Unaishije na mwenza mwenye tabia ngumu?

Unaishije na mwenza mwenye tabia ngumu?

Ili iweje?
Ili umbadilishe
Huwezi kuachana na mtu kisa mlevi tu halafu Kila mtu atazikwa kivyake
Ndoa nyingi zinavunkika sanabu ya matarajio makubwa before
Mama zetu ss wakubwa walivumilia sana ndo mana tukakua wakiwa pamoja
Wewe una achana na mtu Leo kisa hajakupeleka cocokula mihogo?
Kwann pasiwe na street children na masingle mothers ?????
 
Early 30s
Nilipataga dogo mmoja wa hivi! Usije ukajichanganya mamaake! Hutoipenda! Hawa ndio wale hata mtoto akilia hakusaidii kumbembeleza kisa kanuna, ukipika hali, akirudi analala sebleni au harudi kabisa, usimvumilie mpuuzi wa namna hii kama hamjaingia kwenye ndoa inakuwa 2x!

Ni sawa na wale wanaume wanaopiga wanawake, ataanza kukuwasha vibao au akukabe roba, kwenye ndoa atakukata panga au kukupiga chuma!
 
Nilipataga dogo mmoja wa hivi! Usije ukajichanganya mamaake! Hutoipenda! Hawa ndio wale hata mtoto akilia hakusaidii kumbembeleza kisa kanuna, ukipika hali, akirudi analala sebleni au harudi kabisa, usimvumilie mpuuzi wa namna hii kama hamjaingia kwenye ndoa inakuwa 2x!

Ni sawa na wale wanaume wanaopiga wanawake, ataanza kukuwasha vibao au akukabe roba, kwenye ndoa atakutaka panga au kukupiga chuma!
Mi changamoto sema kumuacha sitaki
 
Mi changamoto sema kumuacha sitaki
Vumilia
20260531_010500.jpg
 
Back
Top Bottom