Makanyaga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2007
- 11,763
- 7,549
Ungelikua umeelimika ungefahamu tofauti kati ya majukumu ya raisi na majukumu ya serikali? huwezi kuisifia serikali inajenga fly over, au inajenga barabara hayo ndo majukumu ya serikali, raisi apingwe asipingwe hivyo vitu vinatakiwa kutekelezwa cha ajabu 98% wana akili kama zako kidhani kwamba serikali kutekeleza majukumu yake ni kama favour au fadhila...
Ni kweli ila sasa lazima watu wasifu kunpokuwa na outstanding records, zinazoambatana na utendaji wa Serikali ya Magufuli. Kwa mfano, mtoto aliyefaulu kwenda kusoma shule nzuri ila ni ya bure, halafu baba akiamua kumpeleka kwenye shule nyingine ya kulipia tena kwa gharama kubwa, hiyo ni outstanding recoord kwa maana kuwa huyu mtoto kwa kiasi kikubwa inabidi amsifu baba pamoja na kuwa ni jukumu la baba kumsomesha mtoto wake