ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 17,166
- 40,544
- Thread starter
- #201
Nimefanyaje unafukua makaburi 🤣Ila wewee, [emoji23][emoji23][emoji23]
Nimefanyaje unafukua makaburi 🤣Ila wewee, [emoji23][emoji23][emoji23]
Fire 🔥Wengine ni active muda wote tunataka
Mkuu hii haina season two?Unataka au hutaki? 🫣
Aliuliza hivi, Darling, itawezekana kweli huu siku upite hivi? 😉
Mi nikamwambia, Eeh, itawezekana Yes, wewe usijali, lala na utulie
Heh... gafla bin vuu, mkono wake nikausikia unapapasa kifua taratibu Nikamwambia, Hapana, nasikia kizunguzungu, nasikia kama homa hivi(sitaki nataka)
Akaamka taratibu, akachukua tauro, akaloweka kwenye maji, akaanza kunikanda kwenye paji la uso, akashuka mpaka kifuani, ananikanda taratibu😊
Kumbuka hapo tulikubaliana kua je inawezekana😆
Basi bhana, sijui hata ilikuaje
Kulikua na moment fulani hivi👌
Alikua ananukia perfume fulani, anadai ni mwaka wa kumi na tano hajabadilisha
Nikasema, Weee... inanukia balaa
Basi bhana... Bluetooth connected 💋
Bonge la moment, issue ikawa deep
Basi bhana, si nikashtuka
La haulaaa! Kumbe ni ndoto bhana, nilikua naota🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ila ukiachana na hiyo ndoto yangu...
Hivi wewe ulishawahi kua na bebe, time ya jigijigi ukawa sitaki nataka, au yeye akawa sitaki nataka?
Vipi, jigijigi iliyokua na kamchezo sitaki nataka, unaona vibe lake lipo je?
Thank you JF tutakuna next time 🫂
ShesRise_1 🤚
Subiri kama nitaota tenaMkuu hii haina season two?
Kiasi fulaniSubiri kama nitaota tena
Vp imekuvutia au?
Sawa aunt yanguKiasi fulani
Ukiota tena nitonye.Sawa aunt yangu
Haya ngoja tuoneUkiota tena nitonye.
Ila ndoto zikigoma unafanya kweli
Kazi zinaendeleaHaya ngoja tuone
Vp nane nane
Safiii sana furahieni maonenshoKazi zinaendelea
Wananchi wanaendelea kumiminika viwanjani kufurahia na kushuhudia mapinduzi na maendeleo yaliyofanywa na serikali ya Daktari Samia hususani kwenye sekta kilimo, uvuvi na ufugaji hali kadhalika kwenye suala zima la usindikaji wa bidhaa za kilimo na ufugaji.
Hakika mwamko na mwitikio ni mkubwa sana.
Elimu na huduma mbalimbali zinatolewa kwa viwango vya kuridhisha
Nakagua masijara, 😂😂Nimefanyaje unafukua makaburi 🤣
Unipe mrejesho🤣Nakagua masijara, 😂😂
Baadae nitawasilisha, 😂😂Unipe mrejesho🤣