binafsi kwa kia sekta, na ubinafsishaji wa njia kuu za uchumi.Nadhani huyu ndugu anaona jinsi JK anavyozurura nje akisaka wawekezaji huku wananchi wakilaamikia unyanyaswaji wanaofanyiwa na wawekezaji.
Ujamaa njia zote za uchumi zinamilikiwa na dola na bei za bidhaa zinapangwa na kusimamiwa na serikali.
huyu ndugu akasome vitabu ili apate kuelewa na aache mawazo yasiyo na tija.
Kuhusu CHADEMA, ni kwamba hata kana wanapata misaada ni kwa watu wanaoipenda Tanzania iliyoimarika kiuchumi na rasilimali zilizopo ziwe kwa ajili ya watanzania na sio kama ufadhili wanaoupata ccm kwa kuwazawadia wawekwzaji wa canada na marekani huku wakigadhiliwa kwenye kampeni za uchaguzi wakichapishiwa tshirts, kofia,fulana. vitambaa.mabango na bendera wakati wa uchaguzi. ujerumani pia wanafadhiliwa, sasa mwenzangu ee waijua Barrik Gold mine?Tulawaka? uliza ni kinanani wanaonufaika na uwekezaji huo???
kuhusu tofauti kati ya mtei na nyerere ni kwamba, nchi ilifika pabaya kiuchumi hata bidhaa zikawa hazinunuliki. mtei alimshauri nyerere afanye devaluation ya currency yetu (Shilingi) ili kunusuru uchumi ulokuwa ukiyumba kini nyerere alikataa na ndo tofauti zilipotokea na hata hiyo nyerere alijaziingatia ushauri aliopewa na mtei. soma kaka mambo haya yapo kwa vitabu na uache kulipuka.