Unapompinga Rais Magufuli, unapinga yafuatayo

Unapompinga Rais Magufuli, unapinga yafuatayo

Mkuu umesahau kujengwa kwa Standard Geuge treni ya kisasa
Airprt ya kimataifa jijini mwanza
Serikali kuhamia dodoma
Wakulima kufutiwa kodi
Wajasiria mali kupewa mikopo
Bomba la mafuta kupita nchini

Hadi billy gate alikuja kumuona baba jesca hakuamini alivokua akisimuliwa,,akaja mwenyewe na kuacha mamilioni ya dola[emoji3]
Hahahaha
 
Hii kitu inaitwa vita dhidi ya mafisadi na rushwa siielewi kabisa inapuganwa vipi ile hali haujaipa nguvu takukuru kisheria yakumchunguza yeyote ndani Jamhuri kuanzia Raisi hadi mtu wa chini bila kuomba kibali kwa yeyote. Siku akiipa takukuru nguvu yakisheria basi nitaamini Magufuli yuko serious
 
Lowassa; Nitamtoa Babuseya Gerezani Endapo Nitashinda Uraisi.

ccm; Haiwezekani Acha Kudanganya Umma. 2015

JPM; Nimewasamehe Papi Kocha na Babu Seya.

ccm; Magufuli Oyeeeee. (2017)
 
Lowassa; Nitamtoa Babuseya Gerezani Endapo Nitashinda Uraisi.

ccm; Haiwezekani Acha Kudanganya Umma. 2015

JPM; Nimewasamehe Papi Kocha na Babu Seya.

ccm; Magufuli Oyeeeee. (2017)
Hahaha
 
Uchaguzi wa Tanzania mwaka 2015 uliacha historia kwa sababu ulikuwa uchaguzi wa mabadiliko. Wagombea wote waliimba mabadiliko na wananchi tuliimba mabadiliko.

Naam, kila aombacho mtu ndio hupewa uchaguzi uliisha na mabadiliko yalipita.
Baada ya uchaguzi kuisha na Magufuli kutangazwa mshindi limetokea wimbi la kupinga kila kitu.
Hadi mabadiliko waliyoyalilia na kuzungusha mikono wanayapinga.!!!

Kumpinga Rais Magufuli ni kupinga yafuatayo.

1. Elimu bure. Hao wapingaji hawataki watoto wasome bure kuanzia darasa la kwanza hadi sekondari.

2. Machinga kufanya biashara kwa uhuru. Kabla ya rais Magufuli kuwa machinga ilikuwa adhabu ,kupigwa na kuibiwa mali ilikuwa ndio maisha ya machinga.

3. Ujenzi wa flyover kila kona.
4. Kupanda kwa makusanyo ya mapato.
5.Maelfu ya wanafunzi kupata mikopo.
6.Nidhamu na uwajibikaji wa watendaji wa serikali kuongezeka.
7. Serikali kuhamia dodoma.

8. Vita ya rushwa na ufisadi na wakwepa kodi wa billicanas na bandarini.
9. Kodi kufutwa
10. Wachimbaji wadogo wadogo waliokuwa wanafukuzwa kama mbwa sasa wanatajirika .

Anayeyapinga hayo hawezi kushinda uchaguzi ndio maana kwenye kata zote wanaishia kushinda kata moja tu.

Dhambi ya kupinga kila kitu haitawaacha salama.
kumbuka pia unapompinga magu unapinga uvunjwaji wa katiba kuruhusu mikutano ya siasa,pia unapompinga magu unaping kumimywa kwa uhuru wa watu kuikosoa serikali,Pia unampompinga unapinga ongezeko la vijana waliokosa hajira,pia unapompinga unapinga kuendelea kwa rushwa,unapompinga unapinga vitendo vya kutekana hovyo,KAMA HAUMPINGI MEANS UNASAPOTI HAYO MADUDU
 
kumbuka pia unapompinga magu unapinga uvunjwaji wa katiba kuruhusu mikutano ya siasa,pia unapompinga magu unaping kumimywa kwa uhuru wa watu kuikosoa serikali,Pia unampompinga unapinga ongezeko la vijana waliokosa hajira,pia unapompinga unapinga kuendelea kwa rushwa,unapompinga unapinga vitendo vya kutekana hovyo,KAMA HAUMPINGI MEANS UNASAPOTI HAYO MADUDU
huwa unakula mikutano ya siasa ?
 
Pia Wanapinga • Kufyatua Watoto • Wanapinga Expansion Joint
 
Uchaguzi wa Tanzania mwaka 2015 uliacha historia kwa sababu ulikuwa uchaguzi wa mabadiliko. Wagombea wote waliimba mabadiliko na wananchi tuliimba mabadiliko.

Naam, kila aombacho mtu ndio hupewa uchaguzi uliisha na mabadiliko yalipita.
Baada ya uchaguzi kuisha na Magufuli kutangazwa mshindi limetokea wimbi la kupinga kila kitu.
Hadi mabadiliko waliyoyalilia na kuzungusha mikono wanayapinga.!!!

Kumpinga Rais Magufuli ni kupinga yafuatayo.

1. Elimu bure. Hao wapingaji hawataki watoto wasome bure kuanzia darasa la kwanza hadi sekondari.

2. Machinga kufanya biashara kwa uhuru. Kabla ya rais Magufuli kuwa machinga ilikuwa adhabu ,kupigwa na kuibiwa mali ilikuwa ndio maisha ya machinga.

3. Ujenzi wa flyover kila kona.
4. Kupanda kwa makusanyo ya mapato.
5.Maelfu ya wanafunzi kupata mikopo.
6.Nidhamu na uwajibikaji wa watendaji wa serikali kuongezeka.
7. Serikali kuhamia dodoma.

8. Vita ya rushwa na ufisadi na wakwepa kodi wa billicanas na bandarini.
9. Kodi kufutwa
10. Wachimbaji wadogo wadogo waliokuwa wanafukuzwa kama mbwa sasa wanatajirika .

Anayeyapinga hayo hawezi kushinda uchaguzi ndio maana kwenye kata zote wanaishia kushinda kata moja tu.

Dhambi ya kupinga kila kitu haitawaacha salama.
Mjomba 70% ya ulivyotaja ni sera za upinzani na uongozi uliopita...
 
"Flyover" unatatua tatizo sehemu moja unaongeza tatizo sehemu nyingine.... Stupid.
 
Ni kweli ila sasa lazima watu wasifu kunpokuwa na outstanding records, zinazoambatana na utendaji wa Serikali ya Magufuli. Kwa mfano, mtoto aliyefaulu kwenda kusoma shule nzuri ila ni ya bure, halafu baba akiamua kumpeleka kwenye shule nyingine ya kulipia tena kwa gharama kubwa, hiyo ni outstanding recoord kwa maana kuwa huyu mtoto kwa kiasi kikubwa inabidi amsifu baba pamoja na kuwa ni jukumu la baba kumsomesha mtoto wake
Naona haujui unachokiongea je hio shule ya bure ina walimu wa kutosha, je walimu wanamotivation ya kufundisha? huwezi fananisha shule ya bure na shule ya kulipia, baba jukumu lake nikutafuta hela na kumsomesha mtoto wake huwezi kusifia kwamba baba amemsomesha mtoto shule ya gharama wakati hana uwezo huo, pia huwezi kumsifia baba amesomesha mtoto wakati kipato anacho, outstanding record ni pale baba hana kazi ya kueleweka lakini anamsomesha mtoto shule ya gharama kubwa ili mwanae apate elimu bora, kwa serikali hio ni tofauti yenyewe inakusanya kodi hivyo maendeleo ni wajibu wa serikali sio fadhila ya kiongozi
 
Uchaguzi wa Tanzania mwaka 2015 uliacha historia kwa sababu ulikuwa uchaguzi wa mabadiliko. Wagombea wote waliimba mabadiliko na wananchi tuliimba mabadiliko.

Naam, kila aombacho mtu ndio hupewa uchaguzi uliisha na mabadiliko yalipita.
Baada ya uchaguzi kuisha na Magufuli kutangazwa mshindi limetokea wimbi la kupinga kila kitu.
Hadi mabadiliko waliyoyalilia na kuzungusha mikono wanayapinga.!!!

Kumpinga Rais Magufuli ni kupinga yafuatayo.

1. Elimu bure. Hao wapingaji hawataki watoto wasome bure kuanzia darasa la kwanza hadi sekondari.

2. Machinga kufanya biashara kwa uhuru. Kabla ya rais Magufuli kuwa machinga ilikuwa adhabu ,kupigwa na kuibiwa mali ilikuwa ndio maisha ya machinga.

3. Ujenzi wa flyover kila kona.
4. Kupanda kwa makusanyo ya mapato.
5.Maelfu ya wanafunzi kupata mikopo.
6.Nidhamu na uwajibikaji wa watendaji wa serikali kuongezeka.
7. Serikali kuhamia dodoma.

8. Vita ya rushwa na ufisadi na wakwepa kodi wa billicanas na bandarini.
9. Kodi kufutwa
10. Wachimbaji wadogo wadogo waliokuwa wanafukuzwa kama mbwa sasa wanatajirika .

Anayeyapinga hayo hawezi kushinda uchaguzi ndio maana kwenye kata zote wanaishia kushinda kata moja tu.

Dhambi ya kupinga kila kitu haitawaacha salama.
naongezea. kikosi cha siri cha mauaji ya wakosoaji
 
Back
Top Bottom