Maswa
Disgusting
Flyover kila.kona?
Tazara ,ubungo ni kila kona...
Halafu unajua...flyover..afrika mashari kubwa ni Thika highway nayo...bado haina...sifa ya flyover bali inaitwa...dual interchange carriage highway..
Ile pale Tazara its a typical Bridge na ubungo itakuwa advanced interchange
Flyover kwa afrika ziko Egypt ,angola ,south etc unakuta barabara inatembea kilometa moja...au...zaidi bila kushuka..kunakua na.exits tu
Mfano wa kama hiyo kulikua na idea ya kujenga toka bandarini...hadi ubungo bila kushuka juuuu kwa ..juu inakua.na.matokeo...sehem...kama...keko,buguruni na ubungo tu..design...ikawa so...expensive thats why they have opted kwa..bridges ambazo. ..tazara tumekopa japan na ubungo ni wolrd bank