Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,950
- 711
Nimekutana na hizi picha mtandaoni ambazo zimepigwa hapa nchini Tanzania. Hizi picha si za kuvijunia hata kidogo. Na hili suala si lazima mtu aende darasani kujua ni makosa kumruhusu mtoto kunywa kilevi cha aina yeyote kama hajafikia umri wa miaka 18.
Katika hizi picha Mama mzazi wa huyu mtoto anaonekana kama kufurahia ustadi wa mwanae kufakamia bia.
Wewe ndugu Mtanzania na mwanaJF una ushauri gani kwa serikali juu ya hizi picha. Ni hatua gania mbazo zinapaswa kuchukuliwa dhidi ya Mzazi wa huyu mtoto au mmiliki wa sehemu walipokuwa wanaburudika. Fungua hapo chini utaona hizo picha
Katika hizi picha Mama mzazi wa huyu mtoto anaonekana kama kufurahia ustadi wa mwanae kufakamia bia.
Wewe ndugu Mtanzania na mwanaJF una ushauri gani kwa serikali juu ya hizi picha. Ni hatua gania mbazo zinapaswa kuchukuliwa dhidi ya Mzazi wa huyu mtoto au mmiliki wa sehemu walipokuwa wanaburudika. Fungua hapo chini utaona hizo picha