ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 16,938
- 40,043
Unataka au hutaki? 🫣
Aliuliza hivi, Darling, itawezekana kweli huu siku upite hivi? 😉
Mi nikamwambia, Eeh, itawezekana Yes, wewe usijali, lala na utulie
Heh... gafla bin vuu, mkono wake nikausikia unapapasa kifua taratibu Nikamwambia, Hapana, nasikia kizunguzungu, nasikia kama homa hivi(sitaki nataka)
Akaamka taratibu, akachukua tauro, akaloweka kwenye maji, akaanza kunikanda kwenye paji la uso, akashuka mpaka kifuani, ananikanda taratibu😊
Kumbuka hapo tulikubaliana kua je inawezekana😆
Basi bhana, sijui hata ilikuaje
Kulikua na moment fulani hivi👌
Alikua ananukia perfume fulani, anadai ni mwaka wa kumi na tano hajabadilisha
Nikasema, Weee... inanukia balaa
Basi bhana... Bluetooth connected 💋
Bonge la moment, issue ikawa deep
Basi bhana, si nikashtuka
La haulaaa! Kumbe ni ndoto bhana, nilikua naota🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ila ukiachana na hiyo ndoto yangu...
Hivi wewe ulishawahi kua na bebe, time ya jigijigi ukawa sitaki nataka, au yeye akawa sitaki nataka?
Vipi, jigijigi iliyokua na kamchezo sitaki nataka, unaona vibe lake lipo je?
Thank you JF tutakuna next time 🫂
ShesRise_1 🤚
Aliuliza hivi, Darling, itawezekana kweli huu siku upite hivi? 😉
Mi nikamwambia, Eeh, itawezekana Yes, wewe usijali, lala na utulie
Heh... gafla bin vuu, mkono wake nikausikia unapapasa kifua taratibu Nikamwambia, Hapana, nasikia kizunguzungu, nasikia kama homa hivi(sitaki nataka)
Akaamka taratibu, akachukua tauro, akaloweka kwenye maji, akaanza kunikanda kwenye paji la uso, akashuka mpaka kifuani, ananikanda taratibu😊
Kumbuka hapo tulikubaliana kua je inawezekana😆
Basi bhana, sijui hata ilikuaje
Kulikua na moment fulani hivi👌
Alikua ananukia perfume fulani, anadai ni mwaka wa kumi na tano hajabadilisha
Nikasema, Weee... inanukia balaa
Basi bhana... Bluetooth connected 💋
Bonge la moment, issue ikawa deep
Basi bhana, si nikashtuka
La haulaaa! Kumbe ni ndoto bhana, nilikua naota🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ila ukiachana na hiyo ndoto yangu...
Hivi wewe ulishawahi kua na bebe, time ya jigijigi ukawa sitaki nataka, au yeye akawa sitaki nataka?
Vipi, jigijigi iliyokua na kamchezo sitaki nataka, unaona vibe lake lipo je?
Thank you JF tutakuna next time 🫂
ShesRise_1 🤚