pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 19,035
- 15,242
Hakuna anaepinga maendeleo hata siku moja tena ukipinga maendeleo wewe ni mwendawazimu kabisa, watu wanapinga yafuatayo;
Kutokuwepo kwa demokrasia ya kweli
Uhuru wa vyombo vya habari
Kutokuwepo kwa tume huru ya uchaguzi
Kuvunjwa kwa katiba mara kwa mara
Rushwa imeanza kushamiri ktk upande mwingine tena mbaya zaidi kuliko wa awali (ie ununuzi wa upinzani).
Kutokuwepo kwa demokrasia ya kweli
Uhuru wa vyombo vya habari
Kutokuwepo kwa tume huru ya uchaguzi
Kuvunjwa kwa katiba mara kwa mara
Rushwa imeanza kushamiri ktk upande mwingine tena mbaya zaidi kuliko wa awali (ie ununuzi wa upinzani).