Fanuel Mazze
Member
- Oct 29, 2014
- 41
- 13
Hili la elimu bure ____hapana halijakaa vizuri. Vyumba vya madarasa havitoshi,madawati ni ya kugombania.
Namba 1 napingana nayo, tafuta mwalimu yoyote na uliza kuhusu elimu bure, usisikie maneno nenda kwenye uhalisiaUchaguzi wa Tanzania mwaka 2015 uliacha historia kwa sababu ulikuwa uchaguzi wa mabadiliko. Wagombea wote waliimba mabadiliko na wananchi tuliimba mabadiliko.
Naam, kila aombacho mtu ndio hupewa uchaguzi uliisha na mabadiliko yalipita.
Baada ya uchaguzi kuisha na Magufuli kutangazwa mshindi limetokea wimbi la kupinga kila kitu.
Hadi mabadiliko waliyoyalilia na kuzungusha mikono wanayapinga.!!!
Kumpinga Rais Magufuli ni kupinga yafuatayo.
1. Elimu bure. Hao wapingaji hawataki watoto wasome bure kuanzia darasa la kwanza hadi sekondari.
2. Machinga kufanya biashara kwa uhuru. Kabla ya rais Magufuli kuwa machinga ilikuwa adhabu ,kupigwa na kuibiwa mali ilikuwa ndio maisha ya machinga.
3. Ujenzi wa flyover kila kona.
4. Kupanda kwa makusanyo ya mapato.
5.Maelfu ya wanafunzi kupata mikopo.
6.Nidhamu na uwajibikaji wa watendaji wa serikali kuongezeka.
7. Serikali kuhamia dodoma.
8. Vita ya rushwa na ufisadi na wakwepa kodi wa billicanas na bandarini.
9. Kodi kufutwa
10. Wachimbaji wadogo wadogo waliokuwa wanafukuzwa kama mbwa sasa wanatajirika .
Anayeyapinga hayo hawezi kushinda uchaguzi ndio maana kwenye kata zote wanaishia kushinda kata moja tu.
Dhambi ya kupinga kila kitu haitawaacha salama.
Uchaguzi wa Tanzania mwaka 2015 uliacha historia kwa sababu ulikuwa uchaguzi wa mabadiliko. Wagombea wote waliimba mabadiliko na wananchi tuliimba mabadiliko.
Naam, kila aombacho mtu ndio hupewa uchaguzi uliisha na mabadiliko yalipita.
Baada ya uchaguzi kuisha na Magufuli kutangazwa mshindi limetokea wimbi la kupinga kila kitu.
Hadi mabadiliko waliyoyalilia na kuzungusha mikono wanayapinga.!!!
Kumpinga Rais Magufuli ni kupinga yafuatayo.
1. Elimu bure. Hao wapingaji hawataki watoto wasome bure kuanzia darasa la kwanza hadi sekondari.
2. Machinga kufanya biashara kwa uhuru. Kabla ya rais Magufuli kuwa machinga ilikuwa adhabu ,kupigwa na kuibiwa mali ilikuwa ndio maisha ya machinga.
3. Ujenzi wa flyover kila kona.
4. Kupanda kwa makusanyo ya mapato.
5.Maelfu ya wanafunzi kupata mikopo.
6.Nidhamu na uwajibikaji wa watendaji wa serikali kuongezeka.
7. Serikali kuhamia dodoma.
8. Vita ya rushwa na ufisadi na wakwepa kodi wa billicanas na bandarini.
9. Kodi kufutwa
10. Wachimbaji wadogo wadogo waliokuwa wanafukuzwa kama mbwa sasa wanatajirika .
Anayeyapinga hayo hawezi kushinda uchaguzi ndio maana kwenye kata zote wanaishia kushinda kata moja tu.
Dhambi ya kupinga kila kitu haitawaacha salama.
Ongeza - kumkubali Magufuli ni kukataa:Karibu JF. Lakini unaingia tu kichwa kichwa hata hodi hupigi?!Pia umeandika kama kilaza kabisa! Jitahidi usomesome kabla hujabandika. Kuna maktaba humu yenye nondo za takriban miaka 11 na ushee hivi.
Kutoa elimu bure sio kufuta michango kwa vile Christmas na harusi zinaendelea. Elimu bure night kulipwa mishahara ya walimu na kutumia majengo ya serkali na vifaa bure lakini wazazi .bado wanalipia nauli za watoto na nguo wanazovaaShule ya msingi Bunge ndiyo shule ya msingi iliyo karibu na ikulu kuliko shule yoyote hapo bongo, nina mdogo wangu pale. Hebu nyie wa elimu bure niambieni; ni mchango gani ulikuwepo pale kabla ya 2015 na sasa umefutwa? Halafu mseme kweli, kwa siku wanafunzi wanafundishwa vipindi vingapi? Endeleeni kuunga mkono maigizo.
TUMSAMEHE HUYU DADA YETU.ALIINGIA 17/NOV/2017 HATA MWEZI HAJATIMIZA.NA NINA MASHAKA KAAMKA GHAFLA TU.DADA UMEOGA BAADA YA KAZI YA USIKU WA KUAMKIA LEO?Karibu JF. Lakini unaingia tu kichwa kichwa hata hodi hupigi?!Pia umeandika kama kilaza kabisa! Jitahidi usomesome kabla hujabandika. Kuna maktaba humu yenye nondo za takriban miaka 11 na ushee hivi.
WEWE DADA WEWE ACHA KUROPOKA UPO HAPA TOKA 17/NOVEMBER/2017.TUNAKUSAMEHE. ILA KABLA YA KUINGIA HAPA UWE UNAOGA KWANZA. NINA MASHAKA HUJAOGA BAADA YA KAZI YA USIKU WA KUAMKIA LEO. ILA TUMEKUSAMEHEUchaguzi wa Tanzania mwaka 2015 uliacha historia kwa sababu ulikuwa uchaguzi wa mabadiliko. Wagombea wote waliimba mabadiliko na wananchi tuliimba mabadiliko.
Naam, kila aombacho mtu ndio hupewa uchaguzi uliisha na mabadiliko yalipita.
Baada ya uchaguzi kuisha na Magufuli kutangazwa mshindi limetokea wimbi la kupinga kila kitu.
Hadi mabadiliko waliyoyalilia na kuzungusha mikono wanayapinga.!!!
Kumpinga Rais Magufuli ni kupinga yafuatayo.
1. Elimu bure. Hao wapingaji hawataki watoto wasome bure kuanzia darasa la kwanza hadi sekondari.
2. Machinga kufanya biashara kwa uhuru. Kabla ya rais Magufuli kuwa machinga ilikuwa adhabu ,kupigwa na kuibiwa mali ilikuwa ndio maisha ya machinga.
3. Ujenzi wa flyover kila kona.
4. Kupanda kwa makusanyo ya mapato.
5.Maelfu ya wanafunzi kupata mikopo.
6.Nidhamu na uwajibikaji wa watendaji wa serikali kuongezeka.
7. Serikali kuhamia dodoma.
8. Vita ya rushwa na ufisadi na wakwepa kodi wa billicanas na bandarini.
9. Kodi kufutwa
10. Wachimbaji wadogo wadogo waliokuwa wanafukuzwa kama mbwa sasa wanatajirika .
Anayeyapinga hayo hawezi kushinda uchaguzi ndio maana kwenye kata zote wanaishia kushinda kata moja tu.
Dhambi ya kupinga kila kitu haitawaacha salama.
pole sana hujielewi, au kama unajielewa utakuwa unasumbuliwa sana na ukabila, ubinafsi, ukanda, chuki nkUchaguzi wa Tanzania mwaka 2015 uliacha historia kwa sababu ulikuwa uchaguzi wa mabadiliko. Wagombea wote waliimba mabadiliko na wananchi tuliimba mabadiliko.
Naam, kila aombacho mtu ndio hupewa uchaguzi uliisha na mabadiliko yalipita.
Baada ya uchaguzi kuisha na Magufuli kutangazwa mshindi limetokea wimbi la kupinga kila kitu.
Hadi mabadiliko waliyoyalilia na kuzungusha mikono wanayapinga.!!!
Kumpinga Rais Magufuli ni kupinga yafuatayo.
1. Elimu bure. Hao wapingaji hawataki watoto wasome bure kuanzia darasa la kwanza hadi sekondari.
2. Machinga kufanya biashara kwa uhuru. Kabla ya rais Magufuli kuwa machinga ilikuwa adhabu ,kupigwa na kuibiwa mali ilikuwa ndio maisha ya machinga.
3. Ujenzi wa flyover kila kona.
4. Kupanda kwa makusanyo ya mapato.
5.Maelfu ya wanafunzi kupata mikopo.
6.Nidhamu na uwajibikaji wa watendaji wa serikali kuongezeka.
7. Serikali kuhamia dodoma.
8. Vita ya rushwa na ufisadi na wakwepa kodi wa billicanas na bandarini.
9. Kodi kufutwa
10. Wachimbaji wadogo wadogo waliokuwa wanafukuzwa kama mbwa sasa wanatajirika .
Anayeyapinga hayo hawezi kushinda uchaguzi ndio maana kwenye kata zote wanaishia kushinda kata moja tu.
Dhambi ya kupinga kila kitu haitawaacha salama.
Mazuzu huwa wanaona ni HISANI!hata hivyo ni wajibu wa serikali kutimiza matakwa yake nchini
Kumbe una yako na ukiongozwa CHUKI BINAFSI!Kwa hiyo Chadema ikishinda wamachinga watafukuzwa??
Buguruni pia lipo. Na huku kwetu Ngopyolo pia limejengwa. Hatupiti tena kwenye fiteputepu (yale madaraja yajengwao kienyeji, yananesaje!!)Flyover kila mahala umemaanisha nini, lile daraja la mwanza pale furahisha utaliita flyover, na mbagala kuna flyover
Nimeona nisiendelee kukoment manake naona umeandika uzwazwa tu ati kodi kufutwa,
Hiyo ndiyo justification ya nyinyi kumpiga risasi Tundu Lisu?Hata Martin Luther King alipigwa risasi miaka 500 iliyopita
WamemchachawangweHiyo ndiyo justification ya nyinyi kumpiga risasi Tundu Lisu?
Peruzi kidogo usijidhalilishe kiasi hiki,hivi Martin Luther King Jr(civil right activist) alipigwa risasi miaka 500 iliyopita?.
MaswaUchaguzi wa Tanzania mwaka 2015 uliacha historia kwa sababu ulikuwa uchaguzi wa mabadiliko. Wagombea wote waliimba mabadiliko na wananchi tuliimba mabadiliko.
Naam, kila aombacho mtu ndio hupewa uchaguzi uliisha na mabadiliko yalipita.
Baada ya uchaguzi kuisha na Magufuli kutangazwa mshindi limetokea wimbi la kupinga kila kitu.
Hadi mabadiliko waliyoyalilia na kuzungusha mikono wanayapinga.!!!
Kumpinga Rais Magufuli ni kupinga yafuatayo.
1. Elimu bure. Hao wapingaji hawataki watoto wasome bure kuanzia darasa la kwanza hadi sekondari.
2. Machinga kufanya biashara kwa uhuru. Kabla ya rais Magufuli kuwa machinga ilikuwa adhabu ,kupigwa na kuibiwa mali ilikuwa ndio maisha ya machinga.
3. Ujenzi wa flyover kila kona.
4. Kupanda kwa makusanyo ya mapato.
5.Maelfu ya wanafunzi kupata mikopo.
6.Nidhamu na uwajibikaji wa watendaji wa serikali kuongezeka.
7. Serikali kuhamia dodoma.
8. Vita ya rushwa na ufisadi na wakwepa kodi wa billicanas na bandarini.
9. Kodi kufutwa
10. Wachimbaji wadogo wadogo waliokuwa wanafukuzwa kama mbwa sasa wanatajirika .
Anayeyapinga hayo hawezi kushinda uchaguzi ndio maana kwenye kata zote wanaishia kushinda kata moja tu.
Dhambi ya kupinga kila kitu haitawaacha salama.