ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 17,115
- 40,425
- Thread starter
- #101
Safi bro niaje 🤣Habari yako Bro
Safi bro niaje 🤣Habari yako Bro
Fanya tukutane Sasa 😜tupige picha tujiposti humu humu si ndiwoooooo.Acha basiii🤣🤣
Si ndiwooooo👌
Uioshe na maji motro umekua mzazi eboooo
Mi napendraa 🔥🔥
Next time ukienda kulewa nishtue maa 🥰
Safi bro niaje 🤣
Uwiiiii hehehehe 🙌🙌🙌yule nyau nilijifanya kumkazia na yeye akasusa😭😭
Mungu wangu mida ya majeruhiii ndio ukashtuka so ulifanikiwa kuliamsha joka lake🫣alikua last born ikabidi mimi ndo nianze kubembeleza tena kwa kumgusa gusa na kalio😅😅😅 hapo ishafika asubuhi tayali
Sema suuuu shost🤣👌Fanya tukutane Sasa 😜tupige picha tujiposti humu humu si ndiwoooooo.
Asante nafahamu bro nipo negative mara ya mwisho kupima hivi karibu Muhas nipo okayFresh tu,UKIMWI upo na UNAUA Bro
Tutajipost kwani shi ngapi 😅Sema suuuu shost🤣👌
Hakuna bills shoga ni bureee🔥👌Tutajipost kwani shi ngapi 😅
ushai date last born wa kishua alf ni toto la seminary kuanzia kindagate? madako yake hiyo siku niliondoka na utam wangu😅😅 saivi tupo kwenye ndoa ndo ana nikumbushiaga tunabaki kuchekaUwiiiii hehehehe 🙌🙌🙌
Mungu wangu mida ya majeruhiii ndio ukashtuka so ulifanikiwa kuliamsha joka lake🫣
Hahaha!!Bro ShesRise_1 bhanakulombana siachi
Niko Tanga. Tutapanga tukutane wapi tupige wine kidogo.Hakuna bills shoga ni bureee🔥👌
sijawahi dihaaa🤣🤣ushai date last born wa kishua alf ni toto la seminary kuanzia kindagate?
Kukuamini wewe labda ninywe kwanza chochote kitu siaminiiiiii🤣🤣🤣madako yake hiyo siku niliondoka na utam wangu😅😅 saivi tupo kwenye ndoa ndo ana nikumbushiaga tunabaki kucheka
Nimefanya je sasa mkuu🤣Hahaha!!Bro ShesRise_1 bhana
Mambo nipendayoo mimi 😋😋Niko Tanga. Tutapanga tukutane wapi tupige wine kidogo.
Na nyama choma
Basi tumekutana 😝😝😝Mambo nipendayoo mimi 😋😋
Dear sister nisamehe mimi nikikua nitaacha nakuahidi😊😊Ukishinda JF kwenda mbinguni ni kazi sana, sasa mimi nakimbia zambi mdogo wangu unaniita.
🤦🏻♀️
Mie nilidhani wakubwa mmenyokaAnyways mi napenda kuombwa… ni kama kila siku sitaki ila nataka sana tyu
Sasa wine zikishuka nani atashika pochi ya mwenzie 🤣🤣🤣Basi tumekutana 😝😝😝
Kwa sababu tunajuana tutajipanga mapema kwamba ikitokea hivi lazima awepo mtu wa kuhakikisha tunakuwa salama.Sasa wine zikishuka nani atashika pochi ya mwenzie 🤣🤣🤣
kwanini usiniamini binti🤔😅sijawahi dihaaa🤣🤣
Kukuamini wewe labda ninywe kwanza chochote kitu siaminiiiiii🤣🤣🤣
Kumbe una akili eeh hapo sawa 🤣🤣Kwa sababu tunajuana tutajipanga mapema kwamba ikitokea hivi lazima awepo mtu wa kuhakikisha tunakuwa salama.