Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 10,525
- 31,491
Hili nalo ni tatizo! Sema wanaume wa makanisani hawa sio kabisa..Yaani mtu ni RC lakini yuko kwa manabii
Hili nalo ni tatizo! Sema wanaume wa makanisani hawa sio kabisa..Yaani mtu ni RC lakini yuko kwa manabii
Kiboko ya wachawi yupo huko tiktok anatukana waumini wake wa zamani😬Mwamposa at least kidogo nitaelewa ana depression kidogo
Ila kuhani Musa au kiboko ya wachawi
Nakimbia vibaya mno hawezi kuongoza familia hata mende Tu huko ndani hawezi kuwaingoza. Ni ziro brain pro max
Hahaha,Wanaume wa makanisani ni headache la mama, achana nao!
Si unaona hata kukuta mwanaume kadondoka na mapepo ni nadra sana hao watu wana nguvu zao binafsi ambazo sio rahisi kuvutika kiroho kama sisi wanawakeKwani wanaume wana nini cha maana kushinda wanawake. Au wee unawaona superior sana wanaume? Mbona ni wakawaida mnoo.
Lol 😂😂😂😂😂😂😂
Wale mguu mmoja ndani mwingine nje! Mwanaume akinyooka sana anakera aisee! Labda muwe sambamba mchanganyikiwe wote!Hahaha,
Kwamba mnataka wapagani, au?
Yeah ni kweli lakini angalau awe anasali hata jpili mojamojaHili nalo ni tatizo! Sema wanaume wa makanisani hawa sio kabisa..
MmhHakunaga Beautiful Man, ungeweka vizuri ukisema tu Beautiful Man tunajua ulipoelekezea ni wapi
Umejaribu kutafiti kwanini mtu ni RC au Kobaz halafu anaenda kwa nabii?Yaani mtu ni RC lakini yuko kwa manabii
Angalau, ila mara akakeshe kwenye maombi, sijui anaimba kwaya yani one mistake one goal🤦🏽♀️Yeah ni kweli lakini angalau awe anasali hata jpili mojamoja
😹😹😹 Halafu wanakuwaga wabishi na wajuaji hao..!!Kusema ukweli hata mimi namuona hivyo hivyo inanipa shida sana kumkataa lakini pia inanipa mashaka najiingiza kwenye usharika gani kama atakuwa ni baba wa familia inamaana watoto pia wataenda huko… sitamani kuwa na familia ambayo ina mambo ya kuamini mambo ya mitume na manabii wa mchongo 😃😃
Daah changamoto sema mawazo yananiambia anaweza nitoa kafara huyu wa Kuhani Musa 🤣Mwamposa at least kidogo nitaelewa ana depression kidogo
Ila kuhani Musa au kiboko ya wachawi
Nakimbia vibaya mno hawezi kuongoza familia hata mende Tu huko ndani hawezi kuwaingoza. Ni ziro brain pro max
Shots fired 😁😁No no no hell no hivi Mwigulu unaweza ukamuita Mzuri yaan Beautiful Man? Kwanini sababu anatumia Vipodozi vya Mkewe au?
Yaani hapo kwenye ubishi na ujuaji kuna huyo wa kwa mwamposa tuko talking stage but naona sitoweza kwanza anataka kunitreat kama vile mimi ni mpnz wake while bado hatujafika huko ukimuelekeza mbishi😹😹😹 Halafu wanakuwaga wabishi na wajuaji hao..!!
Mwanaume anayeamini miujiza hata kutafuta pesa atasikia uvivu anaamini miujiza. Wakati huo hao manabii wanamlia vipesa na kumjaza ujinga..!!
Hao wa kukaa nao mbali mahi..
Hii comment ibandikwe kila mkoa kwenye round about,alafu iwe inawekwa ya kwanza kwenye kila nyuzi ata nyuzi za siasa,Wale mguu mmoja ndani mwingine nje! Mwanaume akinyooka sana anakera aisee! Labda muwe sambamba mchanganyikiwe wote!
Umeremba mwandiko mkuu, sema maduka ya hao 'manabii' sijui 'makuhani' au chuma ulete kabisa.Hayo sio makanisa hayo ni makongamano tuu ya mahubiri
Kwamba mimi ndio niliyasajiri mpk niyape jina kwani si inajulikana kuwa ni kanisa huo msamiati wa nyumba ya ibada hata misikiti ni nyumba za ibadaMwenye tatizo ni wewe unashindwa kutofautisha kati ya nyumba ya ibada na kanisa
Hahahaa sio kwa minyama hii😄Hii comment ibandikwe kila mkoa kwenye round about,alafu iwe inawekwa ya kwanza kwenye kila nyuzi ata nyuzi za siasa,
Yaani wewe kama mimi napenda sana yule mwanaume unambembeleza aende kanisa 😂Wale mguu mmoja ndani mwingine nje! Mwanaume akinyooka sana anakera aisee! Labda muwe sambamba mchanganyikiwe wote!