Unajiuliza, huko CCM na Dola yake, Kuna wenye akili kweli? Hivi Uwezo wa Akili wa LUHAGA MPINA ni wa Kumkata ?. Au Gambo ni wa kushindwa na Makonda ?

Unajiuliza, huko CCM na Dola yake, Kuna wenye akili kweli? Hivi Uwezo wa Akili wa LUHAGA MPINA ni wa Kumkata ?. Au Gambo ni wa kushindwa na Makonda ?

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
28,749
Reaction score
91,814
Ukweli ni kwamba, Makonda Hana namna yoyote ya kumshinda Gambo, Makonda ni MTU katili sana, MTU ambaye akipata Mamlaka kubwa ya juu ,atawaumiza watu wengi.

Kama sio Jela kama ilivyokua Kwa Sabaya, Makonda alipaswa ajitokeze mbele ya Taifa na Kuliomba msamaha Taifa Kwa aloyafanya

Watu wanaweza kujiuliza, Makonda huyuhuyu anayewasaidia watu kwenye mikutano ya Siasa?. Ukweli ni kua, Makonda ni Hatari kuliko Uhatari wenyewe, Jamaa Kwa muda nlomfaham kiutendaji, Huwa anapenda kufanya kazi mbele ya Vyombo vya habari tu ila personally jamaa haufai kabisa.

Kuna Mahali alienda kufanya Ziara, Wananchi wakamlilia awasikilize, kwakua hakwenda na vyombo vya habari akawaambia Wananchi, Nmekuja kuangalia miradi tu sio kuwasikiliza.

Makonda huyuhuyu, kile kipindi Cha Sakata la NEEMA Hospital ya Mount Meru, Ndie aliyepiga simu Kwa Dada wa NEEMA na kumwambia "Usiipeleke kwenye Vyombo vya habari habari hiyo"..... Hapa Makonda alikua anataka yeye ndio ajitokeze kwenye Vyombo habari, aonekane anafatilia Hilo suala.


Ukiachana na Hilo, Mtazameni MPINA, MPINA anakatwa jina Kwa sababu ya Uwezo wake mkubwa wa Akili, Kufatilia Masuala Kwa undani, Kupambana na Mafisadi, Kua Muwazi na Mkweli, kukataa kua Mnafiki n.k!!.

Wewe ni DOLA , unaachaje kutozitumia Akili za watu wa aina ya MPINA, LISSU ,Gambo ,Gwajima??.


Mambo kama haya ni lazima TUPAMBANIA MABADILIKO MFUMO WA UCHAGUZI, ILI MPINA , GWAJIMA, WAKIWA CHADEMA, WAWE BADO NA NAFASI YA KUSHINDA.


Kwa haraka haraka, MPINA ,GWAJIMA, GAMBO, Hawa watu hata wakiwa CHADEMA, Licha ya kukubalika kwao, Kwakua WANACHUKIWA NA WATU WAJINGA, Bila uchaguzi huru na wa haki, lazima Polisi wabebe kura Feki na Kwa maelekezo ya RCs wahalikishe hawawezi kushinda.
 
Hakika CCM imebeba matumaini ya watanzania wakiwemo CHADEMA... Ninafurahi kuona wanaCHADEMA wanajitokeza kufungua nyuzi za kukishauri chama pendwa CCM wakati huu wa kuwapata wagombea. Iko wazi kuwa wapinzani wanahitaji viongozi imara ndani ya CCM.

Hadi baada ya uchaguzi mkuu kutakuwa na nyuzi nyingi sana kuhusu CCM kutoka kwa wanaCHADEMA.
 
Hakika CCM imebeba matumaini ya watanzania wakiwemo CHADEMA... Ninafurahi kuona wanaCHADEMA wanajitokeza kufungua nyuzi za kukishauri chama pendwa CCM wakati huu wa kuwapata wagombea. Iko wazi kuwa wapinzani wanahitaji viongozi imara ndani ya CCM.

Hadi baada ya uchaguzi mkuu kutakuwa na nyuzi nyingi sana kuhusu CCM kutoka kwa wanaCHADEMA.
Mama samia naona unaongea kwa hisia sana.
 
Ukweli ni kwamba, Makonda Hana namna yoyote ya kumshinda Gambo, Makonda ni MTU katili sana, MTU ambaye akipata Mamlaka kubwa ya juu ,atawaumiza watu wengi.

Kama sio Jela kama ilivyokua Kwa Sabaya, Makonda alipaswa ajitokeze mbele ya Taifa na Kuliomba mashaka Taifa Kwa aloyafanya

Watu wanaweza kujiuliza, Makonda huyuhuyu anayewasaidia watu kwenye mikutano ya Siasa?. Ukweli ni kua, Makonda ni Hatari kuliko Uhatari wenyewe, Jamaa Kwa muda nlomfaham kiutendaji, Huwa anapenda kufanya kazi mbele ya Vyombo vya habari tu ila personally jamaa haufai kabisa.

Kuna Mahali alienda kufanya Ziara, Wananchi wakamlilia awasikilize, kwakua hakwenda na vyombo vya habari akawaambia Wananchi, Nmekuja kuangalia miradi tu sio kuwasikiliza.

Makonda huyuhuyu, kile kipindi Cha Sakata la NEEMA Hospital ya Mount Meru, Ndie aliyepiga simu Kwa Dada wa NEEMA na kumwambia "Usiipeleke kwenye Vyombo vya habari habari hiyo"..... Hapa Makonda alikua anataka yeye ndio ajitokeze kwenye Vyombo habari, aonekane anafatilia Hilo suala.


Ukiachana na Hilo, Mtazameni MPINA, MPINA anakatwa jina Kwa sababu ya Uwezo wake mkubwa wa Akili, Kufatilia Masuala Kwa undani, Kupambana na Mafisadi, Kua Muwazi na Mkweli, kukataa kua Mnafiki n.k!!.

Wewe ni DOLA , unaachaje kutozitumia Akili za watu wa aina ya MPINA, LISSU ,Gambo ,Gwajima??.


Mambo kama haya ni lazima TUPAMBANIA MABADILIKO MFUMO WA UCHAGUZI, ILI MPINA , GWAJIMA, WAKIWA CHADEMA, WAWE BADO NA NAFASI YA KUSHINDA.


Kwa haraka haraka, MPINA ,GWAJIMA, GAMBO, Hawa watu hata wakiwa CHADEMA, Licha ya kukubalika kwao, Kwakua WANACHUKIWA NA WATU WAJINGA, Bila uchaguzi huru na wa haki, lazima Polisi wabebe kura Feki na Kwa maelekezo ya RCs wahalikishe hawawezi kushinda.
Mpina was resourceful, ni chuki za mwenyekiti wao against him. Namshauri aende Chaumma/act atapita ubunge........
Gambo nalo ni takataka, katili. Historia yake inaoesha ukatili, uuaji and the like. LAKINI kati ya Makonda na Gambo, Gambo ana kanafuu kichwani!
 
Mpina was resourceful, ni chuki za mwenyekiti wao against him. Namshauri aende Chaumma/act atapita ubunge........
Gambo nalo ni takataka, katili. Historia yake inaoesha ukatili, uuaji and the like. LAKINI kati ya Makonda na Gambo, Gambo ana kanafuu kichwani!
Mkuu ni sahihi, Gambo na Makonda wanamatatizo, , ila kiukweli Gambo ana unafuu mnoo.

Kama CHADEMA hatutasimama ipasavyo, Makonda akiwa Waziri wa mambo ya Ndani, Tumekwishaaa tumekwishaaaaaaa
 
Boss wao ana visasi, wale wote waliwahi kumkosoa au kumkebehi na pia kumwambia ukweli alishaweka majina yao kwenye note book. Hao watauona ufalme kule Dodoma.
 
Ukweli ni kwamba, Makonda Hana namna yoyote ya kumshinda Gambo, Makonda ni MTU katili sana, MTU ambaye akipata Mamlaka kubwa ya juu ,atawaumiza watu wengi.

Kama sio Jela kama ilivyokua Kwa Sabaya, Makonda alipaswa ajitokeze mbele ya Taifa na Kuliomba msamaha Taifa Kwa aloyafanya

Watu wanaweza kujiuliza, Makonda huyuhuyu anayewasaidia watu kwenye mikutano ya Siasa?. Ukweli ni kua, Makonda ni Hatari kuliko Uhatari wenyewe, Jamaa Kwa muda nlomfaham kiutendaji, Huwa anapenda kufanya kazi mbele ya Vyombo vya habari tu ila personally jamaa haufai kabisa.

Kuna Mahali alienda kufanya Ziara, Wananchi wakamlilia awasikilize, kwakua hakwenda na vyombo vya habari akawaambia Wananchi, Nmekuja kuangalia miradi tu sio kuwasikiliza.

Makonda huyuhuyu, kile kipindi Cha Sakata la NEEMA Hospital ya Mount Meru, Ndie aliyepiga simu Kwa Dada wa NEEMA na kumwambia "Usiipeleke kwenye Vyombo vya habari habari hiyo"..... Hapa Makonda alikua anataka yeye ndio ajitokeze kwenye Vyombo habari, aonekane anafatilia Hilo suala.


Ukiachana na Hilo, Mtazameni MPINA, MPINA anakatwa jina Kwa sababu ya Uwezo wake mkubwa wa Akili, Kufatilia Masuala Kwa undani, Kupambana na Mafisadi, Kua Muwazi na Mkweli, kukataa kua Mnafiki n.k!!.

Wewe ni DOLA , unaachaje kutozitumia Akili za watu wa aina ya MPINA, LISSU ,Gambo ,Gwajima??.


Mambo kama haya ni lazima TUPAMBANIA MABADILIKO MFUMO WA UCHAGUZI, ILI MPINA , GWAJIMA, WAKIWA CHADEMA, WAWE BADO NA NAFASI YA KUSHINDA.


Kwa haraka haraka, MPINA ,GWAJIMA, GAMBO, Hawa watu hata wakiwa CHADEMA, Licha ya kukubalika kwao, Kwakua WANACHUKIWA NA WATU WAJINGA, Bila uchaguzi huru na wa haki, lazima Polisi wabebe kura Feki na Kwa maelekezo ya RCs wahalikishe hawawezi kushinda.

Ikiwa wana akili sasa wanafanya nini humo UJINGANI. humo ambamo akili zimo matumboni.
Waje kwa wenzao wenye akili wa No Reforms, no election
 
Mkuu ni sahihi, Gambo na Makonda wanamatatizo, , ila kiukweli Gambo ana unafuu mnoo.

Kama CHADEMA hatutasimama ipasavyo, Makonda akiwa Waziri wa mambo ya Ndani, Tumekwishaaa tumekwishaaaaaaa
Uko sahihi by 100%. na hatuna namna ya kuzuia Makonda kupewa any cheo na samia. Na ndiyo maana kaacha U RC akijua fika kuwa atapita kote!
 
Back
Top Bottom