Unakijua Chama Cha KADIMA?

Unakijua Chama Cha KADIMA?

Kadima na Likud ni vyama vya taifa la Israel, hivyo si ajabu mtangazaji ku kukosea na kufananinsha moja ya chama kikubwa kama Kadima

Kwi kwi kwi kwi teh teh teh. You've got a point, mtangazaji aliiona hii picha kabla ya mahojiano:


 
Hapo ndio unamdhalilisha zaidi Slaa. Inamaana mtangazaji alikuwa anasahau Slaa ametoka nchi gani?!!![/QUOT
It is a slip in the tongue..sometimes in the big media presenters find difficult for them to pronounce correctly the foreign terms mfano consonant zikiongozana kama Gbagbo ,Kikwete nk Pls muombe foreigner atamke jina la Le Presidaa Jk uone moto
 
Kwi kwi kwi kwi teh teh teh. You've got a point, mtangazaji aliiona hii picha kabla ya mahojiano:



FaizaFoxy,

Unanivunja mbavu.

Kwenye hii Picha Josephine alikuwa kachujuka mno! Kweli Marekani Marekani tu, siku mbili tu Josephine kaanza kutakata!
 
Wote wamekosea lakini mtangazaji amekuwa na ujasiri wa kumrekebisha Slaa wakati Slaa amekuwa akitetemeka huku jina la chama chake likifinyangwa...

sasa kwa nn akasirike wakati wote wamekosea
 
It is a slip in the tongue..sometimes in the big media presenters find difficult for them to pronounce correctly the foreign terms mfano consonant zikiongozana kama Gbagbo ,Kikwete nk Pls muombe foreigner atamke jina la Le Presidaa Jk uone moto

Kwa siku ya leo tu Slaa amedanganya mara nne in public!
 
Mleta maada unapumulia Machine hasa baada ya kuona Ziara ya Dr.Slaa imekuwa Gumzo kwa Magambazi. Nadhani mnatamani kumwambia JK awasiliani na Obama amuulize Obama kuwa pamoja na kukusainisha Mikataba 5 ya siri lakini bado mmemruhusu Dr.Slaa kufanya Ziara Marekani???????? Magamba hoyiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii???????
 
Mleta maada unapumulia Machine hasa baada ya kuona Ziara ya Dr.Slaa imekuwa Gumzo kwa Magambazi. Nadhani mnatamani kumwambia JK awasiliane na Obama amuulize Obama kuwa pamoja na kukusainisha Mikataba 5 ya siri lakini bado mmemruhusu Dr.Slaa kufanya Ziara Marekani???????? Na Mtaujenga hoja ina maana chama cha Obama ni rafiki na CDM maana nyie mnaakili fupi sana hamchelewi kujenga hoja mfilisi kama hizo. Magamba hoyiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii???????
 
Obama anai-support CDM, makopo kwanini tusiisusie Marekani na Obama tujiunge na Mchina jamani
 
Hapo ndio unamdhalilisha zaidi Slaa. Inamaana mtangazaji alikuwa anasahau Slaa ametoka nchi gani?!!![/QUOT
It is a slip in the tongue..sometimes in the big media presenters find difficult for them to pronounce correctly the foreign terms mfano consonant zikiongozana kama Gbagbo ,Kikwete nk Pls muombe foreigner atamke jina la Le Presidaa Jk uone moto

Hebu jisikilizie mwenyewe hapa, yanini kuandikia mate na wino upo?

[video=youtube_share;-3Z0ErRoiCs]http://youtu.be/-3Z0ErRoiCs[/video]
 
Leo Slaa alikuwa anahojiwa na redio na WPFW Radio ya Washingyon DC Marekani.

Katika mahojiano hayo Dr. Slaa ametia aibu mno, lakini kilichosikitisha zaidi ni kwamba mtangazaji wa kipindi hicho Mwiza Munthali alishindwa kabisa kutamka neno CHADEMA na kila mara alikiita chama cha Slaa KADIMA.

Kwa lugha nyepesi ni kwamba interview ya Slaa imeshindwa hata kuuza jina la chama!

Kuna mambo kadhaa ambayo Slaa ameaibisha kama ifuatavyo:

1. Mara kadhaa Slaa alishindwa kutamka jina la kipindi anachohojiwa. Jambo hilo lilimfanya mtangazaji kumkumbusha several times kuwa kipindi kinaitwa africaNow baada ya Slaa kukiita AfricaOne. Tone ya mtangazaji ilionyesha wazi kuwa amechukizwa na lack of memory ya Slaa. Kwa wamarekani, kukosea jina la mtu ni offence ndio maana huyu mtangazaji alijisikia offended slaa kukoseakosea jina la kipindi chake.

2. Slaa alishindwa kujibu Chadema itafanya nini tofauti na CCM. Slaa aliishia kusema kuwa CCM ina sera nzuri sana na kwamba wao watakachofanya ni kuhakikisha sera za CCM zinatekelezwa kwa ufasaha zaidi. Wasikilizaji wa Marekani wakisikia hadithi kama hizo wanaona mtu anayesema hivyo is just a job seeker. Wamerakani wanataka kusikia tofauti ya sera, sio siasa za kusema mimi ndio ninajua zaidi kutekeleza sera za mwenzangu!!! Hapa Slaa kaabisha big time.

3. Mtangazaji alidhihirisha kuwa hamuamini Slaa kwa porojo zake mpaka akamwambia hapo inabidi tupate upande wa serikali nao tuusikie unasemaje. Slaa alizidisha chumvi.

4. Mtangazaji amefanya home work yake. Anajua composition ya parliament. Slaa alimdanganya mtangazaji kuwa Chadema (Kadima) ndio chama chenye absolute majority nchini Tanzania. Mtangazaji akamwambia lakini Bungeni mko wachache na chama chenu hakijapenetrate vijijini. Slaa akadanganya tena kuwa eti Chadema (Kadima) ina wafuasi wengi vijijini kuliko mijini. This is not true.
Kadima haina absolute majority kwenye Bunge wala mitaani. Slaa alidhani mtangazaji wa Marekani hajui mambo ya Tanzania, kumbe mtangazaji kajiandaa.

5. Slaa alianza kuongea hadithi za Mwangosi. Mtangazaji akamdhihirishia kuwa anaijua hadithi ya Mwangosi kwa undani na akamtajia jina la Mwangosi kabla hata slaa hajalitaja. Mtangazaji alishajua kuwa Mwangosi ndio single anayotumia Slaa ughaibuni kutafuta sympathy. Hata hivyo mtangazaji alibadilisha topic na kumuuliza Slaa mambo mengine kabla hajamaliza kusimulia hadithi yake pendwa ya Mwangosi.

Kiujumla Slaa katika majadiliano ya leo ametia aibu na ameshindwa kuinadi KADIMA kabisa!!!

My take:
Tunapowaambia kuwa Chadema (KADIMA) ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya Kilaghai ndio muelewe nini tunamaanisha. Slaa kashaanza kuwageuka, sasa hivi anasema CCM ina sera nzuri.

Nyinyi kama mlikuwa mnaitukana CCM mwishowe mtajikuta kawaacha njia panda.

Ameenda Marekani amekuta sera za CCM zinasifiwa na yeye ameanza kusema ni sera nzuri!!!

Akili Kichwani, safari barabarani. Wajinga ndio waliwao...

hahaha wazeee wa Buku 7 bana
 
Hatufaii huyu Mzee anatakiwa aiongoze familia yake tu.
Nalog off
 
Kwamba CHADEMA haina majority kwa kambi ya Upinzani Bungeni?Hivi kumbe kiingereza ni tatizo kubwa hivi?

Ben ndugu, kiinglishi ni janga la kitaifa hasa pale Lumumba.
Ukimtoa Mzee mchonga na nchinga Ben, hatujawahi kupata rais anayejua kiufasaha hii ligha ya Malikia. Nadhani rais mwingine atakayefuata baada ya huyu tuliyenaye atakakayekuwa anajua sawa sawa hii lugha ni Dr. W.P.S
 
ZeMarcopolo you are becoming an object of ridicule now.
- Mwiza Munthali is a Malawian
-Dr. Slaa said the 3 opposition parties together make a majority
-Dr. Slaa never said CCM has good policies
-The presenter is snobbish! He can say Chama but he can't say CHADEMA
 
Leo Slaa alikuwa anahojiwa na redio na WPFW Radio ya Washingyon DC Marekani.

Katika mahojiano hayo Dr. Slaa ametia aibu mno, lakini kilichosikitisha zaidi ni kwamba mtangazaji wa kipindi hicho Mwiza Munthali alishindwa kabisa kutamka neno CHADEMA na kila mara alikiita chama cha Slaa KADIMA.

...
Bwana mkubwa, ulisomea kiingereza kwenye shule za kata? Kuna kitu kinaitwa 'sounds of English'.CHADEMA inatamkika kwa kiingereza ʃːʌdimʌ.
 
]
-Dr. Slaa said the 3 opposition parties together make a majority

Je, unakubaliana na kauli hiyo kwamba vyama vya upinzani together make a majority? Kwenye nini? Bungeni hawana majority, kwenye mabaraza ya madiwani hawana majority. Hiyo majority anayosema Slaa iko wapi?

Huu ni uongo.

Kwa siku ya jana tu Slaa amedanganya hadharani mara nne.
 
Back
Top Bottom