BBC wanauchafua Uprotestanti ili kuufunika ushoga wa Kirumi?

Mchokoo

JF-Expert Member
Jul 28, 2015
1,179
1,579
Kwanza nikiri kuwa mimi siyo miongoni mwa walioikubali hudima ya TB Joshua, kwa sababu ya mapungufu mengi yaliyoambatana nayo!

Huenda hata hiki wanachokidai BBC kilikuwepo, au hata ni matatizo mengine tofauti.

Sasa tusiwe na akili finyu, eti kwa vile tulikuwa hatukubaliani na TB. Joshua, ndiyo sasa wajanja wa BBC watuingize chaka kimakusudi ili kuhamisha mjadala wa ushoga uliobarikiwa na papa wa Roma. Kusudi usiendelee kulitikisa kanisa lenye ushawishi mkubwa duniani.

Ni vema tujiulize swali, hivi hawa BBC wanaaminika kiasi gani mpaka leo bado tuwapatie masikio yetu? Je, siyo hawa walioiaminisha dunia kwamba Sadam Hussein ana silaha za maangamizi?

Swali je, alipovamiwa na Nato alikutwa hicho walichokidai? Tena syo hawa waliosema kwamba Gadaff wa Libya anawatesa raia wake? Swali je, kati ya nchi za magharibi na Gadaff nani aliwapa maisha magumu walibya?

Ndugu zangu msisahau dunia ya kidini imestushwa sana na uamuzi wa kiongozi wa kanisa la Roma kwamba mashoga wabarikiwe kanisani mwao. Na mtikisiko upo mpaka kwa waroma wenyewe!

Ndiposa, ukilitazama hili la TB Joshua kwa jicho la tatu, linaloibuliwa na BBC sasa; utaona lina ukakasi fulani.
Kwa nini sasa, kipindi ambacho ushoga umebarikiwa na papa, kisha ukapata upinzani mkali sana.

Je, huko siko kuwatuliza baadhi ya wakatoliki waaminifu, waliochukizwa na papa anayehamasisha makasisi kuwabariki mashoga, ili waone kwamba kumbe hata uprotestanti pia nao umechafuka tu?

Yaani wanauinua ushetani wa TB Joshua, ili kuufunika Uibirisi wa ushoga, unaolazimishwa na wa magharibi mpaka kwenye nyumba za ibada! zao

Hivi BBC mkitafuta ukamilifu kwa watumishi wa Mungu; mbona hamtapata dini ya kusali?

Ndiposa inasemwa usiache imani kwa kugundua madhaifu ya nabii wake, bali ufanye hivyo ukiona udhaifu wa misingi ya imani hiyo.
 
1. Hamna mtu kasahau chochote huyo ni wewe na wenzako, kama ishu ya papa ulitaka likae milele news zingine zisitajwe, huo ni ukichaa wako

2. BBC ni media na kazi yake ni habari, sio kazi yake kutuliza hasira cjui Nini....kama hasira zako zimetulia ni wewe na wenzako ila hio sio kazi ya BBC

3. Kamwe usije ukapotezea abuse ya mtu kisa Imani. Hujawahi bakwa, hujawahi tekwa, hujawahi teswa au kufanyiwa child manipulation and abuse so katika maisha yako Imani yako kwa dini au kwa mtu isikufanye udharau mateso waliyopitia binadamu wenzako coz hujui kesho yako yanaweza kukuta mabaya watu wakasema unafake, au umelipwa au ni propaganda.

4. Issue sio kukosa sehemu ya kusalia ishu ni dini zote Zina mapungufu yake coz ni man made stories ambazo zimepewa title ya "word of god" na huruhusiwi ku question kisa "faith" na Vitisho vya hell etc, so kazi ya media ni kuweka wazi mapungufu ya dini ili watu wasio na uelewa wasiumie kwa mgongo wa dini wakati watu wachache wanaojiita manabii wanafanya jinai na ukiukwaji wa haki za binadamu afu wanatajirika freely.
 
1. Hamna mtu kasahau chochote huyo ni wewe na wenzako, kama ishu ya papa ulitaka likae milele news zingine zisitajwe...huo ni ukichaa wako
2. BBC ni media na kazi yake ni habari, sio kazi yake kutuliza hasira cjui Nini....kama hasira zako zimetulia ni wewe na wenzako ila hio sio kazi ya BBC
3. Kamwe usije ukapotezea abuse ya mtu kisa Imani... hujawahi bakwa, hujawahi tekwa, hujawahi teswa au kufanyiwa child manipulation and abuse so katika maisha yako Imani yako kwa dini au kwa mtu isikufanye udharau mateso waliyopitia binadamu wenzako coz hujui kesho yako yanaweza kukuta mabaya watu wakasema unafake, au umelipwa au ni propaganda
4. Issue sio kukosa sehemu ya kusalia ishu ni dini zote Zina mapungufu yake coz ni man made stories ambazo zimepewa title ya "word of god" na huruhusiwi ku question kisa "faith" na Vitisho vya hell etc...so kazi ya media nikuweka wazi mapungufu ya dini ili watu wasio na uelewa wasiumie kwa mgongo wa dini wakati watu wachache wanaojiita manabii wanafanya jinai na ukiukwaji wa haki za binadamu afu wanatajirika freely
Hoja yangu ni je BBC ni wakweli kiasi cha kuaminiwa na wenye akili timamu?
Ama, hawajawahi kudanganya kwa maslahi wanayoyajua wao? Tuanzie hapo kwanza.
Au wewe ndiyo mdogo kiasi cha kutojua janjajanja zao zilizopita?
 
Kwanza nikiri kuwa mimi siyo miongoni mwa walioikubali hudima ya TB Joshua, kwa sababu ya mapungufu mengi yaliyoambatana nayo!
Huenda hata hiki wanachokidai BBC kilikuwepo, au hata ni matatizo mengine tofauti.

Sasa tusiwe na akili finyu, eti kwa vile tulikuwa hatukubaliani na TB. Joshua , ndiyo sasa wajanja wa BBC watuingize chaka kimakusudi ili kuhamisha mjadala wa ushoga uliobarikiwa na papa wa Roma. Kusudi usiendelee kulitikisa kanisa lenye ushawishi mkubwa duniani.

Ni vema tujiulize swali, hivi hawa BBC wanaaminika kiasi gani mpaka leo bado tuwapatie masikio yetu?
Je, siyo hawa walioiaminisha dunia kwamba Sadam Hussein ana siraha za maangamizi?
Swali je, alipovamiwa na Nato alikutwa hicho walichokidai? Tena syo hawa waliosema kwamba Gadaff wa Libya anawatesa raia wake? Swali je, kati ya nchi za magharibi na Gadaff nani aliwapa maisha magumu walibya?
Ndugu zangu msisahau dunia ya kidini imestushwa sana na uamuzi wa kiongozi wa kanisa la Roma kwamba mashoga wabarikiwe kanisani mwao!
Na mtikisiko upo mpaka kwa waroma wenyewe!
Ndiposa, ukilitazama hili la TB Joshua kwa jicho la tatu, linaloibuliwa na BBC sasa; utaona lina ukakasi fulani.
Kwa nini sasa, kipindi ambacho ushoga umebarikiwa na papa, kisha ukapata upinzani mkali sana.
Je, huko siko kuwatuliza baadhi ya wakatoliki waaminifu, waliochukizwa na papa anayehamasisha makasisi kuwabariki mashoga, ili waone kwamba kumbe hata uprotestanti pia nao umechafuka tu?
Yaani wanauinua ushetani wa TB Joshua, ili kuufunika Uibirisi wa ushoga, unaolazimishwa na wa magharibi mpaka kwenye nyumba za ibada! zao

Hivi BBC mkitafuta ukamilifu kwa watumishi wa Mungu; mbona hamtapata dini ya kusali?
Ndiposa inasemwa usiache imani kwa kugundua madhaifu ya nabii wake, bali ufanye hivyo ukiona udhaifu wa misingi ya imani hiyo.

Umesoma picha vizuri.
 
Hoja yangu ni je BBC ni wakweli kiasi cha kuaminiwa na wenye akili timamu?
Ama, hawajawahi kudanganya kwa maslahi wanayoyajua wao? Tuanzie hapo kwanza.
Au wewe ndiyo mdogo kiasi cha kutojua janjajanja zao zilizopita?
Hayo mambo ya mabomu cjui ni mambo political, Katika mambo personal yanayohusu abuse na Nini... mambo sensitive huwezi ukayadismiss na kusema ni uwongo yaani watu wote waje kusema story za kuaibisha then wat walipwe na nani n for wat ...BBC haina dini so haijali mtu
 
Kwanza nikiri kuwa mimi siyo miongoni mwa walioikubali hudima ya TB Joshua, kwa sababu ya mapungufu mengi yaliyoambatana nayo!
Huenda hata hiki wanachokidai BBC kilikuwepo, au hata ni matatizo mengine tofauti.

Sasa tusiwe na akili finyu, eti kwa vile tulikuwa hatukubaliani na TB. Joshua , ndiyo sasa wajanja wa BBC watuingize chaka kimakusudi ili kuhamisha mjadala wa ushoga uliobarikiwa na papa wa Roma. Kusudi usiendelee kulitikisa kanisa lenye ushawishi mkubwa duniani.

Ni vema tujiulize swali, hivi hawa BBC wanaaminika kiasi gani mpaka leo bado tuwapatie masikio yetu?
Je, siyo hawa walioiaminisha dunia kwamba Sadam Hussein ana siraha za maangamizi?
Swali je, alipovamiwa na Nato alikutwa hicho walichokidai? Tena syo hawa waliosema kwamba Gadaff wa Libya anawatesa raia wake? Swali je, kati ya nchi za magharibi na Gadaff nani aliwapa maisha magumu walibya?
Ndugu zangu msisahau dunia ya kidini imestushwa sana na uamuzi wa kiongozi wa kanisa la Roma kwamba mashoga wabarikiwe kanisani mwao!
Na mtikisiko upo mpaka kwa waroma wenyewe!
Ndiposa, ukilitazama hili la TB Joshua kwa jicho la tatu, linaloibuliwa na BBC sasa; utaona lina ukakasi fulani.
Kwa nini sasa, kipindi ambacho ushoga umebarikiwa na papa, kisha ukapata upinzani mkali sana.
Je, huko siko kuwatuliza baadhi ya wakatoliki waaminifu, waliochukizwa na papa anayehamasisha makasisi kuwabariki mashoga, ili waone kwamba kumbe hata uprotestanti pia nao umechafuka tu?
Yaani wanauinua ushetani wa TB Joshua, ili kuufunika Uibirisi wa ushoga, unaolazimishwa na wa magharibi mpaka kwenye nyumba za ibada! zao

Hivi BBC mkitafuta ukamilifu kwa watumishi wa Mungu; mbona hamtapata dini ya kusali?
Ndiposa inasemwa usiache imani kwa kugundua madhaifu ya nabii wake, bali ufanye hivyo ukiona udhaifu wa misingi ya imani hiyo.

Kazi ya Media ni kutangaza Habari. Kwahiyo ikiibuka habari nyingine media isitangaze kwasababu tu kuna habari bado inatrend?

Kazi ya media sio kukufurahisha bali kukuhabarisha. Ukitaka kufurahi nenda TikTok.
 
BBC kama Kuna ukweli wazungatiwe,Kama ni propaganda wapuuzwe. Simchukii TB Joshua, namheshimu ila kama Kuna sehemu alikosea pawekwe wazi, ila asipakwe matope kufunika Hilo unalohisi linataka funikwa.
 
Bbc ni moja ya mashirikia yanayo endeshwa kwa kufata maelekezo kutoka kwa waendesha dunia,,,,dont trust them kabisa.
 
Ukweli hauzuiwi kwa kukubali upumbavu mwingine.
Wote BBC na TB . Hawajawahi kuwa wema.

Na wewe usituhamishe kwa TB kuwa tapeli akitumia Ukristo. Ova
 
Hoja yangu ni je BBC ni wakweli kiasi cha kuaminiwa na wenye akili timamu?
Ama, hawajawahi kudanganya kwa maslahi wanayoyajua wao? Tuanzie hapo kwanza.
Au wewe ndiyo mdogo kiasi cha kutojua janjajanja zao zilizopita?
Angalia hizo video halafu zikanushe ambapo BBC wamekosea.

Usipinge tuhuma kwa kuisema BBC kama huna hoja.
 
Kuna mama mmoja alipiga hela sana
Kwa kuuza maji ya kutoka kwa TB Joshua,kichupa alikuwa anauza mpaka 100,000/
Huyo mama alikuwa bonge la TP
ila sasa naona hivi karibuni kisukari
Kimentandika kwerikweri naye kishaa

Ova
 
Ukweli hauzuiwi kwa kukubali upumbavu mwingine.
Wote BBC na TB . Hawajawahi kuwa wema.

Na wewe usituhamishe kwa TB kuwa tapeli akitumia Ukristo. Ova
Na wenye akili kubwa wanaelewa kwamba mashirika haya yanaweza kutumia upumbavu kidogo ili kuufunika upumbavu wao uliokubuhu!
Sijui unanisikia?
 
Na wenye akili kubwa wanaelewa kwamba mashirika haya yanaweza kutumia upumbavu kidogo ili kuufunika upumbavu wao uliokubuhu!
Sijui unanisikia?
Nimekusik8a vzr sana. Maana kinyesi ni kinyesi hata kama ukichovye kwa ncha ya sindano halafu ukilambe
 
kwa sasa binafsi naiogopa sana BBC wanaagenda kubwa sana... binafsi nilimuamini sana TB joshua japo sikuwa muumini wake ila pia tuhuma za BBC siwezi kuzifumbia macho.
Niliwahi kuhofu sana tuhuma za BBC dhidi ya serikali ya Magufuli wakati ule nikawaza Zuhura Yunus ataishi wapi kwa hizi propaganda anazo zifanya... hatimaye leo anaishi magogoni.
BBC ni dubwana kubwa sana ninaliogopa.
 
BBC ni chombo huru,yule alikuwa ni nabii wa uongo hata kabla ya BBC akiwa ndie mwanzilishi wa huduma za mafuta ya upako.
Upako kapewa na mganga wa kimataifa wa Ghana anaewapa upako mitume na manabii wengi maarufu duniani hadi sasa jumla ni elf 2.
Anaitwa Nana kwaku Bonsam ingia page zake upate ushahidi.
 
BBC Eyes ni kipindi Cha kikachero,wanachunguza skendo Kwa muda mrefu kabla hawajaiachia,Sasa ulitaka watoe tuhuma kabla hawajachunguza?Halafu mbona washatoa skendo kibao hasa makampuni Makubwa Africa na jinsi rushwa ya ngono inavyotembea.Kama ni nia ovu wangetoa wakati TB akiwa matawi sio wakati kafa na kabisa lake limepoteza mvuto.
 
Kuna mama mmoja alipiga hela sana
Kwa kuuza maji ya kutoka kwa TB Joshua,kichupa alikuwa anauza mpaka 100,000/
Huyo mama alikuwa bonge la TP
ila sasa naona hivi karibuni kisukari
Kimentandika kwerikweri naye kishaa

Ova
Kwani ameishiwa hayo mafuta Hadi kisukari kimtandike
 
Back
Top Bottom