Unataka au hutaki😉

Unataka au hutaki😉

ShesRise_1

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2025
Posts
16,938
Reaction score
40,038
Unataka au hutaki? 🫣

Aliuliza hivi, Darling, itawezekana kweli huu siku upite hivi? 😉

Mi nikamwambia, Eeh, itawezekana Yes, wewe usijali, lala na utulie

Heh... gafla bin vuu, mkono wake nikausikia unapapasa kifua taratibu Nikamwambia, Hapana, nasikia kizunguzungu, nasikia kama homa hivi(sitaki nataka)

Akaamka taratibu, akachukua tauro, akaloweka kwenye maji, akaanza kunikanda kwenye paji la uso, akashuka mpaka kifuani, ananikanda taratibu😊

Kumbuka hapo tulikubaliana kua je inawezekana😆

Basi bhana, sijui hata ilikuaje

Kulikua na moment fulani hivi👌

Alikua ananukia perfume fulani, anadai ni mwaka wa kumi na tano hajabadilisha

Nikasema, Weee... inanukia balaa

Basi bhana... Bluetooth connected 💋

Bonge la moment, issue ikawa deep

Basi bhana, si nikashtuka

La haulaaa! Kumbe ni ndoto bhana, nilikua naota🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Ila ukiachana na hiyo ndoto yangu...

Hivi wewe ulishawahi kua na bebe, time ya jigijigi ukawa sitaki nataka, au yeye akawa sitaki nataka?

Vipi, jigijigi iliyokua na kamchezo sitaki nataka, unaona vibe lake lipo je?

Thank you JF tutakuna next time 🫂
ShesRise_1 🤚
 
Unataka au hutaki? 🫣

Aliuliza hivi, Darling, itawezekana kweli huu siku upite hivi? 😉

Mi nikamwambia, Eeh, itawezekana Yes, wewe usijali, lala na utulie

Heh... gafla bin vuu, mkono wake nikausikia unapapasa kifua taratibu Nikamwambia, Hapana, nasikia kizunguzungu, nasikia kama homa hivi(sitaki nataka)

Akaamka taratibu, akachukua tauro, akaloweka kwenye maji, akaanza kunikanda kwenye paji la uso, akashuka mpaka kifuani, ananikanda taratibu😊

Kumbuka hapo tulikubaliana kua je inawezekana😆

Basi bhana, sijui hata ilikuaje

Kulikua na moment fulani hivi👌

Alikua ananukia perfume fulani, anadai ni mwaka wa kumi na tano hajabadilisha

Nikasema, Weee... inanukia balaa

Basi bhana... Bluetooth connected 💋

Bonge la moment, issue ikawa deep

Basi bhana, si nikashtuka

La haulaaa! Kumbe ni ndoto bhana, nilikua naota🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Ila ukiachana na hiyo ndoto yangu...

Hivi wewe ulishawahi kua na bebe, time ya jigijigi ukawa sitaki nataka, au yeye akawa sitaki nataka?

Vipi, jigijigi iliyokua na kamchezo sitaki nataka, unaona vibe lake lipo je?

Thank you JF tutakuna next time 🫂
ShesRise_1 🤚

Sitaki nataka ina raha yake buana, akuchombeze chombeze kwanza kabla hujampa aichape 🍆🍑😋 :uwotWater:

marilyn monroe GIF by Maudit.gif
 
Unataka au hutaki? 🫣

Aliuliza hivi, Darling, itawezekana kweli huu siku upite hivi? 😉

Mi nikamwambia, Eeh, itawezekana Yes, wewe usijali, lala na utulie

Heh... gafla bin vuu, mkono wake nikausikia unapapasa kifua taratibu Nikamwambia, Hapana, nasikia kizunguzungu, nasikia kama homa hivi(sitaki nataka)

Akaamka taratibu, akachukua tauro, akaloweka kwenye maji, akaanza kunikanda kwenye paji la uso, akashuka mpaka kifuani, ananikanda taratibu😊

Kumbuka hapo tulikubaliana kua je inawezekana😆

Basi bhana, sijui hata ilikuaje

Kulikua na moment fulani hivi👌

Alikua ananukia perfume fulani, anadai ni mwaka wa kumi na tano hajabadilisha

Nikasema, Weee... inanukia balaa

Basi bhana... Bluetooth connected 💋

Bonge la moment, issue ikawa deep

Basi bhana, si nikashtuka

La haulaaa! Kumbe ni ndoto bhana, nilikua naota🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Ila ukiachana na hiyo ndoto yangu...

Hivi wewe ulishawahi kua na bebe, time ya jigijigi ukawa sitaki nataka, au yeye akawa sitaki nataka?

Vipi, jigijigi iliyokua na kamchezo sitaki nataka, unaona vibe lake lipo je?

Thank you JF tutakuna next time 🫂
ShesRise_1 🤚
 
Back
Top Bottom