Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 10,453
- 19,508
Si wanasemaga ukipenda boga penda na ua lake
Seran mbona unanisema kwa watu namna hii🤔Nilipataga dogo mmoja wa hivi! Usije ukajichanganya mamaake! Hutoipenda! Hawa ndio wale hata mtoto akilia hakusaidii kumbembeleza kisa kanuna, ukipika hali, akirudi analala sebleni au harudi kabisa, usimvumilie mpuuzi wa namna hii kama hamjaingia kwenye ndoa inakuwa 2x!
Ni sawa na wale wanaume wanaopiga wanawake, ataanza kukuwasha vibao au akukabe roba, kwenye ndoa atakukata panga au kukupiga chuma!
Umerudi binti yangu 😃Mpotezee mwenyewe atabadilika.
Hehhehehe. Mbona sikuondokaUmerudi binti yangu 😃
Some people change.Huwezi kumbadilisha mtu mzima hata siku moja unatafuta matatizo na kujaza page za washauri wa mitandaoni tu!
Labda kama wamefika huko mbali kwenye ndoa sijui watoto, apambane kwa maombi na kwa maongezi mpaka amtoemo, tofauti na hapo aachane naye! Sisi huwa hatuvulimiwi tukiwa walevi why umvumilie yeye?
Sio kazi ndogo kama unayofikiri, labda kama tabia sio sugu na anakupima uvumilivu!Some people change.
Nijirekebishe ili iweje na ndo tabia niliyozaliwa nayo.Si ili ujirekebishe dogo 😀
Hapo inabidi umpate mvumilivu kwakweli, kila mtu ana sector yake ya kuvumilia! Naweza kuvumilia kikojozi, mlevi.. ila sio mnunaji.. pole toto😛Nijirekebishe ili iweje na ndo tabia niliyozaliwa nayo.
Ulihitaji kunivumilia ila wewe ukaniacha😔
Ulikula eid kimya kimya hata mwaliko hakunaHehhehehe. Mbona sikuondoka
Sijaila bado nakusubiri tule wote😉Ulikula eid kimya kimya hata mwaliko hakuna
Wewe si ulinitorokaSijaila bado nakusubiri tule wote😉
Nikaribishe vizuri usinisingizie😊Wewe si ulinitoroka
Wewe uje tu, kwangu ni kwako😊Nikaribishe vizuri usinisingizie😊
Awwwwwwwhhhh🥰Wewe uje tu, kwangu ni kwako😊
Hakika ila wapo wanaobadilika. Bidada afunguke vizuri sababu halisi ya kununiwa. Kuna uwezekano jamaa kaamua kula buyu kwasababu kaona anapuuziwa. Or the guy is cheating and is looking for a reason to turn tables on her.Sio kazi ndogo kama unayofikiri, labda kama tabia sio sugu na anakupima uvumilivu!
Ni tabia ya kununa muda mrefu mnapokosanaJe unaweza kuiweka wazi tabia husika?
Sema sasa kununiwa inaumaMpotezee mwenyewe atabadilika.
Huyo kama sio last born, basi ni the only son😁😁Ni tabia ya kununa muda mrefu mnapokosana