Unakijua Chama Cha KADIMA?

Unakijua Chama Cha KADIMA?

Eti na wewe ni great thinker dah! ume think nini katika uzi huo sasa.

Hapo hakuna kuthink ni kutoa taarifa kama ilivyo.

Kama ukiona mti umeanguka kuna kuthink nini? Si kutoa taarifa tu kuwa mti umeanguka.

Usilaghaike na siasa za Slaa...
 
1.CCM ndio walaghai

2.CDM ilikua bado haijasajiliwa..Kama ni hivyo tuzungumzie 'KILIMO KWANZA'

Sio cha msimu ..tulitegemea cha umwagiliaji..

Lakini kiongozi wako Slaa amesema sera za CCM ni nzuri. Sasa wewe ukimpinga utaishia kuitwa Masalia, shauri yako...
 
Mwita,

Kadi yako ya KADIMA ni namba ngapi?

Slaa amekuta Marekani sera za CCM zinasifiwa na yeye amebadilisha msimamo. Sasa hivi anazisifia sera za CCM alizozunguka maeneo mbalimbali nchini kuziponda majukwaani.

Hizi ni siasa za kilaghai.

Ni kweli ccm ina sera nzuri sana na mojawapo ni sera ya kuigeuza Kigoma kuwa Dubai!

Sasa maajabu ya dunia ni kwamba hadi sasa Kigoma haina uwanja wa ndege unaotumika kipindi chote cha mwaka. Kigoma haina usafiri wa treni/reli wa kuaminika. Kigoma haina mtandao wa barabara za lami za kuiunganisha na mikoa ya jirani na nchi za jirani. Kigoma haina meli za kisasa za kuiunganisha na mikoa ya jirani na nchi za jirani.

Kigoma ina meli za M.V. Liemba na M.V. Mwongozo zilizotengenezwa miaka ya mwishoni mwa 1800s ambazo ni makaburi yanayotembea majini, ndio zinabeba watu kwenda Rukwa/ Katavi, DRC, Burundi na Zambia!
 
Ni kweli ccm ina sera nzuri sana na mojawapo ni sera ya kuigeuza Kigoma kuwa Dubai!

Sasa maajabu ya dunia ni kwamba hadi sasa Kigoma haina uwanja wa ndege unaotumika kipindi chote cha mwaka. Kigoma haina usafiri wa treni/reli wa kuaminika. Kigoma haina mtandao wa barabara za lami za kuiunganisha na mikoa ya jirani na nchi za jirani. Kigoma haina meli za kisasa za kuiunganisha na mikoa ya jirani na nchi za jirani.

Kigoma ina meli za M.V. Liemba na M.V. Mwongozo zilizotengenezwa miaka ya mwishoni mwa 1800s ambazo ni makaburi yanayotembea majini, ndio zinabeba watu kwenda Rukwa/ Katavi, DRC, Burundi na Zambia!

Kwahiyo sera ya kuibadilisha Kigoma kuwa Dubai ndiyo aliyosema Slaa kuwa Chadema inataka kuitekeleza?
 
mi na cdm yangu tu we marcopolo sema usemayo,aje ritz, na yule dada enu! tunaipebda cdm na tutazidi kuipigania
 
Hapo hakuna kuthink ni kutoa taarifa kama ilivyo.

Kama ukiona mti umeanguka kuna kuthink nini? Si kutoa taarifa tu kuwa mti umeanguka.

Usilaghaike na siasa za Slaa...

Mshukuru sana Mungu kwa kumleta Dkt. Slaa hadi umepata ajira hapo mtaa wa lumumba. Vinginevyo sasahivi ungekuwa aidha unabwia sembe au unapiga watu roba za mbao hapo mwananyamala!

Mti ulioanguka unaotolewa taarifa ni aidha umeangukia mtu au nyumba. Na katika hili Dkt. Slaa amewafunika ccm na misukule yake yote ndio maana buku saba fc mnapiga kelele kwa nguvu sana hapa ili mpate msaada wa kuwanasua. Bahati mbaya hakuna wa kuwanasua mtaendelea kuangukiwa hadi mfe kabisa mpotee katika uso wa dunia!
 
Ni kweli ccm ina sera
nzuri sana na mojawapo ni sera ya kuigeuza Kigoma kuwa Dubai!

Sasa maajabu ya dunia ni kwamba hadi sasa Kigoma haina uwanja wa ndege
unaotumika kipindi chote cha mwaka. Kigoma haina usafiri wa treni/reli
wa kuaminika. Kigoma haina mtandao wa barabara za lami za kuiunganisha
na mikoa ya jirani na nchi za jirani. Kigoma haina meli za kisasa za
kuiunganisha na mikoa ya jirani na nchi za jirani.

Kigoma ina meli za M.V. Liemba na M.V. Mwongozo zilizotengenezwa miaka
ya mwishoni mwa 1800s ambazo ni makaburi yanayotembea majini, ndio
zinabeba watu kwenda Rukwa/ Katavi, DRC, Burundi na Zambia!

ndo uisifie ccm kuwa inajua kutunza. si kama chadema. kama viongozi wao wanashindwa kuwatunza wake zao na kuishi nao kwa miaka mingi, wataweza kutunza mali za taifa?
 
Mshukuru sana Mungu kwa kumleta Dkt. Slaa hadi umepata ajira hapo mtaa wa lumumba. Vinginevyo sasahivi ungekuwa aidha unabwia sembe au unapiga watu roba za mbao hapo mwananyamala!

Mti ulioanguka unaotolewa taarifa ni aidha umeangukia mtu au nyumba. Na katika hili Dkt. Slaa amewafunika ccm na misukule yake yote ndio maana buku saba fc mnapiga kelele kwa nguvu sana hapa ili mpate msaada wa kuwanasua. Bahati mbaya hakuna wa kuwanasua mtaendelea kuangukiwa hadi mfe kabisa mpotee katika uso wa dunia!

Naona mwana kadima unajikakamuwa, umetaharuki unatetea "study tour" ya babu na mchumba.

Kwi kwi kwi kwi teh teh teh teh
 
Mshukuru sana Mungu kwa kumleta Dkt. Slaa hadi umepata ajira hapo mtaa wa lumumba. Vinginevyo sasahivi ungekuwa aidha unabwia sembe au unapiga watu roba za mbao hapo mwananyamala!

Mti ulioanguka unaotolewa taarifa ni aidha umeangukia mtu au nyumba. Na katika hili Dkt. Slaa amewafunika ccm na misukule yake yote ndio maana buku saba fc mnapiga kelele kwa nguvu sana hapa ili mpate msaada wa kuwanasua. Bahati mbaya hakuna wa kuwanasua mtaendelea kuangukiwa hadi mfe kabisa mpotee katika uso wa dunia!

Mwita,

Unajua kwanini Aweda siku hizi anaona aibu kushiriki mijadala ya KADIMA?
 
Kwahiyo sera ya kuibadilisha Kigoma kuwa Dubai ndiyo aliyosema Slaa kuwa Chadema inataka kuitekeleza?

Mimi kazi yangu ni kukukumbusha sera nzuri za ccm suala la utekelezaji ni lenu huko lumumba.

Sera nyingine ni kuifanya Dodoma kuwa kitovu cha uvuvi nchini na serikali ya ccm itanunua meli kubwa na kuipeleka bwawa la mtera kwa ajili hiyo.

Sera nyingine nzuri ni Tanzania kuuza umeme nchi za nje wakati hadi sasa ni asilimia 14 tu ya watanzania walioweza kufikiwa na Tanesco na kusambaziwa umeme.

Hizi sera za ccm ni kiboko, mwendawazimu tu ndiye anayeweza kutozikubali.
 
Hii Mada Mufilisi, Avalishwe Pampas Akalale, Haiwezekani Useme Mtangazaji Ali Jiandaa Vizuri! Akataja Jina La Mwangosi, Sasa Inakuwaje Ashindwe Kutaja Chademe? Wee Jamaa Uwezo Wakutransulate Darasa La Pili, Ndio Tatizo Lako! Himwiko Kumfananisha Slaa Na Yule Anae Dai Zanzibar Ili Ungana Na Zimbabwe! Kalale
 
Mimi kazi yangu ni kukukumbusha sera nzuri za ccm suala la utekelezaji ni lenu huko lumumba.

Sera nyingine ni kuifanya Dodoma kuwa kitovu cha uvuvi nchini na serikali ya ccm itanunua meli kubwa na kuipeleka bwawa la mtera kwa ajili hiyo.

Sera nyingine nzuri ni Tanzania kuuza umeme nchi za nje wakati hadi sasa ni asilimia 14 tu ya watanzania walioweza kufikiwa na Tanesco na kusambaziwa umeme.

Hizi sera za ccm ni kiboko, mwendawazimu tu ndiye anayeweza kutozikubali.

Mwita acha kunichekesha aisee. Mambo ya Mtera muachie Le Mutuz Mbunge wa Mtera.

Hapa tujadili majadiliano ya Katibu Mkuu wa KADIMA...

Anasema KADIMA ina wanachama wengi vijijini kuliko mijini, unakubaliana naye?
 
Huyu jamaa naona anasimulia ambalo wamarekani wanataka na ambalo wanachukia!!? Kazi ipo!!
 
Mwita,

Unajua kwanini Aweda siku hizi anaona aibu kushiriki mijadala ya KADIMA?

Yuko chimbo anajifunza namna ya kutekeleza BRN ili kumaliza tatizo la walimu nchini bila kuboresha maslahi yao!

Baada ya hapo atakwenda kuandaa paper kwa ajili ya utekelezaji wa sera ya ujenzi wa fly overs za Dar es slaam!
 
"Sera za CCM ni nzuri sana, sisi Chadema tunachotaka kukifanya ni kuzitekeleza ipasavyo" - Dr. Slaa.

Ni kweli kabisa. Kama kungekuwa na uwajibikaji katika kazi na kukamata mafisadi kama wewe, ningerudi ccm. Hiyo ndiyo ccm ninayoijua mimi. Sio hii yenu ya magamba mafisadi na dhaifu.
 
Back
Top Bottom