Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,450
- 12,317
- Thread starter
- #21
unakuta mwanaume anaoga mara tatu kwa siku huyo atiliwe mashaka...Wale wa kujibu "ITATEGEMEA" nishawawakilisha toa like tu nijue unaunga hoja..🤣
unakuta mwanaume anaoga mara tatu kwa siku huyo atiliwe mashaka...Wale wa kujibu "ITATEGEMEA" nishawawakilisha toa like tu nijue unaunga hoja..🤣
Uzuri sijasema siogi ila itategemea wale wa kutokuoga kabisa watapata muwakilishi nao..😂wee chizi kweli.. Haya like sasa
Ukilike tu jua upo ndani.. dada nawe kiboko..
Dada ole wako nakuambia ole wako tulia tu labda humohumo utapata na mume wa kufanananae..🤣Kaka Kenzy wacha nika unlike
Inategemea na kazi na maeneo uliopo kama Mbeya,Njombe,Kilimanjaro,Arusha ,nk,kuanzia mwezi huu hilo baridi unweza kupiga wiki ni mwendo wa passportsize!Kuoga ni tabia au mazoea hujengwa tangu utoto,waliokua wavivu wa kuoga utotoni hata wakiwa wakubwa hali huwa hivyo hivyo na kinyume chake husadifu ukubwani.
Je wewe unaoga mara ngapi kwa siku? au waoga kila ukichafuka?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣kwa kweliDada ole wako nakuambia ole wako tulia tu labda humohumo utapata na mume wa kufanananae..🤣
Na hao wafanyakazi wawe wameajiriwa, ila kwa watu kama vibega kuoga asubuhi ni ndotoMmh unazungumzia wasio na kazi labda. Lakini kama ni kwa wafanyakazi basi ni mara mbili kwa siku na hiyo ndio standard
Kula lazima, kuoga hiyariNgoja kwanza,..hivi leo nimeoga kweli...!?😩
Yeebabaa,. hahaKula lazima, kuoga hiyari
Ndio, wale wanaitwa maitikuna walioofikisha mwezi bila kuoga?..nauliza tu!
Uoge😂Yeebabaa,. haha
Kuoga ni tabia au mazoea hujengwa tangu utoto, waliokua wavivu wa kuoga utotoni hata wakiwa wakubwa hali huwa hivyo hivyo na kinyume chake husadifu ukubwani.
Je, wewe unaoga mara ngapi kwa siku? Au waoga kila ukichafuka?
Nilipokuwa mdogo nilikuwa mtata sana kuoga aisee, hii biashara ya kuoga oga ilikuwa ngumu sana kwangu, na popote nilipopata nafasi nilipiga ndefu na maza akijipindua naingia bafuni nafungulia maji weeeeeeeee nikiwa pembeni kisha najipaka maji natoka au pakitokea ugomvi au kasheshe yoyote na maza siogi! akinichapa namweleza wazi siogiii unajifanya kunichapa?
Ila mbona tangu nimekuwa mkubwa aisee naoga vibaya sana, sina tatizo kabisa na kuoga hata mara 3 kwa siku sioni shida
Nakupinga mkuu kuwa ukiwa mvivu wa kuoga utotoni itaendelea hadi ukubwani