Unapompinga Rais Magufuli, unapinga yafuatayo

Unapompinga Rais Magufuli, unapinga yafuatayo

Uchaguzi wa Tanzania mwaka 2015 uliacha historia kwa sababu ulikuwa uchaguzi wa mabadiliko. Wagombea wote waliimba mabadiliko na wananchi tuliimba mabadiliko.

Naam, kila aombacho mtu ndio hupewa uchaguzi uliisha na mabadiliko yalipita.
Baada ya uchaguzi kuisha na Magufuli kutangazwa mshindi limetokea wimbi la kupinga kila kitu.
Hadi mabadiliko waliyoyalilia na kuzungusha mikono wanayapinga.!!!

Kumpinga Rais Magufuli ni kupinga yafuatayo.

1. Elimu bure. Hao wapingaji hawataki watoto wasome bure kuanzia darasa la kwanza hadi sekondari.

2. Machinga kufanya biashara kwa uhuru. Kabla ya rais Magufuli kuwa machinga ilikuwa adhabu ,kupigwa na kuibiwa mali ilikuwa ndio maisha ya machinga.

3. Ujenzi wa flyover kila kona.
4. Kupanda kwa makusanyo ya mapato.
5.Maelfu ya wanafunzi kupata mikopo.
6.Nidhamu na uwajibikaji wa watendaji wa serikali kuongezeka.
7. Serikali kuhamia dodoma.
8. Vita ya rushwa na ufisadi na wakwepa kodi wa billicanas na bandarini.
9. Kodi kufutwa
10. Wachimbaji wadogo wadogo waliokuwa wanafukuzwa kama mbwa sasa wanatajirika .

Anayeyapinga hayo hawezi kushinda uchaguzi ndio maana kwenye kata zote wanaishia kushinda kata moja tu.

Dhambi ya kupinga kila kitu haitawaacha salama.
No Ninapinga utekaji na uuaji usio na hurumba kwa wapinzani
Ninapinga ufisadi mpya wa kuiba fedha za umma ili kuharibu utawala bora na demokrasia. Ni ufisadi usiovumilika wenye kichefu chefu. Wizi mwingine wowote pamoja na ubaya wake unaishia kuleta maendeleo angalau kwa wachache! Lakini huu unaoishia kuharibu demokrasia na utawala bora!! ni unyama
 
Number 8 imeshindikana; hamtaiweza sababu mnaitumia ref. Madiwani Arusha
 
cb29b00eb48ee32b57e0a4abc236e619.jpg
 
Uchaguzi wa Tanzania mwaka 2015 uliacha historia kwa sababu ulikuwa uchaguzi wa mabadiliko. Wagombea wote waliimba mabadiliko na wananchi tuliimba mabadiliko.

Naam, kila aombacho mtu ndio hupewa uchaguzi uliisha na mabadiliko yalipita.
Baada ya uchaguzi kuisha na Magufuli kutangazwa mshindi limetokea wimbi la kupinga kila kitu.
Hadi mabadiliko waliyoyalilia na kuzungusha mikono wanayapinga.!!!

Kumpinga Rais Magufuli ni kupinga yafuatayo.

1. Elimu bure. Hao wapingaji hawataki watoto wasome bure kuanzia darasa la kwanza hadi sekondari.

2. Machinga kufanya biashara kwa uhuru. Kabla ya rais Magufuli kuwa machinga ilikuwa adhabu ,kupigwa na kuibiwa mali ilikuwa ndio maisha ya machinga.

3. Ujenzi wa flyover kila kona.
4. Kupanda kwa makusanyo ya mapato.
5.Maelfu ya wanafunzi kupata mikopo.
6.Nidhamu na uwajibikaji wa watendaji wa serikali kuongezeka.
7. Serikali kuhamia dodoma.
8. Vita ya rushwa na ufisadi na wakwepa kodi wa billicanas na bandarini.
9. Kodi kufutwa
10. Wachimbaji wadogo wadogo waliokuwa wanafukuzwa kama mbwa sasa wanatajirika .

Anayeyapinga hayo hawezi kushinda uchaguzi ndio maana kwenye kata zote wanaishia kushinda kata moja tu.

Dhambi ya kupinga kila kitu haitawaacha salama.
Nikisema hufai kuwa mfano wa usafi kwa sababu unanuka kikwapa, kama meno yako safi na mdomo unanukia Colgate, kusema kwangu unanuka kikwapa hakumaanishi napinga mdomonwako kuwa safi nabunaonukia Colgate.

Inawezekana nataka mtu ambaye mdomo unanukia Colgate na hanuki kikwapa vile vile.

Usichanganye madawa.
 
Ungelikua umeelimika ungefahamu tofauti kati ya majukumu ya raisi na majukumu ya serikali? huwezi kuisifia serikali inajenga fly over, au inajenga barabara hayo ndo majukumu ya serikali, raisi apingwe asipingwe hivyo vitu vinatakiwa kutekelezwa cha ajabu 98% wana akili kama zako kidhani kwamba serikali kutekeleza majukumu yake ni kama favour au fadhila...
 
Uchaguzi wa Tanzania mwaka 2015 uliacha historia kwa sababu ulikuwa uchaguzi wa mabadiliko. Wagombea wote waliimba mabadiliko na wananchi tuliimba mabadiliko.

Naam, kila aombacho mtu ndio hupewa uchaguzi uliisha na mabadiliko yalipita.
Baada ya uchaguzi kuisha na Magufuli kutangazwa mshindi limetokea wimbi la kupinga kila kitu.
Hadi mabadiliko waliyoyalilia na kuzungusha mikono wanayapinga.!!!

Kumpinga Rais Magufuli ni kupinga yafuatayo.

1. Elimu bure. Hao wapingaji hawataki watoto wasome bure kuanzia darasa la kwanza hadi sekondari.

2. Machinga kufanya biashara kwa uhuru. Kabla ya rais Magufuli kuwa machinga ilikuwa adhabu ,kupigwa na kuibiwa mali ilikuwa ndio maisha ya machinga.

3. Ujenzi wa flyover kila kona.
4. Kupanda kwa makusanyo ya mapato.
5.Maelfu ya wanafunzi kupata mikopo.
6.Nidhamu na uwajibikaji wa watendaji wa serikali kuongezeka.
7. Serikali kuhamia dodoma.
8. Vita ya rushwa na ufisadi na wakwepa kodi wa billicanas na bandarini.
9. Kodi kufutwa
10. Wachimbaji wadogo wadogo waliokuwa wanafukuzwa kama mbwa sasa wanatajirika .

Anayeyapinga hayo hawezi kushinda uchaguzi ndio maana kwenye kata zote wanaishia kushinda kata moja tu.

Dhambi ya kupinga kila kitu haitawaacha salama.
Hoja za mtu asiye enda shule utazijua tu wala huhitaji darubin .
 
Si mlisema elimu bila malipo siyo elimu bure??
 
Utawala umejaa maigizo lakn wajinga wanazan ni maendeleo. Ebu fafanua, hayo mapato yamepanda kutoka wapi na kwenda wapi?
 
Usiandike Ungese hapa hiyo Elimu bure umeiona wapi na je inaendana na kuitwa Elimu?sio kila kitu unashawishi watu wakuelewe kama wewe una muunga mkono kaa kimya ila usishawishi watu wengine waamini u maku wako
 
Kuwaita wasaidizi WAPUMBAVU
 
Back
Top Bottom