HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 69,373
- 94,566
Mmhh. Huko naskia Sio mchezo. Unanoga kwa mawazo tuNilikua IRINGA wiki iliopita, Kwa wiki naoga mara 3
Wewe Ni ke?Umenichekesha sana.
Ila uko sahihi. Wakati nasoma primary tulikuwa na ticha kumbe alikuwa na mental health issues. Akatuambia ukitaka uwe na ngozi nzuri sana, usipate chunusi oga 3x a day. Na tulikuwa na lunch break ya kama 1.5 hrs. Nilianza kuoga lunch time, mpaka leo nikipata chance naoga mchana. Yaani kuoga inanipa raha fulani hivi hata haielezeki aisee.
Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
Ongeza na keshokutwa.. Halafu na mtondogoo
Ahsante kwa muongozoWale wa kujibu "ITATEGEMEA" nishawawakilisha toa like tu nijue unaunga hoja..
tupowengi tu humu!! hasa tunaoendesha magari makubwa ya mizigo kwenda DRC , Zambia, angola, Nigeria, Ethiopia tunachofanya ni kunawisha vikwapa vyetu tu!!kuna walioofikisha mwezi bila kuoga?..nauliza tu!
KUNA MAGARI YANATOKA HAPA NA KWENDA NIGERIA???tupowengi tu humu!! hasa tunaoendesha magari makubwa ya mizigo kwenda DRC , Zambia, angola, Nigeria, Ethiopia tunachofanya ni kunawisha vikwapa vyetu tu!!
yakifika congo yanapewa tena Route!! Mpaka Liberia acha nigeria tu hapa! kuna matajiri wana maagent huko wanatafuta kaziKUNA MAGARI YANATOKA HAPA NA KWENDA NIGERIA???
amsha amsha nyingi ziko kwapani wewe vepe!! wanaacha maksudi hao najua unasema warangiHarafu kuna kabila moja itakua sio poa nikalitaja, makabila mengine sijui. Aighhh Wananuka vikwapa mzee, inaoga alakini bado inanuka vikwapa mzeee. I don know ni maradhi ama!
amsha amsha nyingi ziko kwapani wewe vepe!! wanaacha maksudi hao najua unasema warangi