ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,279
- 7,681
Nimeona una tatizo la kuelewa accent kutokana kukosa exposure + Ignorance yako katika English.
ili lijamaa lipo kama le mutuz ni lenyewe nini?
Mkuu, usijisumbue kujibizana na huyu zu.....kuku" anakupotezea muda tu!KADIMA ni Chama cha siasa nchini Israel.
Mahojiano ya leo umesumbuliwa na accent kwa kuwa hujazoea kusikia pronounciation kutoka accent mbalimbali.Ushamba unakusumbua.Unahitaji Exposure.!
Jaribu hata kujichanganya kwenye warsha zinazohusisha foreigners basi.
zd marcopolo acha uwongo, usifikiri umesikiliza peke yako? Afu jifunze kupost mada kumbuka hii ni digital generation,
dr slaa amewashika hawa MAGAMBA,!! daah! Hawama raha
unaelewa maana ya absolute majority?
Umemsikiliza katibu mkuu wa Kadima?
dr slaa amewashika hawa MAGAMBA,!! daah! Hawama raha
cdm kwa sasa ina wanachama wengi vijijini! Fuatilia chaguz ndogo..ccm mmeshinda ngap?
hebu tamka neno chaos au character kwa kizungu!
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Mkuu ZeMarcopolo achana na Amitha Bachan kwani yeye haamini kama babu anakosea
Na single yake ya Mwangosi Wazungu wameshamshtukia Dr. Slaa mtangazaji akamkata juu kwa juu.
Au mtangazaji naye ni gamba nini?!
Msaidie dada huyo...! I.never knew that period draws brains as well.. Yaani eti ni mada ameileta kada wa ccm.. Huku kujivua nguo huku...!!
Kumbe na nyie mmekubali jina lenu 'GAMBA' !!!!....Ha ha ha..