Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,682
- 45,597
😛thiogiii ng'oo 🤒🤒Uoge😂
😛thiogiii ng'oo 🤒🤒Uoge😂
Nikuje kukuogesha😛thiogiii ng'oo 🤒🤒
Naoga basi tu ila sipendi kuoga kabisa.
Nkipata mara 1 tu inanitosha.
Ila Naoga kweli. Nikiingia bafuni utanisahau





Mmh..!A real man should bath three times a day
Asubuhi macho
Mchana mikono
Usiku miguu
Are we together?
![]()




Miezi minne hua nafungakuna walioofikisha mwezi bila kuoga?..nauliza tu!
unafunga kuoga mkuu?Miezi minne hua nafunga
Baridi la chuga ni nomaKwa baridi hili la R, nimenawa uso tu leo Kama kumbukumbu zangu ziko sawa
Yeees Sir!A real man should bath three times a day
Asubuhi macho
Mchana mikono
Usiku miguu
Are we together?
![]()
Hivi Makambako sasa hivi hali ikoje?Inategemea na kazi na maeneo uliopo kama Mbeya,Njombe,Kilimanjaro,Arusha ,nk,kuanzia mwezi huu hilo baridi unweza kupiga wiki ni mwendo wa passportsize!