VERBOSE
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 8,145
- 12,740
Pita pande njoo tulijenge taifa mimi nitakua napaka rangiWale mguu mmoja ndani mwingine nje! Mwanaume akinyooka sana anakera aisee! Labda muwe sambamba mchanganyikiwe wote!
Pita pande njoo tulijenge taifa mimi nitakua napaka rangiWale mguu mmoja ndani mwingine nje! Mwanaume akinyooka sana anakera aisee! Labda muwe sambamba mchanganyikiwe wote!
Za kuambiwa changanya na za kwako, Yani mtu anakwambia naenda kanisani kwa ....... Nawewe unaamini kwamba ni kanisa eti kwa sababu limesajiriwaKwamba mimi ndio niliyasajiri mpk niyape jina kwani si inajulikana kuwa ni kanisa huo msamiati wa nyumba ya ibada hata misikiti ni nyumba za ibada
Sijafahamu naomba unijulisheUmejaribu kutafiti kwanini mtu ni RC au Kobaz halafu anaenda kwa nabii?
Tofali ataleta nani?Pita pande njoo tulijenge taifa mimi nitakua napaka rangi
😂😂😂😂 kashesheAngalau, ila mara akakeshe kwenye maombi, sijui anaimba kwaya yani one mistake one goal🤦🏽♀️
Pita pande hii njoo tulijenge taifa mimi nitakua napaka rangiWale mguu mmoja ndani mwingine nje! Mwanaume akinyooka sana anakera aisee! Labda muwe sambamba mchanganyikiwe wote!
mamamzunguTofali ataleta nani?
Hii mada nyingine sasa mkuu😂Za kuambiwa changanya na za kwako, Yani mtu anakwambia naenda kanisani kwa ....... Nawewe unaamini kwamba ni kanisa eti kwa sababu limesajiriwa
Daah labda tumwage mafuta zijilete😀
Atakupotezea muda achana naye..!!Yaani hapo kwenye ubishi na ujuaji kuna huyo wa kwa mwamposa tuko talking stage but naona sitoweza kwanza anataka kunitreat kama vile mimi ni mpnz wake while bado hatujafika huko ukimuelekeza mbishi
Anaweza kusali RC asubuhi akatoka akaenda kwa mwamposa mpk jioni
Ila yuko vizuri kiuchumi yaani kazi anapiga ila sadaka anafaidi mwamposa 😂
Ina wanawake wa makanisa ya kirokole Wana masharti sana,ukiomba mbunye anaenda kusema kwa daddy wake🙌🏊,Hii mada nyingine sasa mkuu😂
😂😂😂 kwakweli ngoja nitafute pagani langu moja ambalo mara ya mwisho kwenda kanisani ni miaka 5 iliyopita😂Atakupotezea muda achana naye..!!
Huyo apate washinda church wenzie, wewe wa mataifa hapo utachemka..!! 😹😹
Na wewe wasali hukoAisle🤣🤣😂😂
Mi mwenyewe nilishawahi kwenda kumsema mtu🥲🫣Ina wanawake wa makanisa ya kirokole Wana masharti sana,ukiomba mbunye anaenda kusema kwa daddy wake🙌🏊,
Mmh labda wa zamani siku hizi wanatoa sanaIna wanawake wa makanisa ya kirokole Wana masharti sana,ukiomba mbunye anaenda kusema kwa daddy wake🙌🏊,
Akili zangu bado ninayo😂,siwezi kwenda kwenye hayo makanisa.Na wewe wasali huko
Daah huyu mwanaume sijui kadanganyika na niniAkili zangu bado ninayo😂,siwezi kwenda kwenye hayo makanisa.
Wacha tu hii itamalaki mambo yasiwe mengi..Sijafahamu naomba unijulishe
😂😂😂 kwakweli ngoja nitafute pagani langu moja ambalo mara ya mwisho kwenda kanisani ni miaka 5 iliyopita😂