Nimejisahau nini mkuu? Mm ni mwanamke mwenye ndoa nimejaribu kuwaza siku nimemkuta mume wangu na mwanamke mwingine.
Waza na siku atakukuta na mwanaume mwingine pia.
Nimejisahau nini mkuu? Mm ni mwanamke mwenye ndoa nimejaribu kuwaza siku nimemkuta mume wangu na mwanamke mwingine.
Wapo kibao wanavuliwa nguo nilishuhudia jirani yangu na mkewe ugomvi huyo eti mke wa mtu katuma sms kwa mmewe wakutane sasa mkewe kazifuma palichimbika huyo kahaba kapigiwa simu kagoma kupokea sasa hapo kuna mke kweli mpaka anatongozaNa mke wa mtu unaanzaje kuvuliwa nguo.
Sasa utajuaje kama ni mke wa mtu??? pete mbona wanavaa wengi tu na wala hawajaolewa. Usipo ambiwa unajuaje????Mkuu wanaoongoza kutongoza hovyo ni wanaume za watu, tena na Pete anayo kidoleni. Yaani huwa na nakwazika sana.
Ndo maana nikasema ngoma droo..kama mme wa mtu unatongoza mke wa mtu na akakubali kuliwa basi hakuna haja ya kulaumu wanaume tu maana na wanawake ni walewale tu. Mleta mada alionyesha kama vile wanaume ndo wenye makosa lakini mi nasema ni wote KE na ME.Wapo kibao wanavuliwa nguo nilishuhudia jirani yangu na mkewe ugomvi huyo eti mke wa mtu katuma sms kwa mmewe wakutane sasa mkewe kazifuma palichimbika huyo kahaba kapigiwa simu kagoma kupokea sasa hapo kuna mke kweli mpaka anatongoza
Kwahiyo mke naye atafute mme wa mtu au mme wa huyo mchepuko ili iwe ngoma droo patamu hapo.Ndo maana nikasema ngoma droo..kama mme wa mtu unatongoza mke wa mtu na akakubali kuliwa basi hakuna haja ya kulaumu wanaume tu maana na wanawake ni walewale tu. Mleta mada alionyesha kama vile wanaume ndo wenye makosa lakini mi nasema ni wote KE na ME.
Ahaa kumbe na hata maradhi hayataisha mpaka mwisho wa duniaMwanaume hawezi kukataa papuchi ya kupewa bure kamwe..
Maradhi yataisha endapo ngono salama itafanyika.Ahaa kumbe na hata maradhi hayataisha mpaka mwisho wa dunia