Unaanzaje kumvua nguo mke wa mtu?

Unaanzaje kumvua nguo mke wa mtu?

Haya mambo yapo ktk ndoa sababu kubwa ni mifarakano ndani ya ndoa, Me/Ke kutojari hisia za mwenza Wake, hivyo hupelekea mtu kutoka nje kutafuta faraja. Me uko bize na maisha unakimbiza pesa ukirudi hoi hugeuki hata upande Wa pili, au hata ukigeuka humridhishi mwenzio aaah wapi atatoka tu akaondoe stress hata kwa wauza mitumba.
 
Wakati mwingine wanandoa hawapendi kwenda nje ya ndoa zao. Kuna mambo yanalazimisha. Baadhi ni pamoja na mmoja wa wanandoa kuwa na matatizo ya kudumu, au kutomridhisha mwenzi na matendo mabovu ya mmoja wao, haya hufanya kutoka nje ya ndoa. Nitoe mfano wa jamaa mmoja mume. Alikuwa na mchepuko huru. Kurud kwake ni usiku wa manane au alfajiri kabisa. Mke katulia nyumban tuli. Mume anapoulizwa anajibu jeuri. Hata alipoambiwa basi atoe lau hata mara mojamoja kwa mkewe, akawa hajali. Mwanamke huyu afanyeje? Akivuliwa nguo ni kosa la nani? Hadi ninapoandika, yule mama kavuliwa mara zaidi na amenogewa hatarajii kuacha leo wala kesho. Maisha yanaenda dume halina habari. Ninafikiri kabla hujatoa adhabu kwa mgoni wako jiulize nani chanzo cha tatizo. Hakuna anaependa mzigo wake uliwe awe mke au mme. Na wanawake ni wepesi kulipiza pindi akigundua anapuuzwa. USHAURI: wanaume tuwe mfano wa kutuliza mpira, wanawake watatulia.
 
Tena uwa wanaanza na body languages na anavyokuangalia tu unajua tayari mchezo umekwisha ni wewe kuanza mchakato kujipanga na kuconclude game
 
Kwahiyo mke naye atafute mme wa mtu au mme wa huyo mchepuko ili iwe ngoma droo patamu hapo.
Yeyote anaweza kutafuta. Kwahiyo mleta mada hakuwa na haja kulalamikia wanaume as if wao wanawake wako innocent au wanalazimishwa kuvua nguo.
 
Ikiwa mwanamke anajua yeye ameolewa kwa nini akubali kuvuliwa chupi na mwanaume ambaye siyo mumewe...


Kwa sababu pale hajaenda kubakwa ameenda kwa ridhaa yake na tamaa zake mwenyewe...
Ni kwel mkuu, mm mara ya kwanza alikuwa kama anaogopa ivi ila cku izi nikikwambia kukwichkwich avai ata cket anavaa tight na kitenge juu anakuja mwenyew guest, siku nyingne nikisema cna hela ananitumia mpesa cjui kwann anavua mwenyew kwa uzur tu
 
Wanaume ni watu ambao ufahamu wao unaweza kuwa interrupted kirahisi zaidi linapokuja suala na tamaa ya ngono.

Hebu fikiria ujasiri huwa unatoka wapi wa kumtongoza mpaka kutembea na mke wa mtu?

Jibu ni moja tu kipindi anafanya hivyo anakuwa akili zake haziko kawaida, fikiria kidogo uchungu wa mke au mume.

Vipi ukimkuta mwanaume mwenzio juu ya kifua cha mkeo?

Maumivu unayoyapata ndiyo anayoyapata mwanaume mwenzio pale anapogundua mkewe kaliwa nje.

Ukitaka kujua hili jiulize baada ya tendo kwanini unajilaumu?

Akili haiwezi kuja mpaka mbegu zimetoka wanaita bao sijui mara round moja.

Inamaana akili za mwanaume huwa hazifanyikazi kabisa kabla ya kupizi.

Nisaidieni niwaelewe nyie viruka njia msiyokuwa na haya.

Najua walioguswa zaidi wenye hekima watajirekebisha..

Karibuni
Watamu hao balaa,hutajakaa umuache kamwe.Stress Free
 
Hapa ishu isiishie kwenye mwanaume kuanza kumvua nguo mke wa mtu, ifikie mpaka kwenye - Mke wa mtu kukubali kuvuliwa nguo na asiye mume wake.

Kuuongelea upande mmoja, unamaanisha kua wake za watu ni wepesi kukubali? Hawawezi kukataa?

Ijazie hizo nyama thread yako.


Fact......
 
naanza kwa kumchapa mate kisha kumshika shika adi kunako then akiiva ndo naanza na kumvuaaaa nguo sasaaaaaa#hivyo ndo navyoanzaga sijui wenzanguuu wanaanzajeee sasaaaaa
 
Back
Top Bottom