mamamzungu
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 2,606
- 4,393
Hello
Hope mko salama..
Hii kitu inanikata sana unakutana na kijana mzuri tu ila unamuuliza anasali wapi anakwambia nasali kwa Mwamposa au nasali kwa Kuhani Musa..
Anyway sio mbaya kila mtu na imani yake ila kwa upande wangu sifurahishwi na wanaume wahumini wa makanisa hayo yanayo trend na Fikiri ni kwakuwa naonaga wanaume sio watu wa kwenda na upepo kama sisi wanawake.. sasa kwa namna hawa watu wanavyo trend na sifa Zao nikiona ama kusikia mwanaume anasali kwenye hayo makanisa huwa nampunguzia heshima niliyompa
Ningependa kujua kuna watu wapo kama mimi na pia wanawachukuliaje wanaume wanaosali kwenye aina ya makanisa kama hayo
Siwapondei ila nimesema namna navyojisikia
Hope mko salama..
Hii kitu inanikata sana unakutana na kijana mzuri tu ila unamuuliza anasali wapi anakwambia nasali kwa Mwamposa au nasali kwa Kuhani Musa..
Anyway sio mbaya kila mtu na imani yake ila kwa upande wangu sifurahishwi na wanaume wahumini wa makanisa hayo yanayo trend na Fikiri ni kwakuwa naonaga wanaume sio watu wa kwenda na upepo kama sisi wanawake.. sasa kwa namna hawa watu wanavyo trend na sifa Zao nikiona ama kusikia mwanaume anasali kwenye hayo makanisa huwa nampunguzia heshima niliyompa
Ningependa kujua kuna watu wapo kama mimi na pia wanawachukuliaje wanaume wanaosali kwenye aina ya makanisa kama hayo
Siwapondei ila nimesema namna navyojisikia