Mbunge Msukuma unatuma ujumbe gani kwa Rais Samia?

Mbunge Msukuma unatuma ujumbe gani kwa Rais Samia?

Etwege

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2018
Posts
7,833
Reaction score
19,510
Mbunge wa Geita vijijini Kasheku Musukuma ametoboa siri kuwa kipindi cha Rais Magufuli miradi ilikuwa inaenda kwa sababu alikuwa amedhibiti pasent(%) na alikuwa mfuatiliaji kwelikweli ya kila hatua ya mradi lakini baada ya kuingia madarakani Rais Samia viongozi wameelezekeza macho kwenye 10% ya miradi ndiyo maana wanakimbilia kubuni na kusaini mikataba mipya kila siku kwa sababu miradi mipya ndio yenye pasenti alafu baada ya kusaini hawafuatilii tena kama huo mradi umekamilika au la ndio maana miradi mingi inasuasua ujenzi wake.

Mbunge Musukuma ameeleza zaidi kuwa kipindi cha Magufuli viongozi wenye msimamo wa kupinga rushwa walikuwa wanalindwa na kupewa promotion lakini kwenye serikali ya Rais Samia viongozi wanaoonekana wanamsimamo wamekuwa wakiondolewa serikalini!


View: https://www.facebook.com/share/v/1MAMhxspo8/
 
Mbunge wa Geita vijijini Kasheku Musukuma ametoboa siri kuwa kipindi cha Rais Magufuli miradi ilikuwa inaenda kwa sababu alikuwa amedhibiti pasent(%) na alikuwa mfuatiliaji kwelikweli ya kila hatua ya mradi lakini baada ya kuingia madarakani Rais Samia viongozi wameelezekeza macho kwenye 10% ya miradi ndiyo maana wanakimbilia kubuni na kusaini mikataba mipya kila siku kwa sababu miradi mipya ndio yenye pasenti alafu baada ya kusaini hawafuatilii tena kama huo mradi umekamilika au la ndio maana miradi mingi inasuasua ujenzi wake.

Mbunge Musukuma ameeleza zaidi kuwa kipindi cha Magufuli viongozi wenye msimamo wa kupinga rushwa walikuwa wanalindwa na kupewa promotion lakini kwenye serikali ya Rais Samia viongozi wanaoonekana wanamsimamo wamekuwa wakiondolewa serikalini!


View: https://www.facebook.com/share/v/1MAMhxspo8/

Na siyo kuondolewa kazini tu, wanatekwa na kupotezwa. Samia ametoa ruksa kila kiongozi ale kwa urefu wa kamba yake.
 
Mbunge wa Geita vijijini Kasheku Musukuma ametoboa siri kuwa kipindi cha Rais Magufuli miradi ilikuwa inaenda kwa sababu alikuwa amedhibiti pasent(%) na alikuwa mfuatiliaji kwelikweli ya kila hatua ya mradi lakini baada ya kuingia madarakani Rais Samia viongozi wameelezekeza macho kwenye 10% ya miradi ndiyo maana wanakimbilia kubuni na kusaini mikataba mipya kila siku kwa sababu miradi mipya ndio yenye pasenti alafu baada ya kusaini hawafuatilii tena kama huo mradi umekamilika au la ndio maana miradi mingi inasuasua ujenzi wake.

Mbunge Musukuma ameeleza zaidi kuwa kipindi cha Magufuli viongozi wenye msimamo wa kupinga rushwa walikuwa wanalindwa na kupewa promotion lakini kwenye serikali ya Rais Samia viongozi wanaoonekana wanamsimamo wamekuwa wakiondolewa serikalini!


View: https://www.facebook.com/share/v/1MAMhxspo8/

Screenshot_20260616-173300~2.png
 
Mbunge wa Geita vijijini Kasheku Musukuma ametoboa siri kuwa kipindi cha Rais Magufuli miradi ilikuwa inaenda kwa sababu alikuwa amedhibiti pasent(%) na alikuwa mfuatiliaji kwelikweli ya kila hatua ya mradi lakini baada ya kuingia madarakani Rais Samia viongozi wameelezekeza macho kwenye 10% ya miradi ndiyo maana wanakimbilia kubuni na kusaini mikataba mipya kila siku kwa sababu miradi mipya ndio yenye pasenti alafu baada ya kusaini hawafuatilii tena kama huo mradi umekamilika au la ndio maana miradi mingi inasuasua ujenzi wake.

Mbunge Musukuma ameeleza zaidi kuwa kipindi cha Magufuli viongozi wenye msimamo wa kupinga rushwa walikuwa wanalindwa na kupewa promotion lakini kwenye serikali ya Rais Samia viongozi wanaoonekana wanamsimamo wamekuwa wakiondolewa serikalini!


View: https://www.facebook.com/share/v/1MAMhxspo8/

Kwanza ijulikane kuwa "10%" dunia mzima IPO. Atabisha ambaye hana exposure kuhusu mambo haya kama vile Musukuma.
 
Mbunge wa Geita vijijini Kasheku Musukuma ametoboa siri kuwa kipindi cha Rais Magufuli miradi ilikuwa inaenda kwa sababu alikuwa amedhibiti pasent(%) na alikuwa mfuatiliaji kwelikweli ya kila hatua ya mradi lakini baada ya kuingia madarakani Rais Samia viongozi wameelezekeza macho kwenye 10% ya miradi ndiyo maana wanakimbilia kubuni na kusaini mikataba mipya kila siku kwa sababu miradi mipya ndio yenye pasenti alafu baada ya kusaini hawafuatilii tena kama huo mradi umekamilika au la ndio maana miradi mingi inasuasua ujenzi wake.

Mbunge Musukuma ameeleza zaidi kuwa kipindi cha Magufuli viongozi wenye msimamo wa kupinga rushwa walikuwa wanalindwa na kupewa promotion lakini kwenye serikali ya Rais Samia viongozi wanaoonekana wanamsimamo wamekuwa wakiondolewa serikalini!


View: https://www.facebook.com/share/v/1MAMhxspo8/

Ujumbe ni kuwa chama,dola,mihimili yote inazingua na inafifisha ndoto,matumaini ,maendeleo,ustawiheshima uchumi,siasa,haki,uwajibikaji,utawala bora utawala wa sheria amani,utulivu na vyote vilivyokuwa nuru ya taifa hili!
 
Kwanza ijulikane kuwa "10%" dunia mzima IPO. Atabisha ambaye hana exposure kuhusu mambo haya kama vile Musukuma.
Sina hakika ila wenzetu wa Dunia ya kwanza rushwa wanaipinga kwa vitendo kuna mzungu flani ashakuwa raia wa bongo ni engineer anakampuni ya ujenzi aise akipata kazi utegemee utapata mia mbovu kwake umenoa hata kumi hatoi kamwe hata umnyonge wenzetu wamekuzwa kwenye uwazi na ukweli sio ujanja janja na kujuana. Kingine ngozi nyeusi hasa wabongo wabinfsi sana aise mtu anajiangalia yeye haangalii kundi la wengi tazama viongozi wanavyojilimbikizia mali na bado wanakwiba wanaenda kuficha nchi za nje na kununua majumba huko ndio maana siku zote mbele za wenzetu hatuaminiki.
 
Mbunge wa Geita vijijini Kasheku Musukuma ametoboa siri kuwa kipindi cha Rais Magufuli miradi ilikuwa inaenda kwa sababu alikuwa amedhibiti pasent(%) na alikuwa mfuatiliaji kwelikweli ya kila hatua ya mradi lakini baada ya kuingia madarakani Rais Samia viongozi wameelezekeza macho kwenye 10% ya miradi ndiyo maana wanakimbilia kubuni na kusaini mikataba mipya kila siku kwa sababu miradi mipya ndio yenye pasenti alafu baada ya kusaini hawafuatilii tena kama huo mradi umekamilika au la ndio maana miradi mingi inasuasua ujenzi wake.

Mbunge Musukuma ameeleza zaidi kuwa kipindi cha Magufuli viongozi wenye msimamo wa kupinga rushwa walikuwa wanalindwa na kupewa promotion lakini kwenye serikali ya Rais Samia viongozi wanaoonekana wanamsimamo wamekuwa wakiondolewa serikalini!


View: https://www.facebook.com/share/v/1MAMhxspo8/

Mjane wa Marehemu lile shetani lenu la Chato unajitahidi kweli kulipamba. Kwa siku lazima uanzishe vijithread japo viwili vitatu vya kumkumbuka
 
Back
Top Bottom