Kweli CDM inawanyima usingizi, mnajaribu kubuni mbinu kila angle za kutowaimanisha wananchi waone CDM sio mkombozi wao, lakini wapi. Huu ukombozi unaletwa na Mungu kupitia CDM, hakuna wa kuuzuia, Wana wa Tanganyika wameteseka kwa miaka mingi sana ndani ya nchi yao aliyowapa Mwenyezi Mungu yenye neema lukuki.Chadema ni chama kilichoanzishwa kwa mfumo wa kibepari. Kwahiyo Msingi mkuu wa chadema ni ubepari.
Mwanzilishi wa Chadema ni Mzee Mtei ambaye alitofautiana na baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Tofauti yao ni kuhusu sera za IMF Mtei alikuwa anaunga mkono bali Nyerere alikataa sera za kibepari.
Kwahiyo Sera za kibepari msingi wake mkuu ni mtaji (Pesa).
Kimekuwa kikipata misaada ya chini chini kutoka katika nchi za magharibi kama Uholanzi na zingine, kitendo ambocho kinanipa mashaka kuwa vipi pesa hizo zitalipwa. Ninadhani kuna makubaliano ya chini kwa chini ambayo watu wengi hatuyajui.
CHADEMA kimejitahidi sana kuwafundisha wanachama wake kutohoji mapato na matumzi ya chama. Hii ni mbinu ambayo imetumiwa na CHADEMA kuwaaminisha wanachama dhidi ya viongozi kuwa wao hawana doa.
na hii ni hatari sana.
Wako sawa maana hata Azimio la Arusha ambalo ni la CCM kwa ujumla linasema hivi;Ubepari tatizo lake ni kwamba mwenyenacho ndie anayepata na siye nacho ataendelea kuwa mnyonge.
Ni tofauti kabisa na mfumo wa kijamaa.
Jaribu kujikumbusha Uraia au siasa darasa la tatu shule ya msingi.
Sasa unipa wasi wasi na ufahamu wako maan wewe unasema mmeanza kurudi kwenye enzi zenu pale mlipozaliwa toka Tanu na asp, sasa hapa unakana kwamba wewe sio ccm, sasa wewe ni chama Gani? au wewe uliwahi kuwaliza Chadema maswali unayouliza hapa JF? Acha unafiki na kama wewe ni mzalendo kama unavyojiita vaa gwanda, ili tubadili mfumo mzima wa serikali, Mfumo hauwezi kubadilishwa na mtu mmoja bali kwa wazalendo wa kweli kushirikiana kwa pamoja, ccm washindwa na sasa meli ya ukombozi ni Chadema ukiwa mzalendo wa kweili Panda Meli hii.
Naunga mkono hii hoja kwa asilimia mia moja.
Juzi kwenye mkutano wa CHADEMA Jangwani, kulikuwa na mamluki ambao hata mimi niliwatilia shaka. Walikuwa wamekaribishwa na walikaa kama vile nao ni wenyeji (Watz). Najiuliza, hawa ndo washauri wa CHADEMA? au wamekuja kungalia pesa wanayotoa inatumikaje? Au wana agenda gani ya siri na CHADEMA?
CHADEMA wanarejesha ukoloni Tz, wanatupiga bei kabla hata hawajakamata dola.
View attachment 56234
umesau UDINI naokikumba Chama hichiChadema ni chama kilichoanzishwa kwa mfumo wa kibepari. Kwahiyo Msingi mkuu wa chadema ni ubepari.
Mwanzilishi wa Chadema ni Mzee Mtei ambaye alitofautiana na baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Tofauti yao ni kuhusu sera za IMF Mtei alikuwa anaunga mkono bali Nyerere alikataa sera za kibepari.
Kwahiyo Sera za kibepari msingi wake mkuu ni mtaji (Pesa).
Kimekuwa kikipata misaada ya chini chini kutoka katika nchi za magharibi kama Uholanzi na zingine, kitendo ambocho kinanipa mashaka kuwa vipi pesa hizo zitalipwa. Ninadhani kuna makubaliano ya chini kwa chini ambayo watu wengi hatuyajui.
CHADEMA kimejitahidi sana kuwafundisha wanachama wake kutohoji mapato na matumzi ya chama. Hii ni mbinu ambayo imetumiwa na CHADEMA kuwaaminisha wanachama dhidi ya viongozi kuwa wao hawana doa.
na hii ni hatari sana.
Wanajirekebisha...! ujamaa unaufahamu au unausikia tu!Soma kila kitu ndio upost. Mimi sija sema CCM ni wajamaa. ila walijikwaa kutoka kwenye ujamaa na sasa wanajirekebisha.
Huelewi nini sasa?
Chadema ni chama kilichoanzishwa kwa mfumo wa kibepari. Kwahiyo Msingi mkuu wa chadema ni ubepari.
Mwanzilishi wa Chadema ni Mzee Mtei ambaye alitofautiana na baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Tofauti yao ni kuhusu sera za IMF Mtei alikuwa anaunga mkono bali Nyerere alikataa sera za kibepari.
Kwahiyo Sera za kibepari msingi wake mkuu ni mtaji (Pesa).
Kimekuwa kikipata misaada ya chini chini kutoka katika nchi za magharibi kama Uholanzi na zingine
kitendo ambocho kinanipa mashaka kuwa vipi pesa hizo zitalipwa. Ninadhani kuna makubaliano ya chini kwa chini ambayo watu wengi hatuyajui
CHADEMA kimejitahidi sana kuwafundisha wanachama wake kutohoji mapato na matumzi ya chama. Hii ni mbinu ambayo imetumiwa na CHADEMA kuwaaminisha wanachama dhidi ya viongozi kuwa wao hawana doa.
Signature yako na ulichokiandika vinarandana kabisa sasa sijui tukusaidieje maana hata ukibebwa hubebeki umekosea kujiunga JF tafuta mtandao mwingine hapa sipo pahala pake... Pole sana ndugu!!
Sisi Watanzania "SIO CHADEMA" hatutaki ubepari pili tunataka tuelewe historia ya CHADEMA na kwanini ilianzishwa tatu Mtupe maelezo ya kutosha kwanini Mtei ashindwane na Nyerere? Na nchi ya Uholanzi inafadhili chadema kwa misingi ipi?
Kuhusu CCM nani asiye jua Historia yake? Ni muungano wa vyama viwili TANU na ASP ili kuimarisha muungano.
Acheni kuongea tu LAZIMA MKIELEWE CHAMA CHENU VIZURI SIO KUPELEKWA.
Khaaa, kwani kuna ubaya gani? ,Mbona mfumo tulionao sasa hivi ni ubepari tayari, wewe bado unadanganyika na sera ya ujamaa ya CCM? UNAFIKI.
Kwani Nyerere ni Mungu ambaye mawazo yake hayapingwi?
Mbona sasa hizo sera ndizo tunazozitekeleza, licha ya kwamba Mtei hakuwahi kuwa Rais wetu.
Offcourse!!!
Si afadhali ya hawa kuliko Chi Chi EM iliyotuibia pesa zetu za EPA.
Mbona hujahoji ni vipi Chi Chi EM watalipa pesa za wavuja jasho wa Tanzania.
Hatuna muda wa kupoteza kuwahoji viongozi wa CHADEMA huku tukijua ADUI yetu ni CCM!